[h=3]LOWASSA ANA KIGEUGEU NA KUBADILIKA BADILIKA[/h][h=2]
MTU HUYO HUYO ANAINGIA KANISANI
![]()
MTU HUYO HUYO ANAENDA KWA WAGANGA WA KIENYEJI
![]()
MTU HUYO HUYO ANARUBUNI WATU KWA KUJIFANYA KABADILI DINI
![]()
MTU HUYO HUYO ANAHONGA FEDHA
![]()
MTU HUYO HUYO ANA KIGEUGEU KATIKA HOTUBA ZAKE
![]()
LOWASA HUFAI NA HUTUWEZI KUKUAMINI
Lowassa kwanini una Kigeugeu namna hii?
[/h]
[h=3]LOWASSA ANA KIGEUGEU NA KUBADILIKA BADILIKA[/h][h=2]
MTU HUYO HUYO ANAINGIA KANISANI
![]()
MTU HUYO HUYO ANAENDA KWA WAGANGA WA KIENYEJI
![]()
MTU HUYO HUYO ANARUBUNI WATU KWA KUJIFANYA KABADILI DINI
![]()
MTU HUYO HUYO ANAHONGA FEDHA
![]()
MTU HUYO HUYO ANA KIGEUGEU KATIKA HOTUBA ZAKE
![]()
LOWASA HUFAI NA HUTUWEZI KUKUAMINI
Lowassa kwanini una Kigeugeu namna hii?
[/h]
[h=3]lowassa hasafishiki[/h]
![]()
![]()
Mkuu ingekuwa ni mimi nisinge pata shida kama hii unayopata ya kuanzisha posts kila kukicha halafu watu makini wanazipuuzia. Hakuna kitu kibaya kama mtu unajitahidi kwa hali na mali kutafuta vitu vya kuandika kisha unapokuja kuwaeleza watu wakaamua kukudharau na kusonga mbele. Inakatisha tamaa. Kumbuka watu wana mpenda Lowassa na hawata acha kumpenda pamoja na yote hayo mnayo andika kwa ubaya.