Mkuu msamehe...Hujawahi kuona njaa Siku ukipata na njaa hautaandika huo utumbo wako.
Serikali je, ina mashamba?Kwani chadema wana shamba?
Hongera sana mkuuu. Ungekuwa karibu ningekutafta tukale hata nyamachomamimi napinga kwa nguvu zote vitu visivyosaidia wananchi kwenye matatizo halisia viwe oparation Ukuta, oparation kata funua au oparation acha Godbless Lema kwa kumwita mkuu wa mkoa shoga au tetea Lisu kwa kumwita rais dicteta uchwara hivi vitu havina tija wala ufumbuzi wa matatizo halisia ya watanzania lakini kama chama kinatoa ufumbuzi halisia kikampa mwenye njaa chakula hiyo juhudi nitaiunga mkono kwa nguvu zote kwa hili nasema tena lowasa hongera na Chadema hongera[
Roho mbya zenu zitawaponza. Mbona hujawai kuhoji ahadi za magu?Kuahidi tu sio tatizo kwa sababu hata wewe unaweza kuahidi utawapeleka wanadamu wote mbinguni kama Mungu asipowapeleka. Huwezi kukosa watu wajinga watakaoamini ahadi yako.
Hata ahadi ya Lowassa haiwezi kukosa wajinga watakaoamini.
Mkuu so sorry naona nimekukwaza sana hatuhitaji kugombana hapa ni mawazo huru,Mimi ni kweli nilikuwa namchukia Lowasa lakini ni binadamu gani asiye badilika kifikra na hata kusamehe?kama ni unafiki ni wangu mkuu.Naamini ulikuwa hupendi nilivyokuwa namchukia Lowasa sasa iweje tena unachukia navyimpenda.Hapo nani mnafiki?Tena wewe ficha unafiki wako
Wewe ni linafiki limoja hatari
Kabla lowassa hajawa mungu wenu
Ulikuwa ukipost upumbavu humu
Leo unaropoka !!
Punde naweka humu unafiki wako
Naona wewe unahamu kunyea ndoo ndo maana umeanza matusi ya wazi waziAlafu kuna mjinga mmoja anataka watz wamuombee.....nadhani hata familia yake haimuombei
Muda ndio muamuzi mkuu!Kuahidi tu sio tatizo kwa sababu hata wewe unaweza kuahidi utawapeleka wanadamu wote mbinguni kama Mungu asipowapeleka. Huwezi kukosa watu wajinga watakaoamini ahadi yako.
Hata ahadi ya Lowassa haiwezi kukosa wajinga watakaoamini.
Ccm kumbe ilishabarikiwa sana kwakuwa imewajali sana watu kwa kugawa chakula miaka iliyopitaMungu ibariki Chadema , chama chenye kujali utu na chenye huruma ya kweli .
".....Rais amesema hatoi chakula, mimi nimejadiliana na chama changu tumeona tufanye mpango wa kuwatafutia watanzania chakula.
Hata kama ni cha kuomba nje ya nchi ninaamini dunia itatusikia..", Edward Lowassa, Bukoba Mjini, Kagera15 Januari 2017.
Sipingi msaada, but lazima tuwe na long term plan? Hivi tutaendelea na hali hii mpaka lini? Tutatawaliwa na WAZUNGU mpaka mwisho wa dunia hii.".....Rais amesema hatoi chakula, mimi nimejadiliana na chama changu tumeona tufanye mpango wa kuwatafutia watanzania chakula.
Hata kama ni cha kuomba nje ya nchi ninaamini dunia itatusikia..", Edward Lowassa, Bukoba Mjini, Kagera15 Januari 2017.
Ccm hawana UTUDuuh, Mh. Lowassa atatuliza CCM na kujuta, sikatai apeleke chakula, ila CCM tuamke sasa, wenzetu wanachukua trust na utu wa wananchi na wananchi watajua wao akina Lowassa na UKAWA ndio tegemeo lao badala ya CCM iliyo na dola.. am scared kwa kweli, hili litakuwa pigo takatifu 2020, CCM kidogo tulicho nacho tutoe kama kuna njaa kweli.. 2020 itakuwa ni pigo, am keeping shut, tired, sbb nimeshasema sana, tunapitwaaaaa..!!!