Lowassa hawezi "Magufulika"

Status
Not open for further replies.

Mr Chin

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
4,625
1,024
Wasanii wa Bongo flava wakipiga push up kumuunga mkono Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye uwanja wa Karangalala.
 
Yah, magufuli is very strong... How about this baby girl
magufuli.jpg
 
hv hao wasanii wamefikiria iwapo lowassa atashinda itakuaje!?kuna yeyote kati yao analipa paye?!?
 
hv hao wasanii wamefikiria iwapo lowassa atashinda itakuaje!?kuna yeyote kati yao analipa paye?!?

Usisumbuke na watoto wa kiume waliojichubua na kutoboa masikio. Hata Mungu mwenyewe amewasusa na kuwaacha wajiongoze wenyewe. Nchi hii haitajengwa na FIESTA, tunahitaji vichwa vinavyowaza MIRADI na sio MASHAIRI
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom