Lowassa hawezi "Magufulika"

Status
Not open for further replies.
Yap! afya ya viongozi wetu ni mhimu sana. nasisitiza tena mambobya zambia marais kufa wakiwa ikulu hatutaki hapa. Eti mgonjwa aingie ikulu! hapana! si atazichafua sofa za ikulu kwa kwa kinyesi???? nawacheka kwa dharau hahahahaahahahaah.....
 
Hii style ikitumiwa na wana ccm wote itaonesha modernasation ya kampeni za ccm.
Na pia inaweza kuamsha ari ya nchi nzima katika kufanya kazi!!
 
Yap! afya ya viongozi wetu ni mhimu sana. nasisitiza tena mambobya zambia marais kufa wakiwa ikulu hatutaki hapa. Eti mgonjwa aingie ikulu! hapana! si atazichafua sofa za ikulu kwa kwa kinyesi???? nawacheka kwa dharau hahahahaahahahaah.....

alienda loliondo kufanya nini?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom