Hivi hiki chombo cha habari cha Waangalican hakina habari za kuandika kuhusu dini duniani tofauti na za kanisa katoliki.
Hiki chombo sioni kikiandika kuhusu angelican ambayo ndiyo maskani yake kabisa, au Buddha, Uislam, Tao au hata Zen n.k.
Madhehebu ya dini ni mengi tu duniani lakini jamaa kutwa wamekomaa na Katoliki tu.
Itafikia hatua hata Padre au askofu akikohoa wakati wa ibada wataandika.
Duniani kuna Madhehebu zaidi ya 100, ila jamaa wamekomaa na katoliki tu.
BBC si watoe msimamo wa madhehebu mengine kuhusu hayo matakataka.
Kanisa katoliki haliwezi kubariki hayo matakataka.
Hiki chombo sioni kikiandika kuhusu angelican ambayo ndiyo maskani yake kabisa, au Buddha, Uislam, Tao au hata Zen n.k.
Madhehebu ya dini ni mengi tu duniani lakini jamaa kutwa wamekomaa na Katoliki tu.
Itafikia hatua hata Padre au askofu akikohoa wakati wa ibada wataandika.
Duniani kuna Madhehebu zaidi ya 100, ila jamaa wamekomaa na katoliki tu.
BBC si watoe msimamo wa madhehebu mengine kuhusu hayo matakataka.
Kanisa katoliki haliwezi kubariki hayo matakataka.
Attachments
-
Screenshot_20231112_123129_Chrome.jpg159.8 KB · Views: 1
-
Screenshot_20231112_123243_Chrome.jpg141 KB · Views: 1
-
Screenshot_20231112_123325_Chrome.jpg162.2 KB · Views: 3
-
Screenshot_20231112_123526_Chrome.jpg173.1 KB · Views: 2
-
Screenshot_20231112_123858_Chrome.jpg183 KB · Views: 2
-
Screenshot_20231112_123941_Chrome.jpg145.1 KB · Views: 2
-
Screenshot_20231112_124059_Chrome.jpg139.1 KB · Views: 1