JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,200
Mwambieni Lowasa asijidanganye mara ya pili.
Ila naona kuendekeza ukoloni ndo jadi yenu watawala maana hta nchi yetu tuna almasi sijui dhahabu mara tanzanite ila faida yake hatuioni wanaishia kunufaika wazungu tu hku wakipewa misamaha ya kodi ya mabilion ya shilingi kila mwaka.Try your best mum, poor grammar sio tatzo langu naona akil yako ndo ina poor grammar, kama hukuelewa mute, kumbuka bibie hujanilipia ada how dare you unabwatuka misli ya mbwea
hate your dad who taught you to hate the ruling partyIla naona kuendekeza ukoloni ndo jadi yenu watawala maana hta nchi yetu tuna almasi sijui dhahabu mara tanzanite ila faida yake hatuioni wanaishia kunufaika wazungu tu hku wakipewa misamaha ya kodi ya mabilion ya shilingi kila mwaka.
So kwa watu kma nyie ambao mnaaminishwa kuongea kingereza ndo inaonekana umesoma sana sishtuki nikiskia mko ccm maana na wenyewe wameendekeza ukoloni mpaka leo.
Yeah amekuwa role modal wangu kitaaluma na chanzo cha mimi kuipenda siasa coz aliwanyoosha sana nyie watawala hasa bunge la 9.hate your dad who taught you to hate the ruling party
Unaishi nchi gani maana jf IPO mtandaoni. Uroho Wa madarakaKwani Lowassa ameshateuliwa kuwa Mgombea wa 2020?
Niameanza kukuelewa kumbe, role niniYeah amekuwa role modal wangu kitaaluma na chanzo cha mimi kuipenda siasa coz aliwanyoosha sana nyie watawala hasa bunge la 9.
How dare u question my language literacy level just coz of a mere typing error of a single letter?? Check my other posts and tell me wea have i made a mistake as far as grammar is concerned??Niameanza kukuelewa kumbe, role nini
Chonka bojosi abantu mmmmh, mkuki kwa binadam hauwez ukawa mtamuHow dare u question my language literacy level just coz of a mere typing error of a single letter?? Check my other posts and tell me wea have i made a mistake as far as grammar is concerned??
Hate it or like it like father like son
Mkuuu acha chuki binafsi mie nlitoa tu ushauri kuwa hainaga haja ya kumix lugha ya kiingereza na kiswahili muda mmoja nashangaa ukaichukulia kma ligi.Chonka bojosi abantu mmmmh, mkuki kwa binadam hauwez ukawa mtamu
Na bado anaendelea kuwatesa mpaka leo hii mkuuLowassa kiboko cha ccm hawatakuja kumsahau kwa jinsi alivyowatesa mwaka jana
asante sana naona upo busy kuipekenyua pr yanguMkuuu acha chuki binafsi mie nlitoa tu ushauri kuwa hainaga haja ya kumix lugha ya kiingereza na kiswahili muda mmoja nashangaa ukaichukulia kma ligi.
Maana nakusaidia tu kma unahisi unaweza english basi iongee yote na sio nusu nusu hilo nafkiri kila mzalendo ataniunga mkono. Maana itakuwa haina tofauti ya wwe msomi wa umeme na yule miss tanzania anayeweka "its like" ,"u know","of course" n.k binafsi huoni inaudhi ??
Lowasa anapoteza muda tuu,hawezi kuwa raisi
Swala sio Lowasa kuwa rais swala mi ccm kutoka madalakani tumechoshwa kuongozwa na chama butuLowasa anapoteza muda tuu,hawezi kuwa raisi
Ccm itaondoka,ipende au isipende.mwisho ukifika miti yote hutereza.Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa ameitaka CCM iache kujidanganya kuwa haiwezi kuondoka madarakani akiitaka iangalie alama za nyakati hasa mabadiliko ya uongozi yanayotokea kwingineko duniani.
Hata hivyo, Lowassa ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amesema unahitajika muungano wa dhati wa vyama na uliopangiliwa vizuri katika juhudi za kuiondoa CCM madarakani.
Lowassa alisema hayo alipoombwa na mwandishi wa habari hizi kutoa tathmini ya maisha yake ya kisiasa mwaka mmoja na nusu tangu alipojiondoa CCM na kujiunga na CHADEMA ambako aliteuliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho akiwakilisha muungano wa vyama vinne – CHADEMA, CUF, NCCR - Mageuzi na NLD – Iliopewa jina la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
Chanzo: Gazeti la Mwananchi leo.
Wazo binafsi: Ni vyema Lowasa akajitambua kwani CCM haitaondolewa na upinzani unaongozwa na yeye wala Mbowe wala CHADEMA ya sasa.
hahahahaahahaha poleWaziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa ameitaka CCM iache kujidanganya kuwa haiwezi kuondoka madarakani akiitaka iangalie alama za nyakati hasa mabadiliko ya uongozi yanayotokea kwingineko duniani.
Hata hivyo, Lowassa ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amesema unahitajika muungano wa dhati wa vyama na uliopangiliwa vizuri katika juhudi za kuiondoa CCM madarakani.
Lowassa alisema hayo alipoombwa na mwandishi wa habari hizi kutoa tathmini ya maisha yake ya kisiasa mwaka mmoja na nusu tangu alipojiondoa CCM na kujiunga na CHADEMA ambako aliteuliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho akiwakilisha muungano wa vyama vinne – CHADEMA, CUF, NCCR - Mageuzi na NLD – Iliopewa jina la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
Chanzo: Gazeti la Mwananchi leo.
Wazo binafsi: Ni vyema Lowasa akajitambua kwani CCM haitaondolewa na upinzani unaongozwa na yeye wala Mbowe wala CHADEMA ya sasa.
Andiko lako refu lakini halina maana ccm hitatoka madalakani na itatolewa na wananchi awa awa ambao mnawaona marofa,washenz ,wajinga , wapumbavu watu wasio n mwelekeo Mme kuwa mkidharau maoni na mawazo yaoUko sahihi CCM haiwezi ondolewa na CHADEMA wala UKAWA wala LOWASA sababu wote hao ni wapinga muungano huu wa serikali mbili tulionao
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao huwa wanasema UKAWA na Lowasa na SEIF hawauelewi ulivyokaa huo wa serikali mbili uliomchanganya hata warioba na tume yake ndio mwamuzi wa nani afaa kuwa raisi wa Muungano au Zanzibar.
Muungano huo ulifanywa na mababu Wa TANGANYIKA na ZANZIBAR kwa Udongo uliochukuliwa pande mbili za muungano ukachanganywa kwenye chupa na dawa na wazee wakala yamini ya kutouvunja huo muungano hivyo hivyo ulivyo milele,wakapiga madua na manuizo ya kiutawala kwenye hiyo chupa.
Kwa hali ya kawaida ungetarajia ile chupa iliyochanganywa udongo iwe jumba la makumbusho.Haipo.Ilifanyiwa mauchawi ya kitawala ikaenda kutupwa katikati ya vilindi vya bahari huku wazee wakisoma madua kuwa yeyote atakayetaka kubomoa huo muungano abomoke yeye na kama akittaka uraisi popote iwe wa muungano wala wa Zanzibar asipate.Ukitaka kuuvunja hutakiwi kutumia porojo za kitoto za sijui rasimu ya kitoto ya katiba ya Warioba ETI ilitaka seikali tatu hutaweza!!! Katafute ile chupa uibomoe ndipo muungano utabomoka .
Ndio maana wapinga muungano huu kama ulivyo wote hakuna anayeweza kuwa Raisi awe wa Zanzibar au muunganoWote waliojaribu kuuvunja walikwama na waliojaribu kuuvunja ili wafanikiwe kuwa maraisi akiwemo SEIF SHARIFF hamad,LOWASA,warioba,mbowe,Lipumba,SLAA nk wote walikwama.Uwe CCM au nje ya CCM ukiupinga hushiki uraisi wa Tanzania uwe wa muungano au wa Zanzibar.Ni mawili tu uko na huu muungano ulivyo hutaki OUT.
HUO MUUNGANO NI KISIKI kwa Lowasa.Nashangaa kukaa kwake kote serikalini na Kingunge wake hawakuijua hiyo siri.Watu wazima hovyo kabisa.Lowasa alitakiwa alijue hilo kabla ya kwenda kujiunga na wapinga muungano wa serikali mbili.Ukitaka kushika uraisi lazima utake usitake ukubaliane nao kama ulivyo.HUU UJUMBE WAFIKISHIE UKAWA wote wanaodhani huu muungano ulivyo ni wa kuuchezea.Ukitaka kuubomoa unakubomoa.Ndio maana safari hii LOWASA na SEIF walikubaliana SEIF ashike uraisi Zanzibar LOWASA ashike uraisi muungano halafu wabomoe muungano huu wa serikali mbili.Kilichomkuta SEIF zanzibar haji kisahau.Na lowasa hana hamu na haelewi nini kilimtokea hadi leo.
HUO UKAWA ni umoja wa watu mbumbumbu wasiojua uchawi wa utawala.HILO LA KUTAKA KUVUNJA MUUNGANO ni kigezo kiukuu cha UKAWA kutoshika dola HATA WAJIZATITI VIPI.Muungano sio wa kugusa ndio maana hata CCM Haiugusi kabisa kusema twataka serikali tatu sababu wanaujua mziki wake wakiugusa kutaka kuufumua kitakachokuta hawaji sahau.UKAWA wasingekuwa wanapinga serikali mbili uchaguzi uliopita wangeweza shinda lakini walishindana na kisiki kikawachoma.
Lowassa bado yupo kwenye elections mode!Lumumba wanajiaminisha kuwa wao ni wa kipekee sana watatawala
mpk mwisho wa dunia.mnaijua kesho yenu nyie mmekua Mungu?