Lowassa hawezi "Magufulika"

Lowassa hawezi "Magufulika"

Status
Not open for further replies.
images
 
Huna jipya. Field Marshal anawanyima usingizi.
wewe jamaa inaelekea hufuatilii mambo ya siasa ya nchi hii, ile kesi ya Jinai ya kigaidi ya kutengeneza ,Jaji alitoa karipio kali kwa kesi za namna hii
 
Ungejua tu kamanda Wa kikosi anapitia nini mpaka kuitwa kamanda
Usinge thubutu kumwita huyo nyumbu field Marshall

A typical pro ukawa ya Lowassa, yaani umeitafsiri kama ilivyo ktk kamusi? kichwa chako ni mzigo wako, hamna wa kukusaidia kukibeba.
 
Hii style ikitumiwa na wana ccm wote itaonesha modernasation ya kampeni za ccm.
Na pia inaweza kuamsha ari ya nchi nzima katika kufanya kazi!!
Naunga mkono hoja, kwa yeyote pia anayemsapoti Magufuli, get fitter, chukua sekunde 10 piga push up!
 
A typical pro ukawa ya Lowassa, yaani umeitafsiri kama ilivyo ktk kamusi? kichwa chako ni mzigo wako, hamna wa kukusaidia kukibeba.

We nyama kweli ,kumbe mlivyomwita Field Marshall mlikua mnatafsiri gani ?? Kwamba ni field Marshall Wa kumenya mayai yaliyochemshwa ??
 
Hivi Duni Haji Yupo Wapi?Maana Ukawa Walikuja Na Uongo Wao Oh Sijui Timu Ya Kampeni Imesambaratika Sasa Naona Wanasambaratika Wao!!Nauliza Tu Duni Haji Yupo Wapi?
 
sio kweli ana maigizo mkitotofuli

Yawezekana ni mwigizaji maana siamini kama kusaini mikataba ile alitishwa kwa bunduki. Mfano angekataa akafukuzwa au akajiudhuru angepoteza nini? Kama alimwogopa mtanzania jk akija alshabab je?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom