Lowassa could've done better...

Lowassa could've done better...

..mleta mada umesahau hili la jpm kuitia hasara nchi wakati wa u waziri wake...ambapo hadi leo nchi imeathirika mno na mzigo wa faini za kimataifa kwa makosa ya maamuzi ya JPM...

...ukiondoa uuzaji wa nyumba za serikali....kuna issue ya kubomoa kile kituo cha mafuta mwanza bila kuskia ushauri....jambo lililopeleleka hasara kwa nchi baada ya muhanga kulipwa fidia...

..kipo lile la kutaifisha meli ya wachina yenye samaki...napo tukashindwa kesi...
...likaja la kuwakatia mkatba ile kampuni ya ujenzi ya Canada...iliyowapelekea kishinda kesi tribune ...na ndege yetu kushikwa rehani...
...lipo pia la kuwatimua konoike Japan.... Ambapo sasa kuna kesi ya kujibu kwa kukataa kuwalipa tuzo ya fidia tribune...
.

My take..hivi ukiyajumlisha haya yote nani Kati ya lowassa na JPM ameitia nchi hasara zaidi ya mwingine?????

......ikumbukwe kuwa lowassa Ana credit kwenye issue ya Ujenzi wa Maji ya Victoria Kule shinyanga...pia alivunja mkataba na city water na tukashinda kesi...jambo ambalo JPM ameshindwa....kwa haya tu nani mwenye maamuzi sahihi????
...haya ndio mambo yanamfanya JPM azuie mikutano ya kisiasa..maana watu wakijua Hana chake.....
Dogo mradi wa maji ziwa Victoria Lowasa kaukuta uko mezani kwa utekelezaji.

City water Lowasa alikuwa akivuta 200m kwa mwezi kama commission alipoingia mwandozya wizarani akmjulisha mkapa akampiga marufuku Lowasa kupokea commission ndo chuki yake Lowasa ikaanza kwa city water alipoupata Waziri mkuu ikaanza nao.akawatimua.

forget about this highly corrupt man Lowasa.
 
JK inawezekana alikuwa ana wivu kuona besti yake naye akiingia kwenye listi ya mapresdaa. Ili kwenye group lao EL asimfunike. Maana kiukweli walikuwa marafiki. Lakini urafiki wa JK ulikuwa wa kinafiki zaidi.

JK akaleta siasa za "kuvua gamba", akiwa target walio kuwa wakipigiwa kelele za ufisadi. JK alijuwa EL si fisadi lakini alinyamaza na kuendeleza politics za kiswalihina. Ufisadi wote wa kuuza nchi EL hajatokea.

JK yuko responsible kwasababu hata mimi nilimpigia kura Maghufuli badala ya Lowassa kwa kuamini ni fisadi ambaye JK anaogopa kumtimua waziwazi ili chama kisimegeke. But I was wrong.

JK pia alitaka wananchi wamkumbuke uongozi wake ndo maana akaona JPM anafaa zaidi kwasababu anamfahamu vyema(alishawahi kupindua maamuzi yake mengi tu JPM alipokuwa waziri na JK rais), JK alijuwa kuna namna mambo yatakuwa ndivyo sivyo na wananchi kulalamika zaidi, hence kumkumbuka.

However nimekaa nikafikiria, sababu kubwa ya kumpigia kura JPM badala ya Lowassa ni ufisadi. Nikasubiri ccm wamshitaki EL, wapi. Subiri wataje kashfa ambaye kiukweli amehusika yeye, hakuna.

Yani ina maana kashfa ya kuuza nyumba za serikali kwa ndugu zake, inaonyesha wazi uncle Magu ni fisadi na wala siyo EL.

Kwahiyo hapa kusema JPM ni msafi kuliko EL ni upotoshaji mkubwa kabisa.

Hivyo basi hapo ndo tofauti kubwa ya kwanza kabisa kati ya hao viongozi wawili. Pia kingine ni busara. Mzee EL ana busara sana, na pia huchaguwa maneno ya kuzungumza nk.

Watu hao lakini pia wana similarities. Yani kuna mambo wanafanana. Na hilo ni ufuatiliaji, utekelezaji na uwajibikaji.

Hizo ndo nguzo kuu za sifa za Lowassa. Sasa wale ambao hatukuwa na uhakika kuhusu EL, tukaona kuwa Maghufuli pia anaweza kufanya tu kama yeye.

Lakini tofauti ni ukosefu wa busara kwenye maamuzi hayo. Busara ikikosekana kwenye jambo lolote la msingi, basi matokeo yake ni sawa "kujipiga risasi ya mguuni" ukiwa kwenye safari inayoitegemea miguu hiyo.

EL pia ni msikilizaji. Hiyo sifa rais wetu wa sasa hana. Nina imani kuna anaowasikiliza wachache, ambao hao kwake hawana makosa.

Pamoja na sifa ya ujasiri na uchukuaji wa maamuzi magumu alizonazo EL, bado ni mtu mwenye UPENDO na HURUMA.

Rais anaonekana ana ujasiri. Wengi wanapiga wanasema ni uoga. Mimi ninaamini ana ujasiri, lakini hana upendo wala huruma hata chembe.

Binafsi ninaamini rais lazima awe na empathy, yani uwezo wa kujiweka kwenye nafasi ya mtu mwingine na kuona anayopitia. Mtu wa namna hawezi kukosa huruma na upendo, ingredients ambazo ni muhimu sana kwenye jamii ya kitanzania. Aliposhindwa kujiweka kwenye nafasi ya wafiwa, aliamuru rambi rambi zisikabidhiwe kwa wafiwa/waathirika. Hapo ndipo utaona umuhimu wa empathy kwa kiongozi mkuu wa nchi.

Pia EL siyo mtu wa visasi wala vinyongo. Kwa kuwa nilikuwa nimeshamchukia sana kwasababu za uongo kuwa ni fisadi namba moja nchini, nilishindwa kuamini kama hana hizo characteristics.

Nikawa nadhani anajifanyisha tu pale ambapo akitukanwa wala hajibu. Na wanaomuita fisadi hawamyimi usingizi. Yani wala hakutumia nguvu kubwa kupingana na hao wanaomuita fisadi na matusi mengine.

Binafsi ninaamini kuwa JPM amepiga marufuku siasa kwasababu ya Lowassa. Kiukweli, wengi wangeona makosa makubwa tuliyofanya.

Hapo mwanzoni nilikubaliana na JPM kuwa serikali inatakiwa ipewe muda wa kufanya kazi na kutekeleza ahadi zake badala ya kuendeleza siasa. However sasa nimegunduwa kuwa sababu kubwa ni yeye binafsi. Wasiwasi kuwa wananchi watagunduwa mapema makosa waliyoyafanya.

Kama Mungu akimpa uzima, na afya ikawa inaruhusu, nina imani kuwa Lowassa bado ana nafasi ya kuongoza Taifa letu. Pengine akayafanya yale mazuri yaliyoko kwenye uongozi huu wa sasa, na kuachana na negativity zote za utawala huu.

La mwisho kabisa, ni uzalendo wa kweli.


Wishful thinking, lkn haikuwa sasa after all, kila mtu anaweza kusema chochote hata mimi nawezaa kusema Lowasa could have been worse, hizo zote ni wishful thinking, Watanzania tumemkataa Fisadi Lowasa na itabakia kuwa hivyo!
 
Uchambuzi mzuri. Ila kumbuka Lowassa hana maono kabisa ya uongozi. Rejea vision yake wakati wa uchaguzi: "education, education, education". Aliiga kwa Tony Blair (Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza) hii vision; na pia hakuwa na record nzuri ya kuendeleza elimu nchini. Legacy yake ilikuwa ni shule za kata. Ambazo karibu zote ni majanga. Kimaamuzi pia Lowassa ni bomu. Rejea memo alizokuwa akiandika kuharakisha suala la Richmond wakati wa uongozi wake ambazo zilikuja kuibuliwa na kamati ya Mwakyembe.

Sema yote lakini usiniambie Lowassa ni Kiongozi mzuri aisee. In fact, ukilinganisha na Magufuli, Magufuli is better, japokuwa mimi mwenyewe simkubali Magufuli sana.
Kwenye hiyo vision unadhani kina bashite wangekuwepo?....
 
JK inawezekana alikuwa ana wivu kuona besti yake naye akiingia kwenye listi ya mapresdaa. Ili kwenye group lao EL asimfunike. Maana kiukweli walikuwa marafiki. Lakini urafiki wa JK ulikuwa wa kinafiki zaidi.

JK akaleta siasa za "kuvua gamba", akiwa target walio kuwa wakipigiwa kelele za ufisadi. JK alijuwa EL si fisadi lakini alinyamaza na kuendeleza politics za kiswalihina. Ufisadi wote wa kuuza nchi EL hajatokea.

JK yuko responsible kwasababu hata mimi nilimpigia kura Maghufuli badala ya Lowassa kwa kuamini ni fisadi ambaye JK anaogopa kumtimua waziwazi ili chama kisimegeke. But I was wrong.

JK pia alitaka wananchi wamkumbuke uongozi wake ndo maana akaona JPM anafaa zaidi kwasababu anamfahamu vyema(alishawahi kupindua maamuzi yake mengi tu JPM alipokuwa waziri na JK rais), JK alijuwa kuna namna mambo yatakuwa ndivyo sivyo na wananchi kulalamika zaidi, hence kumkumbuka.

However nimekaa nikafikiria, sababu kubwa ya kumpigia kura JPM badala ya Lowassa ni ufisadi. Nikasubiri ccm wamshitaki EL, wapi. Subiri wataje kashfa ambaye kiukweli amehusika yeye, hakuna.

Yani ina maana kashfa ya kuuza nyumba za serikali kwa ndugu zake, inaonyesha wazi uncle Magu ni fisadi na wala siyo EL.

Kwahiyo hapa kusema JPM ni msafi kuliko EL ni upotoshaji mkubwa kabisa.

Hivyo basi hapo ndo tofauti kubwa ya kwanza kabisa kati ya hao viongozi wawili. Pia kingine ni busara. Mzee EL ana busara sana, na pia huchaguwa maneno ya kuzungumza nk.

Watu hao lakini pia wana similarities. Yani kuna mambo wanafanana. Na hilo ni ufuatiliaji, utekelezaji na uwajibikaji.

Hizo ndo nguzo kuu za sifa za Lowassa. Sasa wale ambao hatukuwa na uhakika kuhusu EL, tukaona kuwa Maghufuli pia anaweza kufanya tu kama yeye.

Lakini tofauti ni ukosefu wa busara kwenye maamuzi hayo. Busara ikikosekana kwenye jambo lolote la msingi, basi matokeo yake ni sawa "kujipiga risasi ya mguuni" ukiwa kwenye safari inayoitegemea miguu hiyo.

EL pia ni msikilizaji. Hiyo sifa rais wetu wa sasa hana. Nina imani kuna anaowasikiliza wachache, ambao hao kwake hawana makosa.

Pamoja na sifa ya ujasiri na uchukuaji wa maamuzi magumu alizonazo EL, bado ni mtu mwenye UPENDO na HURUMA.

Rais anaonekana ana ujasiri. Wengi wanapiga wanasema ni uoga. Mimi ninaamini ana ujasiri, lakini hana upendo wala huruma hata chembe.

Binafsi ninaamini rais lazima awe na empathy, yani uwezo wa kujiweka kwenye nafasi ya mtu mwingine na kuona anayopitia. Mtu wa namna hawezi kukosa huruma na upendo, ingredients ambazo ni muhimu sana kwenye jamii ya kitanzania. Aliposhindwa kujiweka kwenye nafasi ya wafiwa, aliamuru rambi rambi zisikabidhiwe kwa wafiwa/waathirika. Hapo ndipo utaona umuhimu wa empathy kwa kiongozi mkuu wa nchi.

Pia EL siyo mtu wa visasi wala vinyongo. Kwa kuwa nilikuwa nimeshamchukia sana kwasababu za uongo kuwa ni fisadi namba moja nchini, nilishindwa kuamini kama hana hizo characteristics.

Nikawa nadhani anajifanyisha tu pale ambapo akitukanwa wala hajibu. Na wanaomuita fisadi hawamyimi usingizi. Yani wala hakutumia nguvu kubwa kupingana na hao wanaomuita fisadi na matusi mengine.

Binafsi ninaamini kuwa JPM amepiga marufuku siasa kwasababu ya Lowassa. Kiukweli, wengi wangeona makosa makubwa tuliyofanya.

Hapo mwanzoni nilikubaliana na JPM kuwa serikali inatakiwa ipewe muda wa kufanya kazi na kutekeleza ahadi zake badala ya kuendeleza siasa. However sasa nimegunduwa kuwa sababu kubwa ni yeye binafsi. Wasiwasi kuwa wananchi watagunduwa mapema makosa waliyoyafanya.

Kama Mungu akimpa uzima, na afya ikawa inaruhusu, nina imani kuwa Lowassa bado ana nafasi ya kuongoza Taifa letu. Pengine akayafanya yale mazuri yaliyoko kwenye uongozi huu wa sasa, na kuachana na negativity zote za utawala huu.

La mwisho kabisa, ni uzalendo wa kweli.

wewe ni mmoja wa wale watu 12,000 aliosema mhe.JPM ana enjoy akiwasikia wakimtukana wala haoni taabu maana nchi hii ina zaidi ya watu milioni 50
 
Slaa ndo alikuja na ile listi ya mafisadi Mwembe Yanga. Kama Lowassa alikuwemo humo, muondoe halafu ndo tuanze kujadiliana kuhusu ukweli wa Slaa kuwa Lowassa ni fisadi. Slaa naye anaweza kuwa victim kama mimi tu. Kwasababu nilijiapiza sitoweza kumpigia kura fisadi. Slaa alikuwa na fikra kama hizo. Kwasababu wana Jf asili humu karibia wote tulilishwa sumu kuhusu Lowassa. Slaa tulikuwa naye humu, wote tukiamini kuwa Lowassa ndo fisadi kuu. Kumbe hata wapi bhana.

Pole sana inaelekea uelewi unachoitaji nashindwa ata kuendelea na mjadala.
 
Wishful thinking, lkn haikuwa sasa after all, kila mtu anaweza kusema chochote hata mimi nawezaa kusema Lowasa could have been worse, hizo zote ni wishful thinking, Watanzania tumemkataa Fisadi Lowasa na itabakia kuwa hivyo!
Usimuite mtu fisadi bila ushahidi. Sidhani kama hiyo propaganda itafanya kazi tena. Niambie kati ya hao wawili nani ni fisadi kiuhalisia?

Uncle Magu kauza nyumba za serikali kwa bei chee na nyingine kagawa bure kwa ndugu na kimada. Lowassa hakuna kashfa anayohusika zaidi ya uzushi. Sasa hapo nani ni fisadi ukiacha porojo?
 
Edward Ngoyai Lowassa, Seriously ???
Bado mnajipa haya matumaini kabisa ???
Madhambi ya Kikwete na Magufuli hayamfanyi Lowassa au Chadema kuwa wasafi.
Hawa wote lao ni moja na inabidi wote washughulikiwe na wananchi.
 
Usimuite mtu fisadi bila ushahidi. Sidhani kama hiyo propaganda itafanya kazi tena. Niambie kati ya hao wawili nani ni fisadi kiuhalisia?

Uncle Magu kauza nyumba za serikali kwa bei chee na nyingine kagawa bure kwa ndugu na kimada. Lowassa hakuna kashfa anayohusika zaidi ya uzushi. Sasa hapo nani ni fisadi ukiacha porojo?


Vyovyote vile ila Watanzania tulishamkataa!
 


kuhusu nyumba za serikali msikilize mwenyekiti wa chadema kanda ya pwani Mr Sumaye hapo juu anatoa ufafanuzi mzuri tu.

Richmond ni ya Lowassa ilo awezi chomoka, ukitaka ushaidi waulize lissu, mnyika na lema walishasema.ushahidi wanao.

Yani huyo Lowassa ni afadhari mtafute mwingine huyo ni mwizi ata nafsi yako inajua kutopandishwa kizimbani hakumfanyi kutokuwa mwizi wapo wezi wengi tu wa nchi hii awajafikishwa kortini sababu walituibia kwa akili nyingi lakini haiwafanyi kutokuwa wezi.

Magufuli ni kiongozi ni jasiri atatufikisha sehemu nzuri, amethubutu mpaka kugusa eneo la madini pamoja na kumbeza wengi tunaamini kuna matunda tutayaona huko.

Pengine sio mzuri kwenye siasa ndio maana vilio vyenu wengi haswa ni kwenye demokrasia.

Mkuu, Lowassa ana uwezo wa kufanya haya yote anayofanya Maghuguli na zaidi. Kitakachoongezeka hapo ni busara. Yatapungua au kwisha hayo mengine yanayonyima uhuru wa kidemokrasia, mauwaji, utekaji, unyanyaswaji nk

Sasa wewe unasema Lowassa na mwizi. Unadhani mimi ndo nilikuwa sisemi hayo maneno? Nimesubiri ushahidi hakuna. Na usidhani kwamba mimi mwananchi wa kawaida nataka nione ushahidi kama ule wa mahakamani. Ushahidi wo wote utakaokuwa una make sense mimi nitaukubali. Hadi usawa huu, hakuna lolote. Achilia mbali la kumshitaki, sioni hata la kumtuhumu. Niwekee lolote lenye ambiguity, litakaloweka hata ushahidi wa kimazingira kuhusu ufisadi wake.

Hayo ya ufafanuzi wa Sumaye, isiwe ndiyo solution. Kina Mnyika na Lissu, taarifa hizo si walizitoa humo humo serikalini? Inawezekana waliozitoa walikuwa wana nia zao binafsi, pengine za kisiasa. Lakini kwa ninavyomjuwa Magu hadi usawa huu. Lowasssa angekuwa fisadi, tayari kungekuwa na kesi kama kina Rugemalila na singasinga.
 
Hata JK hakutaka huyu jamaa apite aisee kilichofanyika ni kua JK alikua na team ambayo jamaa yake Mem...alikua, pia Migiro, Makamba jamaa wa EL walikua wengi kumkomoa wakampitisha jamaa,na kibaya jamaa mwenyewe anajua hastahili kitu chochote kile aiseee ndo mana uongozi wake full kujistukia...
 
Usimuite mtu fisadi bila ushahidi. Sidhani kama hiyo propaganda itafanya kazi tena. Niambie kati ya hao wawili nani ni fisadi kiuhalisia?

Uncle Magu kauza nyumba za serikali kwa bei chee na nyingine kagawa bure kwa ndugu na kimada. Lowassa hakuna kashfa anayohusika zaidi ya uzushi. Sasa hapo nani ni fisadi ukiacha porojo?

