Lowassa hawezi "Magufulika"

Status
Not open for further replies.
Akiwa waziri magufuli alihonga nyumba za serikali. Sasa akiwa rais atahonga nn?
Kumbuka rais wa awamu ya tatu alihonga wizara ya fedha kwa ajili ya dili la mwanamke.
Rais wa awamu ya nne alikuwa anahonga wilaya na mikoa.
Ccm inanuka uchafu haisafishiki. Magufuli ni dodoki chafu

Mme kosa tuhuma kwa Magufuli mnahaha, Kila siku habari ya Nyumba bila kuitaja ni Nyumba ipi. Hospitali zijiandae kutokea wagonjwa wa pressure October mwishoni maana hamtaamini. CCM kwa kumteua Magufuli wamecheza heko.
 
Magufuli siyo kiongozi ni muigizaji wa filamu.PushAp za kitandani apeleke kwa mkewe.
 
Mme kosa tuhuma kwa Magufuli mnahaha, Kila siku habari ya Nyumba bila kuitaja ni Nyumba ipi. Hospitali zijiandae kutokea wagonjwa wa pressure October mwishoni maana hamtaamini. CCM kwa kumteua Magufuli wamecheza heko.

Pole sana. Umechelewa na ndege imeshapaa tayari......
Magufuli mkurupukaji
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom