Lowassa inawezekana huna Parkinson's disease - PD

Lowassa inawezekana huna Parkinson's disease - PD

MkamaP

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2007
Posts
8,167
Reaction score
3,272
Nimeona video ya ndugu Lowasa ina circulate u-tube, akishindwa kunyanyuka. Na pia niliona humu wakiongelea kuhusu kuwa ana Parkinson's disease. Yawezekana ni kweli, lakini nimejaribu kuangalia symptoms zingine mfano:

1. Lowasa alikuwa na pre-mature grey hair.

2. Lowasa ama develop kitambi

3. Lowasa anapata matatizo ya kuongea.

4. Lowasa ana matizo ya joints

5. Lowasa utakuwa na matatizo ya kumbukumbu --assumption

6. Lowasa utakuwa na matatizo ya tumbo kuunguruma -- assumption

7. Lowasa utakuwa na matatizo ya burning feet -- assumption

8. Lowasa utakuwa na matatizo ya gum bleeding -- assumption.

9. Lowasa utakuwa na matatizo ya kusinzia -- Assumption

10. Lowasa una high pressure-- assumption

NA kama una symptoms moja wapo kuanzia namba 5 hadi 10, kwa maana 1 hadi 4 ziko proved. Basi wewe unatatizo la ANEMIA toka ukiwa mdogo, umeliacha kwa mda mrefu na lime develop hizo symptoms unazoziona leo.

Na kama namba tisa 5 hadi 10 zipo hizo symptoms japo moja tu, basi uwezekano mkubwa una IRON, MAGNESIUM DEFICIENCY ama vitamin D2, D3 na D.

Kama ndivyo, nenda kacheck mineral zote na vitamin zote kwa uhakika zaidi. Ni ushauri tu kwa mapenzi mema kwa wanadamu wote.
 
ushuzi mwingine huu una diagnose mineral deficieny JF

Ni ushauri aende hospitali akapime hizo difficiency kwa usahihi zaidi, ma GP wengi hua hawangalii vitu kama Magnesium ama Iron ndo chimbuko la matatizo mengi. Hata hivyo ni ushauri kwa afya yake mwenyewe, akipenda aende hospitali akitaka asiende pia.
 
Lowasa mungu amempiga kibogo mazambi yote aliyoyafanya kwa wezake NHS matunda take,unazani mungu anapenda kuwanyonyo ngozi wenzako?
 
MkamaP

Du zinga la daktari! Du daktari bingwa tena. Na zaidi ni bingwa wa mabingwa!
 
Last edited by a moderator:
Hiyo video iko wapi?
Ulikuwa unasema ...nn Uda manake simu yako inakatika katika sana...eti ulikuwa unasema nini....eheee yupoooo tu...siunamuonaaaa


 
Last edited by a moderator:
Ndio rais ataekufa kabla hajamaliza muda wake kama atapitishwa
 
Back
Top Bottom