Mkuu nimekuwekea maelezo ya Sumaye kuhusu uuzwaji wa nyumba za serikali na bado unamuita Magu fisadi bila kuweka ushahidi wa kueleweka ila unakataa Lowassa asiitwe fisadi pamoja na ushahidi wa bunge. Au umekumbuka tu nyumbani leo bwn mushi?
 
Mkuu nimekuwekea maelezo ya Sumaye kuhusu uuzwaji wa nyumba za serikali na bado unamuita Magu fisadi bila kuweka ushahidi wa kueleweka ila unakataa Lowassa asiitwe fisadi pamoja na ushahidi wa bunge. Au umekumbuka tu nyumbani leo bwn mushi?
Sasa mkuu wangu, unaweka kauli za Sumaye kujustify kuwa Maghufuli hakuhusika kwenye uuzaji wa nyumba za serikali kwa bei chee? Ok, kabla sijaisikiliza(nitaisikiliza in a moment), je Sumaye amekana kwamba Magu hakumpa nyumba za umma ndugu au kimada wake?

Inawezekana uamuzi wa serikali kiujumla haukuwa mzuri, na kwamba yeye alikuwa anafuata orders tu kutoka juu kwa kina Mkapa.

Je hizo order kutoka juu zilihusisha yeye kuuvua uzalendo na kutoa nyumba ya serikali kwa kimada na ndugu?
 
JK inawezekana alikuwa ana wivu kuona besti yake naye akiingia kwenye listi ya mapresdaa. Ili kwenye group lao EL asimfunike. Maana kiukweli walikuwa marafiki. Lakini urafiki wa JK ulikuwa wa kinafiki zaidi.

JK akaleta siasa za "kuvua gamba", akiwa target walio kuwa wakipigiwa kelele za ufisadi. JK alijuwa EL si fisadi lakini alinyamaza na kuendeleza politics za kiswalihina. Ufisadi wote wa kuuza nchi EL hajatokea.

JK yuko responsible kwasababu hata mimi nilimpigia kura Maghufuli badala ya Lowassa kwa kuamini ni fisadi ambaye JK anaogopa kumtimua waziwazi ili chama kisimegeke. But I was wrong.

JK pia alitaka wananchi wamkumbuke uongozi wake ndo maana akaona JPM anafaa zaidi kwasababu anamfahamu vyema(alishawahi kupindua maamuzi yake mengi tu JPM alipokuwa waziri na JK rais), JK alijuwa kuna namna mambo yatakuwa ndivyo sivyo na wananchi kulalamika zaidi, hence kumkumbuka.

However nimekaa nikafikiria, sababu kubwa ya kumpigia kura JPM badala ya Lowassa ni ufisadi. Nikasubiri ccm wamshitaki EL, wapi. Subiri wataje kashfa ambaye kiukweli amehusika yeye, hakuna.

Yani ina maana kashfa ya kuuza nyumba za serikali kwa ndugu zake, inaonyesha wazi uncle Magu ni fisadi na wala siyo EL.

Kwahiyo hapa kusema JPM ni msafi kuliko EL ni upotoshaji mkubwa kabisa.

Hivyo basi hapo ndo tofauti kubwa ya kwanza kabisa kati ya hao viongozi wawili. Pia kingine ni busara. Mzee EL ana busara sana, na pia huchaguwa maneno ya kuzungumza nk.

Watu hao lakini pia wana similarities. Yani kuna mambo wanafanana. Na hilo ni ufuatiliaji, utekelezaji na uwajibikaji.

Hizo ndo nguzo kuu za sifa za Lowassa. Sasa wale ambao hatukuwa na uhakika kuhusu EL, tukaona kuwa Maghufuli pia anaweza kufanya tu kama yeye.

Lakini tofauti ni ukosefu wa busara kwenye maamuzi hayo. Busara ikikosekana kwenye jambo lolote la msingi, basi matokeo yake ni sawa "kujipiga risasi ya mguuni" ukiwa kwenye safari inayoitegemea miguu hiyo.

