Lowassa hasafishiki

Lowassa hasafishiki

[h=3]LOWASSA ANA KIGEUGEU NA KUBADILIKA BADILIKA[/h][h=2]

MTU HUYO HUYO ANAINGIA KANISANI


11988394_1629433157329633_3560219401782033348_n.jpg


MTU HUYO HUYO ANAENDA KWA WAGANGA WA KIENYEJI
LOWASA.jpg



MTU HUYO HUYO ANARUBUNI WATU KWA KUJIFANYA KABADILI DINI
10929136_1614826768752468_4734983087952294698_n.jpg



MTU HUYO HUYO ANAHONGA FEDHA
attachment.php



MTU HUYO HUYO ANA KIGEUGEU KATIKA HOTUBA ZAKE
11892206_771636236278774_725558372738578229_n.jpg


LOWASA HUFAI NA HUTUWEZI KUKUAMINI

Lowassa kwanini una Kigeugeu namna hii?

[/h]

Yani ata useme nini hauwezi #KUELEWEKA KABISA UKIZINGATIA UNAENEZA PROPAGANDA ZA KITOTO SANA HIZO AMBAZO ZINAONYESHA KILA DALILI KUWA MMESHANYOOSHA MIKONO HEWANI HADI HAPA TULIPOFIKA TENA #MAPEMA HIVI,NI Kiaanza na hiyo picha anayomkabidhi huyo sheikhe baasha siyo kwa ubaya bali ni ilikuwa mchango wake alioahidi yeye mwenyewe kwenye ujenzi wa msikiti,Pili hiyo picha aliyokaa na wazee...na sio waganga kama ulivyodanganya hapo alikuwa anatawazwa na wazee kuwa chief kitu ambacho ata JK Mwenyewe alishafanyiwa hivyo na ata kibaraka wenu DR.MIHOGO alishafanyiwa hivyo na alihakikishiwa yeye angekuwa rais lakini mambo ndo yameshabadilika hivyo na hizo picha nyingine ni PHOTOSHOP TUU na ilo gazeti hapo la UMMA-TANZANIA ni la CCM PAMOJA NA "UHURU","MZALENDO"...HIVYO HAMNA JIPYA BALI NI MWENDELEZO WENU WA KUTAPATAPA KABLA YA KIFO CHENU HAPO OCTOBER-25th.
 
[h=3]LOWASSA ANA KIGEUGEU NA KUBADILIKA BADILIKA[/h][h=2]

MTU HUYO HUYO ANAINGIA KANISANI


11988394_1629433157329633_3560219401782033348_n.jpg


MTU HUYO HUYO ANAENDA KWA WAGANGA WA KIENYEJI
LOWASA.jpg



MTU HUYO HUYO ANARUBUNI WATU KWA KUJIFANYA KABADILI DINI
10929136_1614826768752468_4734983087952294698_n.jpg



MTU HUYO HUYO ANAHONGA FEDHA
attachment.php



MTU HUYO HUYO ANA KIGEUGEU KATIKA HOTUBA ZAKE
11892206_771636236278774_725558372738578229_n.jpg


LOWASA HUFAI NA HUTUWEZI KUKUAMINI

Lowassa kwanini una Kigeugeu namna hii?

[/h]

Alafu nikuulize swali dogo tu na hizo PROPAGANDA ZAKO ZA KITOTO,HIVII MFANO MTU NI MKRISTO LAKINI AKAALIKWA KWENYE SHEREHE YA KIISLAMU ALAFU AKAPENDA KUVAA "KANZU" NA HICHO "KIBARAGHASHIA" Ndo atakuwa amebadilisha dini sio??????...kama sio mbona umetudanganya hapo wakati lowassa hajabadili dini ni mkristo wa kilutheri yule,hivyo jiheshimu kijana!
 
vipi yule makufuli aliyeuza nyumba mpaka kwa vimada kwa bei ya kutupa anasafishika?
 
Lowassa atawaua mwaka huu. Yaani hapa ni lowassa vs ccm. Huyu jamaa ana nguvu sana. Mwaka huu mpaka sugu za ubongo ziwatoke.
 
Hata kwa steel wire na sabuni ya chooni na jik huwezi kumsafisha Lowasa kamwe huyu ni fisadi toka enzi ya Mwalimu JK
 
wamejitahidi sana kumsafisha wameshindwa sasa wamebakia kutukana hovyo
 
Ahahahaaaa yaaani nitashangaaa sana Lowasa akisafishika na anayesema Lowasa msafi akapimwe akili atakua lofa huyo
 
Hajaanza 2011 kuchafuka ni tokea 1995 alikua mchafu na hakusafishika pamoja na kujitahidi kujisafisha haikuwezekana sembuse leo asafishike? thubuutuuu
 
kwa vile tumeichoka ccm tutampa kura lowassa kwa wingi tu hata kama hasafishiki.
 
Mtazunguuka nchi nzima kumsafisha lakini hasafishiki hata mfanyaje hawezi kumsafisha ni fisadi tu na atabaki kuwa fisadi
 
Mkuu ingekuwa ni mimi nisinge pata shida kama hii unayopata ya kuanzisha posts kila kukicha halafu watu makini wanazipuuzia. Hakuna kitu kibaya kama mtu unajitahidi kwa hali na mali kutafuta vitu vya kuandika kisha unapokuja kuwaeleza watu wakaamua kukudharau na kusonga mbele. Inakatisha tamaa. Kumbuka watu wana mpenda Lowassa na hawata acha kumpenda pamoja na yote hayo mnayo andika kwa ubaya.

Kama Lowasa hasafishiki vipi ccm inasafishika vipi na ufisadi uliolelewa na kurutubishwa nao kwa miaka 54.Lowasa amelelewa na kukulia ccm na wako wengi wamebaki ccm.safisha kwanza ccm maana inahitaji ukarabati mkubwa sana kuanzia juu.
 
Aliichafua sana ccm ananuka, sasa ukawa mnanuka, mshanunuliwa, inajulikana mmehongwa, demokrasia hakuna, mtu mwenyewe mgonjwa.

Na bado jina lake linatajwa kwa kashfa kibao tu
Gesi kinyerezi
Richmond
Bandari ya dsm
Kuua reli
Mamilioni ya mfuko wa jimbo
Vodacom na mb 8

Haya msafishe tuone sasa
 
Back
Top Bottom