Ni staili inayopendeza kwa kila mtu vp kuhusu ile ya yule mwingine ya kujinea inajaribika kweli???? Jaribuni 2oneee.
Usisumbuke na watoto wa kiume waliojichubua na kutoboa masikio. Hata Mungu mwenyewe amewasusa na kuwaacha wajiongoze wenyewe. Nchi hii haitajengwa na FIESTA, tunahitaji vichwa vinavyowaza MIRADI na sio MASHAIRI
Mshauri na wa kwako azipige push ups apate kura!Nimekuja kasi nikidhani style ya kutiana. Kweli kukosa sera kubaya hadi mgombea anajinadi kupiga push ups, desperate times
Bado sana. Nyie endeleeni kubeba ule mzigo. Kiyama inawasubiri.Magufuli tu hapo ndio amekidhi viwango vya kuwa BODYGUARD wa RAIS wa awamu ya tano wa jamuhuri ya muungano wa tz Hon Edo Lowassa. Hao wengine wakaombe kazi kwenye night clubs teh teh
VIVA UKAWA!!!
Nimekuja kasi nikidhani style ya kutiana. Kweli kukosa sera kubaya hadi mgombea anajinadi kupiga push ups, desperate times
bg up Magufuli rais wetu
bg up Magufuli rais wetu