BBC media na Kanisa Katoliki

Annunaki

JF-Expert Member
Dec 30, 2021
1,911
3,171
Hivi hiki chombo cha habari cha Waangalican hakina habari za kuandika kuhusu dini duniani tofauti na za kanisa katoliki.

Hiki chombo sioni kikiandika kuhusu angelican ambayo ndiyo maskani yake kabisa, au Buddha, Uislam, Tao au hata Zen n.k.

Madhehebu ya dini ni mengi tu duniani lakini jamaa kutwa wamekomaa na Katoliki tu.

Itafikia hatua hata Padre au askofu akikohoa wakati wa ibada wataandika.

Duniani kuna Madhehebu zaidi ya 100, ila jamaa wamekomaa na katoliki tu.

BBC si watoe msimamo wa madhehebu mengine kuhusu hayo matakataka.

Kanisa katoliki haliwezi kubariki hayo matakataka.
 

Attachments

  • Screenshot_20231112_123129_Chrome.jpg
    Screenshot_20231112_123129_Chrome.jpg
    159.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20231112_123243_Chrome.jpg
    Screenshot_20231112_123243_Chrome.jpg
    141 KB · Views: 1
  • Screenshot_20231112_123325_Chrome.jpg
    Screenshot_20231112_123325_Chrome.jpg
    162.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_20231112_123526_Chrome.jpg
    Screenshot_20231112_123526_Chrome.jpg
    173.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20231112_123858_Chrome.jpg
    Screenshot_20231112_123858_Chrome.jpg
    183 KB · Views: 2
  • Screenshot_20231112_123941_Chrome.jpg
    Screenshot_20231112_123941_Chrome.jpg
    145.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20231112_124059_Chrome.jpg
    Screenshot_20231112_124059_Chrome.jpg
    139.1 KB · Views: 1
Hivi hiki chombo cha habari cha Waangalican hakina habari za kuandika kuhusu dini duniani tofauti na za kanisa katoliki.

Hiki chombo sioni kikiandika kuhusu angelican ambayo ndiyo maskani yake kabisa, au Buddha, Uislam, Tao au hata Zen n.k.

Madhehebu ya dini ni mengi tu duniani lakini jamaa kutwa wamekomaa na Katoliki tu.

Itafikia hatua hata Padre au askofu akikohoa wakati wa ibada wataandika.

Duniani kuna Madhehebu zaidi ya 100, ila jamaa wamekomaa na katoliki tu.

BBC si watoe msimamo wa madhehebu mengine kuhusu hayo matakataka.

Kanisa katoliki haliwezi kubariki hayo matakataka.
Kwani hizi habari ni za uongo au ukweli tuanzie hapo?
 
Huwezi kupangia media chakuandika. Media huzingatia walaji wao. Tatizo lako unaamini taasisi inayoongozwa na Mwanadamu kuwa haiwezi kukosea. Hakuna kabisa ambalo halina madhaifu duniani kwasababu kiongozi akishakuwa Mwanadamu Kuna Mambo mengi
 
Huwezi kupangia media chakuandika. Media huzingatia walaji wao. Tatizo lako unaamini taasisi inayoongozwa na Mwanadamu kuwa haiwezi kukosea. Hakuna kabisa ambalo halina madhaifu duniani kwasababu kiongozi akishakuwa Mwanadamu Kuna Mambo mengi
Nakubaliana na ww, vipi huko kwingine akuongozwi na mwanadamu, hakuna walakini au mapungufu? Mbona hawaandiki.
 
Wanaandika habari nyingi za kupotosha, wanaweza kumwoji Papa kitu kuhusu ushoga baada wakaigeuza hiyo habari kwa kupotosha
 
BBC wanajua wapi makanisa yetu ya uchochoroni mpaka waje waandike habari zake? Katoliki ni kanisa la ulimwengu habari zake zina mvumo mkubwa. Kwanza ijue roman catholic na nguvu zake duniani ndin utajua kwa nini BBC wanafuatilia sana habari zake
 
Back
Top Bottom