Narudia tena na kuboresha zaidi nilichosema, kichwa chako kilichojazwa ujinga na upumbavu mpaka unavuja kwenye matundu ya kichwa (masikio, mdomo, pua na macho) ni mzigo wako, hamna wa kukusaidia kuubeba, endelea kujikokota labda utafika unakoenda, ila sidhani kama utafika huko, ujinga wako ni mzito sana!We nyama kweli ,kumbe mlivyomwita Field Marshall mlikua mnatafsiri gani ?? Kwamba ni field Marshall Wa kumenya mayai yaliyochemshwa ??
Ebu Magufulika kwanza, push up!Jipya tunalo na unalijuwa kuws EDO ndo HBR ya MIJINI.MANH.PUSH-UP Amechanganyikiwa hadiMISHIPA YA KICHWANI INAMTOKEA USONI; ANA SURA MBAYA NA ROHO YAKE MBAYAAAA!
She is stronger than LowassaYah, magufuli is very strong... How about this baby girl
View attachment 290722
Yes, a leader must have the physical ability to lead!
What do you think??
Wasanii wa Bongo flava wakipiga push up kumuunga mkono Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye uwanja wa Karangalala.
Ukisikia kuishiwa hoja ndo huko!
Hiyo chini ni ipi????Mgonjwa anaendeleaje?
Hiyo chini ni ipi????Mgonjwa anaendeleaje?