Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,899
Mod, naomba niandike tena thread hii kwa kuwa humu ndani kuna mtu ameandika kuwa lowasa ataenda arumeru east baada ya kuhudhuria sherehe za kumsimika askofu salutaris libena wa dayosisi mpya ya katoliki ifakara.kanisa katoliki kupitia kwa askofu msaidizi wake eusebius ngigilwa lilishatamka wazi kuwa lowasa haajalikwa wala kwenye harambee zake, au kama mgeni rasmi katika sherehe hizo. Kanisa limeweka wazi kwenye magazeti linaloyamiliki kupitia tumaini media kama tumaini letu, tv tumaini etc, pia kanisa lilieza waziwazi kuwa huwa halina utamaduni wa kualika viongozi wa siasa kuchangia moja kwa moja shughuli za kanisa hasa wale ambao hupenda kutumia kanisa kujisafisha. Hivyo hata kama lowasa atahudhuria shereehe izo ataenda kama mtu binafsi au kumsindikiza mkewe regina, ambaye ni mkatoliki. Tafadhali someni taarrifa ya kanisa kwenye catholic web, na nyie wapambe wake please acheni kumsogeza mtuhumiwa wenu kwenye madhabahu takatifu ya bwana!!!!!!
Hivi Mungu yupo kwa ajili ya kubagua watu?.La hasha ni KUOKOA.
mkuu wangu kila jambo tumeligeuza siasa tena za chuki na ubinafsi siyo kujenga!Kama anaenda kusali, haitaji kibali wala kuulizwa maswali
Lowassa ni Freemason.
Freemason huwa hawasubiri kualikwa, wanajipeleka wenyewe kadiri shetani anavyowaongoza!
Kama anaenda kusali, haitaji kibali wala kuulizwa maswali
Reference please?
mkuu wangu lemonade naamini wakati unapost hii kitu hata wewe ndani ya moyo wako ulikua unajua ni uwongo!Exactly! Can everybody now stop this bull***p about Lowasa, mnampa ma promo day in day out kama watu wangekuwa wanachukuliwa jinsi walivyo Lowasa stahili yake ingekuwa kama Mwigulu tu. Lakini sababu ya kumwongelea sana mnamfanya kama jabali fulani hivi, which he is not.
Hivi Mungu yupo kwa ajili ya kubagua watu?.La hasha ni KUOKOA.
1. kanisa katoliki halina dayosisi
2. EL alialikwa diamond jubilee darisalama tar 7 march kwenye chakula lengo likiwa ni kuchangisha fedha kwaajili ya kuanzisha jimbo jipya la ifakara
3. EL alialikwa mwanza na kanisa katoliki kwenye harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa la nyakato
Mizambwa alileta tamko hili wiki chache zilizopita na ilikuwa ni kama tamko la mtu binafsi (askofu msaidizi)
Kwa hiyo hamjamwalika ila atakuwepo kwa kuwa mke wake ni mkatoriki, what a shame on RC. Vipi Sadaka imepungua Italy na Spain nini?, maana uchumi umeyumba uko. RC ilikuwa zamani bwana, siku hizi magumashi tu, full upako na usanii mwingine. Acha wengine tunaoamini kwenye hedinism tuendelee kujihedonise bila stress.
Hivyo hata kama lowasa atahudhuria shereehe izo ataenda kama mtu binafsi au kumsindikiza mkewe regina, ambaye ni mkatoliki.QUOTE]
Huyo mke wake Lowassa anatoka parokia ya Ifakara? Na kule mwanza Lowassa alimsindikiza mkewe pia? Au kanisa linamwalika mama Lowassa then mume anamsindikiza? how clever? Niseme tu, Lowassa ataligawa kanisa katoliki, tayari watu wanaongea vibaya kwenye jumuiya it is only a matter of time watatapika nyongo.
Hana jeuri ya kuligawa kanisa katoliki huyu jambazi hata kidogo. Kanisa katoliki ni serikali ndani ya serikali jamaa yangu. Hata nchi kubwa kama USA na wenzake wanatia adabu kwalo. Lina mfumo tofauti na vikanisa vyote uvijuavyo mkuu. Usiwe na shaka nalo hata kidogo. Ndiyo maana wana Pope ambaye ni kama presdaa.