Egwugu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,558
- 8,551
Safari hii kila Mtu kawa mchambuzi wa siasa
Mara hii hata kenge nao wanabweka
Safari hii kila Mtu kawa mchambuzi wa siasa
Yaap, si UFISADI umemjaa tele teleKwani kuna hata haja ya kumsafisha? kama hajasafishwa anakubalika hivi je akisafishwa?
Lowassa hasafishikiha ha mkahangaika sana tunasonga mbele na lowasa na hakika lowasa ni chaguo la mungu na mtu pekee wa kulivusha taifa hili.
ccm haifai hata kidogo mana hakuna mlijualo zaid ya uchochez tu
mabadilko ni lazimaa
Yaap, si UFISADI umemjaa tele tele
We chini unaongea mambo ya chini chini tu. nani anaesafishika sasa?
Lowassa hasafishiki
Yaap, si UFISADI umemjaa tele tele