Lowassa could've done better...

Dr Slaa aliisoma tu aliyeiandika T Lisu, muulizeni kwa nn alitunga uongo
 
Wishful thinking, lkn haikuwa sasa after all, kila mtu anaweza kusema chochote hata mimi nawezaa kusema Lowasa could have been worse, hizo zote ni wishful thinking, Watanzania tumemkataa Fisadi Lowasa na itabakia kuwa hivyo!
Itabakia hivi FULLstop
 
Na hao wengine wanalindwa na nani au sio mafisadi?
Utalindwa vipi ukiwa nje ya ccm? Ndo maana navyofahamu hasira na nyongo za mkulu, Lowassa angekuwa fisadi sahii ungekuta ananyea debe.
 
Acha ujinga Dr Slaa aliisoma tu aliyeiandika TLizu, muulizeni kea nn alitunga uongo
Mkuu Kwani hata akiisoma yeye kuna utofauti gani? Taarifa zenyewe si zilitoka ndani ya serikali? Wewe unadhani kwanini walizitoa? Pengine chadema na kina Lissu walilishwa kasa na wao wakaja kutulisha sisi. Tumia akili, na pia utulie unapofikiri kuhusu hii issue. Usiende kiushabiki utapotea.
 
Mkuu nimekuwekea maelezo ya Sumaye kuhusu uuzwaji wa nyumba za serikali na bado unamuita Magu fisadi bila kuweka ushahidi wa kueleweka ila unakataa Lowassa asiitwe fisadi pamoja na ushahidi wa bunge. Au umekumbuka tu nyumbani leo bwn mushi?
Dah hapo watu hawafai
 
Mtu aliyeishia kusoma theatre arts (usanii) utamlinganisha na mwenye PhD ya sayansi? Utakuwa na akili kweli?
 

Kama ipo wazi ipo wazi kwako,sisi tusiofahamu tuwekee ushahidi.
 
Utalindwa vipi ukiwa nje ya ccm? Ndo maana navyofahamu hasira na nyongo za mkulu, Lowassa angekuwa fisadi sahii ungekuta ananyea debe.

Kwa hiyo Chenge afikishwi mahakamani sababu ni fisadi lkn analindwa ila Lowassa sababu sio fisadi si ndio?
 
Kwa hali nchi ilipokuwa imefikia kiongozi kama Rais Magufuli alihitajiwa. Akirekebisha masuala ya uchumi atakuwa Rais Bora
 
Huu ni ukweli mchungu. CHADEMA wana makosa yao pia. Inawezekana waligunduwa wameingizwa chaka, lakini shida iko upande wa wananchi. Tulichanganywa siyo siri.
Hasa pale Slaa alipoamua kususa na kuachana na siasa ndiyo iliwaumiza sana wanachama wa chadema na wananchi kwa ujumla
 
Magufuli ni rais bora kabisa kuwai kutokea. Acheni akili fupi za kiafrika, huyo lowassa kwa mfano angefanya nini ambacho magu hafanyi zaidi ya wizi yeye na genge lake la kina rostam karamagi
Mpaka sasa tutajieuyu asie nagege kakamata gege gani na lime lipa nini na taifa limefaidikaje nauchumi wako wewe umebadilikaje?
 
Nilimpigia Magufuli na nitampigia tena na tena, rais aliyekomesha rushwa aina ya richmond na kirudisha heshima mtaani.
Heshima gani aliyo rudisha, kupungua kwa pato la mtanzania na mfumuko wa bei kupaa ndio heshima?
 
Aliye sema nchi imekaa tengeiwekwe sawa nani?? Walio iweka tenge akina nani? Yeye wakuiweka sawa hakushiriki kwenye awamu za kuiweka tenge??
 
kwahapo siamini ingawa nilikuwa nipo naye.waliomzunguka sijui angefanyaje
 
Hii nchi imefikishwa hapa ilipo na chadema,???? Uwo wizi, semina za ovyo ovyo, rushwa wame fanya chadema?? Uyo rais unae mdifine kuwa ndio alitakiwa alikuwa kwenye serikali gani kama sio hii hii anayo ilalamikia? Acheni unafki ccm uongo umewzidi!! Mtu ansimama anasema hili baadae lile eti ndio tuliye muhitaji!

Akwendreeee
 
Bob,katukomoa wote sasa
 
..kama city water walikatiwa mkataba kwa makosa wangeshinda kesi yao..lakini haikuwa hivyo,...maana lowassa alifanya uamuzi sahihi....na kuhusu hizi commission za 200m nalo ni uzushi tu kama uzushi wa Richmond....kama hizi commission za 200m ni kweli basi leo lowassa angekua ananyea debe...kwa kisasi na chuki kuu waliyokuwa nayo viongozi wa ccm baada ya yeye kutimkia chadema kwa hili wasingemwacha....kwa lowassa kutoshtakiwa hadi leo....pamoja na chuki kuu dhidi yake toka ccm baada ya kuhama chama..ni uthibitisho tosha kuwa hana kesi ya kujibu....wamemzushia tu sababu za chuki na hila za kisiasa...

 
Nilifanya uamuzi wa ajabu sana kumpigia kura Lowasa.
Wale majaa watata wa 777 wote wangekuwa mabalozi na wakuu wa mikoa na wengine wezi wa mfukoni kwa kutumia dola. Hafai baba yule bora amekaa mbali...ila namuheshimu sana maana ametulia tuliii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…