EL pia ni msikilizaji. Hiyo sifa rais wetu wa sasa hana. Nina imani kuna anaowasikiliza wachache, ambao hao kwake hawana makosa.

Pamoja na sifa ya ujasiri na uchukuaji wa maamuzi magumu alizonazo EL, bado ni mtu mwenye UPENDO na HURUMA.

Rais anaonekana ana ujasiri. Wengi wanapiga wanasema ni uoga. Mimi ninaamini ana ujasiri, lakini hana upendo wala huruma hata chembe.

Binafsi ninaamini rais lazima awe na empathy, yani uwezo wa kujiweka kwenye nafasi ya mtu mwingine na kuona anayopitia. Mtu wa namna hawezi kukosa huruma na upendo, ingredients ambazo ni muhimu sana kwenye jamii ya kitanzania. Aliposhindwa kujiweka kwenye nafasi ya wafiwa, aliamuru rambi rambi zisikabidhiwe kwa wafiwa/waathirika. Hapo ndipo utaona umuhimu wa empathy kwa kiongozi mkuu wa nchi.

Pia EL siyo mtu wa visasi wala vinyongo. Kwa kuwa nilikuwa nimeshamchukia sana kwasababu za uongo kuwa ni fisadi namba moja nchini, nilishindwa kuamini kama hana hizo characteristics.

Nikawa nadhani anajifanyisha tu pale ambapo akitukanwa wala hajibu. Na wanaomuita fisadi hawamyimi usingizi. Yani wala hakutumia nguvu kubwa kupingana na hao wanaomuita fisadi na matusi mengine.

Binafsi ninaamini kuwa JPM amepiga marufuku siasa kwasababu ya Lowassa. Kiukweli, wengi wangeona makosa makubwa tuliyofanya.

Hapo mwanzoni nilikubaliana na JPM kuwa serikali inatakiwa ipewe muda wa kufanya kazi na kutekeleza ahadi zake badala ya kuendeleza siasa. However sasa nimegunduwa kuwa sababu kubwa ni yeye binafsi. Wasiwasi kuwa wananchi watagunduwa mapema makosa waliyoyafanya.

Kama Mungu akimpa uzima, na afya ikawa inaruhusu, nina imani kuwa Lowassa bado ana nafasi ya kuongoza Taifa letu. Pengine akayafanya yale mazuri yaliyoko kwenye uongozi huu wa sasa, na kuachana na negativity zote za utawala huu.

La mwisho kabisa, ni uzalendo wa kweli.
hivi wakati unaandika hii post ulikuwa ns akili timamu kweli? kwani mtu kuwa raisi lazima apitie ccm. lowasa si amegombea urais kupitia ukawa. wakulaumu ni wananchi kwanini wamempa jpm na si EL.
 
Magufuli ni rais bora kabisa kuwai kutokea. Acheni akili fupi za kiafrika, huyo lowassa kwa mfano angefanya nini ambacho magu hafanyi zaidi ya wizi yeye na genge lake la kina rostam karamagi
Kwanini hawajashtakiwa mpaka leo? au mnawaogopa? ama hiyo kesi itawasomba na mnaowatukuza?
 
Sasa mkuu wangu, unaweka kauli za Sumaye kujustify kuwa Maghufuli hakuhusika kwenye uuzaji wa nyumba za serikali kwa bei chee? Ok, kabla sijaisikiliza(nitaisikiliza in a moment), je Sumaye amekana kwamba Magu hakumpa nyumba za umma ndugu au kimada wake?

Inawezekana uamuzi wa serikali kiujumla haukuwa mzuri, na kwamba yeye alikuwa anafuata orders tu kutoka juu kwa kina Mkapa.

Je hizo order kutoka juu zilihusisha yeye kuuvua uzalendo na kutoa nyumba ya serikali kwa kimada na ndugu?

Wewe unao ushahidi katoa nyumba kwa kimada na ndugu?
 
Back
Top Bottom