Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
Ninashangaa mara nyingi tunaojiita great thinkers tunavyoshindwa kujua vitu vidogo.Askofu msaidizi alisema kanisa katoliki haliwaaliki wanasiasa kwenye shughuli za moja kwa moja zinazolihusu juu ya mambo ya kanisa per se kama mwanasiasa awe mgeni rasmi kwenye kuweka askofu,upadrisho,utoaji sakramenti,au kama hili la kuanzisha jimbo na kutawadha askofu.mgeni rasmi hawezi kuwa mlay,awe lowasa,sita membe mkapa hata mwl nyerere angekuwepo asingealikwa mgeni rasmi.ila shughuli za kanisa zisizohusu moja kwa moja its divine constitution kama ujenzi wa shule,hospitali,na shughuli nyingne za maendeleo hapo wanaweza kumwalika yeyote hata mwislamu kuwa mgeni rasmi.