Imani iliyojengwa kwa misingi ya Fedha ni hatari mtauza watanzania wote au mlionunuliwa ndo mtabaki?Hajanunua hata robo ya wapiga kura wote. Wacha kujidanganya. Nijuavyo kama ataendelea kuwanunueni ni theruthi moja tu ya wapiga kura mtanunulika lakini theruthi mbili za wapiga kura jua liwake mvua inyeshe hatununuliki tunasubiria kipenga kuipatia Tanzania Uhuru
Kwa Mara ya pili. Hata wakati wa mkoloni watu kama ninyi walikuwepo lakini hilo halikumzuia Kambarage kumtoa Mwingereza.
Ni grey hair hakuna white hair
Naamini sio white hair, nafikiri ni gray.
Naweza kuwa mahututi ofcoz lakini huna mamlaka ya kusemea kifo cha mwezako na hata cha kwako, narudia tena futa kauli yako mkuu!! Usimwombee mwenzako kifo..!!Kwa jinsi ulivyoandika naona wewe ni maututi kuliko yeye.
Ndio rais ataekufa kabla hajamaliza muda wake kama atapitishwa
mtamwendea hadi kwa sangoma mwaka huu,Lowassa ni mto usipooga utakunywa
ah hahaha hahaha nimeiangalia hyo video......kafikiria mara mbili akajaribu kunyanyuka msaidizi wake akamuwahi kusogeza kiti ili arudi kukaa
Daaaaah huyu mzee naona kuna watu hawalali, hawali, hawacheki... Naona watu wamehamia kwenye ugonjwa badala ya mambo muhimu kama uadilifu, uwezo wa kutukwamua etc etc..
Si vizuri kushabikia ugonjwa wa mtu ila kama huyu mzee ni mgonjwa kweli tumuombee tu ajikubali kwa ugonjwa wake na kupisha wengine... kama haya ya ugonjwa ni uzushi basi tuache mafuriko yapite kuyazuia kwa hoja dhaifu kama ugonjwa sio rahisi
Mwaka uliopita utakua afadhali zaid ya ujao hata asimame nani nchi hii itazidi kua kuliko jana
Na EL ana lipi lakutukwamua au ndio aje aendeleze yale alioyafanya kipindi akiwa waziri mkuu nani asiejua kama fisadi mkubwa huyu ndani ya nchi hii akipita huyu m Tz nahama
Mwaka huu vichwa vitawauma na Lowassa wetu