Lowassa inawezekana huna Parkinson's disease - PD

Lowassa inawezekana huna Parkinson's disease - PD

Mwaka huu lowassa atakoroga wengi,kila mahali ni lowassa lowassa,nakumbuka hata jk alivyokuwa anagombea walisema ana matatzo ya pumbu moja ndo huyo mpaka leo anadunda
 
Hii ya leo kali. Bado anaona anafaa tu kuendelea? Mungu wangu!! Labda familia yake iingilie kati sasa. Mana naona marafiki zake wanawazia hela zake tu na sio afya yake. Hii ni aibu. Mzee wa watu hata nguvu hana.
 
Lowasa raisi ata mtunge stor ndefu kama shigongo.

#ATA KWA MACHELA IKULU ANAINGIA

sijasema haingii ama anaingia, bali namshauri aka check hizo deficiency. Ni uamuzi wake nini cha kufanya kila kitu kiko ndani ya mahakama yake mwenyewe.
 
Ndio rais ataekufa kabsla hajamaliza muda wake kama atapitishwa

Huna mamlaka juuuhaiuhaiaunakifokifo kwako au kwa mwenzakoi.isitoshe ugonjwa haunahhodiunaingia na kkutoka kwa mtu yeyote, futakkauli yyako.
 
Huna mamlaka juuuhaiuhaiaunakifokifo kwako au kwa mwenzakoi.isitoshe ugonjwa haunahhodiunaingia na kkutoka kwa mtu yeyote, futakkauli yyako.

Kwa jinsi ulivyoandika naona wewe ni maututi kuliko yeye.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
sijasema haingii ama anaingia, bali namshauri aka check hizo deficiency. Ni uamuzi wake nini cha kufanya kila kitu kiko ndani ya mahakama yake mwenyewe.
asante ndugu mtaalam kwa huruma yako , nina kijiswali uchwara , je asipofuata ushauri huu tutegemee nini miezi michache ijayo ?
 
  • Thanks
Reactions: DSN
mtamwendea hadi kwa sangoma mwaka huu,Lowassa ni mto usipooga utakunywa
 
Hivi ni ameshindwa kusimama au alikuwa anasogeza kiti akae vizuri!!! Acheni ushabiki usio na maana... Mbona mnahangaika sana na Lowasa!! Watangaza nia wapo 37 hamuwaoni mnamuona Lowasa tu... Au ndio nyota.. Acheni mambo yenu bhana
 
Hivi ni ameshindwa kusimama au alikuwa anasogeza kiti akae vizuri!!! Acheni ushabiki usio na maana... Mbona mnahangaika sana na Lowasa!! Watangaza nia wapo 37 hamuwaoni mnamuona Lowasa tu... Au ndio nyota.. Acheni mambo yenu bhana
kwasababu ni le fisadi.
 
Huna mamlaka juuuhaiuhaiaunakifokifo kwako au kwa mwenzakoi.isitoshe ugonjwa haunahhodiunaingia na kkutoka kwa mtu yeyote, futakkauli yyako.

aisee! huku ni kupanic ama!!? msalimie Bashe akupe buku 10 yako.
 
Back
Top Bottom