- Thread starter
- #101
poor magufuli
Ukawa Kwisha habari yao. Poor thing
poor magufuli
Akiwa waziri magufuli alihonga nyumba za serikali. Sasa akiwa rais atahonga nn?
Kumbuka rais wa awamu ya tatu alihonga wizara ya fedha kwa ajili ya dili la mwanamke.
Rais wa awamu ya nne alikuwa anahonga wilaya na mikoa.
Ccm inanuka uchafu haisafishiki. Magufuli ni dodoki chafu
Mme kosa tuhuma kwa Magufuli mnahaha, Kila siku habari ya Nyumba bila kuitaja ni Nyumba ipi. Hospitali zijiandae kutokea wagonjwa wa pressure October mwishoni maana hamtaamini. CCM kwa kumteua Magufuli wamecheza heko.