Lowassa hawezi "Magufulika"

Status
Not open for further replies.
Jipya tunalo na unalijuwa kuws EDO ndo HBR ya MIJINI.MANH.PUSH-UP Amechanganyikiwa hadiMISHIPA YA KICHWANI INAMTOKEA USONI; ANA SURA MBAYA NA ROHO YAKE MBAYAAAA!
 
We nyama kweli ,kumbe mlivyomwita Field Marshall mlikua mnatafsiri gani ?? Kwamba ni field Marshall Wa kumenya mayai yaliyochemshwa ??
Narudia tena na kuboresha zaidi nilichosema, kichwa chako kilichojazwa ujinga na upumbavu mpaka unavuja kwenye matundu ya kichwa (masikio, mdomo, pua na macho) ni mzigo wako, hamna wa kukusaidia kuubeba, endelea kujikokota labda utafika unakoenda, ila sidhani kama utafika huko, ujinga wako ni mzito sana!
 
kama hivi
 

Attachments

  • 1443370136648.jpg
    1443370136648.jpg
    80.8 KB · Views: 281
Akiwa waziri magufuli alihonga nyumba za serikali. Sasa akiwa rais atahonga nn?
Kumbuka rais wa awamu ya tatu alihonga wizara ya fedha kwa ajili ya dili la mwanamke.
Rais wa awamu ya nne alikuwa anahonga wilaya na mikoa.
Ccm inanuka uchafu haisafishiki. Magufuli ni dodoki chafu
 
Nafurahi kuona ccm wakicheza ngoma za ukawa, kifupi ccm tayari imeshageuka chama cha upinzani
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom