Lowassa: CCM isijidanganye

Lowassa: CCM isijidanganye

Lumumba wanajiaminisha kuwa wao ni wa kipekee sana watatawala
mpk mwisho wa dunia.mnaijua kesho yenu nyie mmekua Mungu?
 
Uko sahihi CCM haiwezi ondolewa na CHADEMA wala UKAWA wala LOWASA sababu wote hao ni wapinga muungano huu wa serikali mbili tulionao

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao huwa wanasema UKAWA na Lowasa na SEIF hawauelewi ulivyokaa huo wa serikali mbili uliomchanganya hata warioba na tume yake ndio mwamuzi wa nani afaa kuwa raisi wa Muungano au Zanzibar.

Muungano huo ulifanywa na mababu Wa TANGANYIKA na ZANZIBAR kwa Udongo ulichukuliwa pande mbili za muungano ukachanganywa kwenye chupa na dawa na wazee wakala yamini ya kutouvunja huo muungano hivyo hivyo ulivyo milele,wakapiga madua na manuizo ya kiutawala kwenye hiyo chupa.

Kwa hali ya kawaida ungetarajia ile chupa iliyochanganywa udongo iwe jumba la makumbusho.Haipo.Ilifanyiwa mauchawi ya kitawala ikaenda kutupwa katikati ya vilindi vya bahari huku wazee wakisoma madua kuwa yeyote atakayetaka kubomoa huo muungano abomoke yeye na kama akittaka uraisi popote iwe wa muungano wala wa Zanzibar asipate.Ukitaka kuuvunja hutakiwi kutumia porojo za kitoto za sijui rasimu ya kitoto ya katiba ya Warioba ETI ilitaka seikali tatu hutaweza!!! Katafute ile chupa uibomoe ndipo muungano utabomoka .

Ndio maana wapinga muungano huu kama ulivyo wote hakuna anayeweza kuwa Raisi awe wa Zanzibar au muunganoWote waliojaribu kuuvunja walikwama na waliojaribu kuuvunja ili wafanikiwe kuwa maraisi akiwemo SEIF SHARIFF hamad,LOWASA,warioba,mbowe,Lipumba,SLAA nk wote walikwama.Uwe CCM au nje ya CCM ukiupinga hushiki uraisi wa Tanzania uwe wa muungano au wa Zanzibar.Ni mawili tu uko na huu muungano ulivyo hutaki OUT.

HUO MUUNGANO NI KISIKI kwa Lowasa.Nashangaa kukaa kwake kote serikalini na Kingunge wake hawakuijua hiyo siri.Watu wazima hovyo kabisa.Lowasa alitakiwa alijue hilo kabla ya kwenda kujiunga na wapinga muungano wa serikali mbili.Ukitaka kushika uraisi lazima utake usitake ukubaliane nao kama ulivyo.HUU UJUMBE WAFIKISHIE UKAWA wote wanaodhani huu muungano ulivyo ni wa kuuchezea.Ukitaka kuubomoa unakubomoa.Ndio maana safari hii LOWASA na SEIF walikubaliana SEIF ashike uraisi Zanzibar LOWASA ashike uraisi muungano halafu wabomoe muungano huu wa serikali mbili.Kilichomkuta SEIF zanzibar haji kisahau.Na lowasa hana hamu na haelewi nini kilimtokea hadi leo.

HUO UKAWA ni umoja wa watu mbumbumbu wasiojua uchawi wa utawala.HILO LA KUTAKA KUVUNJA MUUNGANO ni kigezo kiukuu cha UKAWA kutoshika dola HATA WAJIZATITI VIPI.Muungano sio wa kugusa ndio maana hata CCM Haiugusi sababu wanaujua mziki wake wakiugusa kutaka kuufumua kitakachokuta hawaji sahau.UKAWA wasingekuwa wanapinga serikali mbili uchaguzi uliopita wangeweza shinda lakini walishindana na kisiki kikawachoma.
Hii comment bn
 
Mimi sio ccm ila chadomo ni chama la matapeli. Cuf ni chama la masultani.

Havitufai watanzania.
 
I hope ccm inaweza kutoka madarakani lakin mi binafsi naona ni chama chenye uafadhar kuliko hizi takataka za wachumia tumbo , lowassa idadi ya miaka uliyoishi ndani ya ccm ni sawa sawa na miaka utakayoishi nje ya ccm, there is no way you can win Tanzanians hearts, you can't be blessed again, it your time to go down and still watching the race.
Hivi ni lazima kutumia kiingereza na kiswahili muda mmoja?? nahisi ungeendelea na kiswahili tu ningekuelewa hta kma tunatofautiana mawazo naheshim maoni yako ila kma hujui lugha vizuri sio lazima uitumie humu ilimradi uonekane msomi.... GROW UP
 
I hope ccm inaweza kutoka madarakani lakin mi binafsi naona ni chama chenye uafadhar kuliko hizi takataka za wachumia tumbo , lowassa idadi ya miaka uliyoishi ndani ya ccm ni sawa sawa na miaka utakayoishi nje ya ccm, there is no way you can win Tanzanians hearts, you can't be blessed again, it your time to go down and still watching the race.
ivi ni lazima kutumia kiingereza na kiswahili muda mmoja?? nahisi ungeendelea na kiswahili tu ningekuelewa hta kma tunatofautiana mawazo naheshim maoni yako ila kma hujui lugha vizuri sio lazima uitumie humu ilimradi uonekane msomi.... GROW UP
 
Mimi sio ccm ila chadomo ni chama la matapeli. Cuf ni chama la masultani.

Havitufai watanzania.
Kwa hiyo rais wako magu alipoingia na kukuta hazina yote imekombwa na uozo kila kona ilisababishwa na MATAPELI WA CHADEMA???. So sad miaka 50 baada ya uhuru bado kuna watu wanafikra mbovu dhidi ya sera mbadala na hoja kinzani za wanamageuzi
 
Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa ameitaka CCM iache kujidanganya kuwa haiwezi kuondoka madarakani akiitaka iangalie alama za nyakati hasa mabadiliko ya uongozi yanayotokea kwingineko duniani.

Hata hivyo, Lowassa ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amesema unahitajika muungano wa dhati wa vyama na uliopangiliwa vizuri katika juhudi za kuiondoa CCM madarakani.

Lowassa alisema hayo alipoombwa na mwandishi wa habari hizi kutoa tathmini ya maisha yake ya kisiasa mwaka mmoja na nusu tangu alipojiondoa CCM na kujiunga na CHADEMA ambako aliteuliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho akiwakilisha muungano wa vyama vinne – CHADEMA, CUF, NCCR - Mageuzi na NLD – Iliopewa jina la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Chanzo: Gazeti la Mwananchi leo.

Wazo binafsi: Ni vyema Lowasa akajitambua kwani CCM haitaondolewa na upinzani unaongozwa na yeye wala Mbowe wala CHADEMA ya sasa.
wazo lako binafsi ni mfuu, acha chuki na lowasa
 
Lowassa awe Rais? Nchi gani hiyo? Mwaka Jana alinufaika na mgawanyiko ndani ya CCM lakini 2020 asahau kabisa. Ni bora wamshauri asigombee kabisa maana hatoamini kura kiduchu atakazopata!!
Ccm bhana huwa mnajifanya watabiri wa kiti cha urais upinzani kila mwaka .... mwaka 2010 mkasema mbowe sijui asipewe maana hana ushawishi ghafla mkashangaa ameletwa slaa na kikwete wenu kuokolewa na lipumba.... mwaka jana mling'ang'ania slaaa sijui mzee kawa babu... little u expected akaja lowassa na kuwasomesha namba... sasa trend imeendelea na mnatutabiria mgombea 2020 atakuwa lowassa ccm bhana
 
Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa ameitaka CCM iache kujidanganya kuwa haiwezi kuondoka madarakani akiitaka iangalie alama za nyakati hasa mabadiliko ya uongozi yanayotokea kwingineko duniani.

Hata hivyo, Lowassa ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amesema unahitajika muungano wa dhati wa vyama na uliopangiliwa vizuri katika juhudi za kuiondoa CCM madarakani.

Lowassa alisema hayo alipoombwa na mwandishi wa habari hizi kutoa tathmini ya maisha yake ya kisiasa mwaka mmoja na nusu tangu alipojiondoa CCM na kujiunga na CHADEMA ambako aliteuliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho akiwakilisha muungano wa vyama vinne – CHADEMA, CUF, NCCR - Mageuzi na NLD – Iliopewa jina la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Chanzo: Gazeti la Mwananchi leo.

Wazo binafsi: Ni vyema Lowasa akajitambua kwani CCM haitaondolewa na upinzani unaongozwa na yeye wala Mbowe wala CHADEMA ya sasa.
Unafikiri CCM itaondolewa lini na Chama gani kitakachoitoa CCM Madarakani?
Au kwa vile wewe ni mwana lumumba unaamini kua mtatawala milele?
 
Huyu Magu kilaza sana lakin huyu Mamvi ndio mi nachoka kabisa. NI BORA HATA NCHI ISIWE NA RAIS
 
Ccm mtang'oka wacheni kufikiri kwamba nyie ndio hati miliki ya hii nchi, ni kipi kinachowapa jeuri kiasi hicho, basi ipo siku mtakuja kudhania kwamba mwana ccm yeyote hatokufa maishani mwake kwa jinsi akili zenu msivyozishughulisha kufikiri.
Unaizungumzia ccm ipi. ccm ya wapiga dili ishatoka iko chadema na kinara wake baada ya mbowe kuwauzia. ccm inapigana kuzaliwa upya kwa kuondoa masalia ya wapiga dili na kuwarejeshea wavujajasho chama chao.
 
Uko sahihi CCM haiwezi ondolewa na CHADEMA wala UKAWA wala LOWASA sababu wote hao ni wapinga muungano huu wa serikali mbili tulionao

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao huwa wanasema UKAWA na Lowasa na SEIF hawauelewi ulivyokaa huo wa serikali mbili uliomchanganya hata warioba na tume yake ndio mwamuzi wa nani afaa kuwa raisi wa Muungano au Zanzibar.

Muungano huo ulifanywa na mababu Wa TANGANYIKA na ZANZIBAR kwa Udongo uliochukuliwa pande mbili za muungano ukachanganywa kwenye chupa na dawa na wazee wakala yamini ya kutouvunja huo muungano hivyo hivyo ulivyo milele,wakapiga madua na manuizo ya kiutawala kwenye hiyo chupa.

Kwa hali ya kawaida ungetarajia ile chupa iliyochanganywa udongo iwe jumba la makumbusho.Haipo.Ilifanyiwa mauchawi ya kitawala ikaenda kutupwa katikati ya vilindi vya bahari huku wazee wakisoma madua kuwa yeyote atakayetaka kubomoa huo muungano abomoke yeye na kama akittaka uraisi popote iwe wa muungano wala wa Zanzibar asipate.Ukitaka kuuvunja hutakiwi kutumia porojo za kitoto za sijui rasimu ya kitoto ya katiba ya Warioba ETI ilitaka seikali tatu hutaweza!!! Katafute ile chupa uibomoe ndipo muungano utabomoka .

Ndio maana wapinga muungano huu kama ulivyo wote hakuna anayeweza kuwa Raisi awe wa Zanzibar au muunganoWote waliojaribu kuuvunja walikwama na waliojaribu kuuvunja ili wafanikiwe kuwa maraisi akiwemo SEIF SHARIFF hamad,LOWASA,warioba,mbowe,Lipumba,SLAA nk wote walikwama.Uwe CCM au nje ya CCM ukiupinga hushiki uraisi wa Tanzania uwe wa muungano au wa Zanzibar.Ni mawili tu uko na huu muungano ulivyo hutaki OUT.

HUO MUUNGANO NI KISIKI kwa Lowasa.Nashangaa kukaa kwake kote serikalini na Kingunge wake hawakuijua hiyo siri.Watu wazima hovyo kabisa.Lowasa alitakiwa alijue hilo kabla ya kwenda kujiunga na wapinga muungano wa serikali mbili.Ukitaka kushika uraisi lazima utake usitake ukubaliane nao kama ulivyo.HUU UJUMBE WAFIKISHIE UKAWA wote wanaodhani huu muungano ulivyo ni wa kuuchezea.Ukitaka kuubomoa unakubomoa.Ndio maana safari hii LOWASA na SEIF walikubaliana SEIF ashike uraisi Zanzibar LOWASA ashike uraisi muungano halafu wabomoe muungano huu wa serikali mbili.Kilichomkuta SEIF zanzibar haji kisahau.Na lowasa hana hamu na haelewi nini kilimtokea hadi leo.

HUO UKAWA ni umoja wa watu mbumbumbu wasiojua uchawi wa utawala.HILO LA KUTAKA KUVUNJA MUUNGANO ni kigezo kiukuu cha UKAWA kutoshika dola HATA WAJIZATITI VIPI.Muungano sio wa kugusa ndio maana hata CCM Haiugusi kabisa kusema twataka serikali tatu sababu wanaujua mziki wake wakiugusa kutaka kuufumua kitakachokuta hawaji sahau.UKAWA wasingekuwa wanapinga serikali mbili uchaguzi uliopita wangeweza shinda lakini walishindana na kisiki kikawachoma.
Ona sasa akili zilizo mfu kwa hiyo mnawekaga uchaguzi wa nini kama hamtaki wapinga muungano wa serilakali mbili wachukue nchi?? Bunge la katiba mliweka majadiliano ya nni si mngesema simply tumefungwa na ushirikina kwa hyo tuache kipengele cha serikali mbili kma kilivyo. Watu wakitaka mabadiliko hta kma nchi imezindikwa hakuna kinachoweza kuzuia hivi ni nani aliyekuwa amejizindika zaidi ya hitler wa ujerumani au czar nicholas wa russia lakini wote walitolewa madarakani unconditionally sembuse wachawi wa kiccm ambao kuna walokole wachache tu walipiga maombi kule bombo hadi mkahamisha mizimu yenu na miuchawi yenu.

Ukikuta kijana anaamini ushirikina na bado unawaza kujenga tanzania ya viwanda its a disgrace ni heri angewekeza kwenye elimu kwanza maana kma ushirikina unazuia basi nyie ccm msiingiloe mchakato wa uchaguzi acha hayo MAUCHAWI yapiganie muungano sio polisi au jecha.
 
Sikio kamwe haliwezikuzidi kichwa.maMvi hawezi kuiangusha CCM.
 
Kwahiyo maMvi na Sumaye ndio wanamageuzi?
 
Mimi sio ccm ila chadomo ni chama la matapeli. Cuf ni chama la masultani.

Havitufai watanzania.
Ukweli Mchungu:

- Chadema, Ni Chama Ambacho Ni Kitega Uchumi Cha Wachagga Na Mtei


- CUF, Ni Chama Chenye Itikati Ya Kidini ( Wakati Tanzania Ina Watu Wenye Imani Tofauti )

- UDP Ni Chama Cha Kujipatia Fursa Za Kiuchumi Kwa Familia Ya Cheyo Na Kaka Yake Ambaye Ni Katibu Mkuu.

- ACT Kilianza Vizuri Ingawa Naona Kimeokoteza Wafuasi Wengi Wa Dini Moja Kutoka Mkoa Mmoja Kigoma

- TLP, ADC, Vyote Hakuna Kitu
....
Wakati Huo Huo CCM Ni Chama Cha Siasa Chenye Msingi Madhubuti Mno, Kila Kila Mkoa, Kila Mtaa, Kila Kitongozi, Kila Familia Kuna Mtu Anaipenda CCM, Kila Kanda, Pande 2 Za Muungano, Dini Zote, Makabila Yote
- CCM Ni Chama Tajiri Chenye Nguvu Mno, Kina Ushawishi Mpaka Jeshini

- Na Kizuri Zaidi CCM Ni Chama Ambacho Huwa Kinajishtukia Na Kujirekebisha Kikifanya Mabaya Mambo Ambayo Upinzani Hawafanyi - Ukiwakosoa Tu Umejimaliza.
 
Uko sahihi CCM haiwezi ondolewa na CHADEMA wala UKAWA wala LOWASA sababu wote hao ni wapinga muungano huu wa serikali mbili tulionao

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao huwa wanasema UKAWA na Lowasa na SEIF hawauelewi ulivyokaa huo wa serikali mbili uliomchanganya hata warioba na tume yake ndio mwamuzi wa nani afaa kuwa raisi wa Muungano au Zanzibar.

Muungano huo ulifanywa na mababu Wa TANGANYIKA na ZANZIBAR kwa Udongo uliochukuliwa pande mbili za muungano ukachanganywa kwenye chupa na dawa na wazee wakala yamini ya kutouvunja huo muungano hivyo hivyo ulivyo milele,wakapiga madua na manuizo ya kiutawala kwenye hiyo chupa.

Kwa hali ya kawaida ungetarajia ile chupa iliyochanganywa udongo iwe jumba la makumbusho.Haipo.Ilifanyiwa mauchawi ya kitawala ikaenda kutupwa katikati ya vilindi vya bahari huku wazee wakisoma madua kuwa yeyote atakayetaka kubomoa huo muungano abomoke yeye na kama akittaka uraisi popote iwe wa muungano wala wa Zanzibar asipate.Ukitaka kuuvunja hutakiwi kutumia porojo za kitoto za sijui rasimu ya kitoto ya katiba ya Warioba ETI ilitaka seikali tatu hutaweza!!! Katafute ile chupa uibomoe ndipo muungano utabomoka .

Ndio maana wapinga muungano huu kama ulivyo wote hakuna anayeweza kuwa Raisi awe wa Zanzibar au muunganoWote waliojaribu kuuvunja walikwama na waliojaribu kuuvunja ili wafanikiwe kuwa maraisi akiwemo SEIF SHARIFF hamad,LOWASA,warioba,mbowe,Lipumba,SLAA nk wote walikwama.Uwe CCM au nje ya CCM ukiupinga hushiki uraisi wa Tanzania uwe wa muungano au wa Zanzibar.Ni mawili tu uko na huu muungano ulivyo hutaki OUT.

HUO MUUNGANO NI KISIKI kwa Lowasa.Nashangaa kukaa kwake kote serikalini na Kingunge wake hawakuijua hiyo siri.Watu wazima hovyo kabisa.Lowasa alitakiwa alijue hilo kabla ya kwenda kujiunga na wapinga muungano wa serikali mbili.Ukitaka kushika uraisi lazima utake usitake ukubaliane nao kama ulivyo.HUU UJUMBE WAFIKISHIE UKAWA wote wanaodhani huu muungano ulivyo ni wa kuuchezea.Ukitaka kuubomoa unakubomoa.Ndio maana safari hii LOWASA na SEIF walikubaliana SEIF ashike uraisi Zanzibar LOWASA ashike uraisi muungano halafu wabomoe muungano huu wa serikali mbili.Kilichomkuta SEIF zanzibar haji kisahau.Na lowasa hana hamu na haelewi nini kilimtokea hadi leo.

HUO UKAWA ni umoja wa watu mbumbumbu wasiojua uchawi wa utawala.HILO LA KUTAKA KUVUNJA MUUNGANO ni kigezo kiukuu cha UKAWA kutoshika dola HATA WAJIZATITI VIPI.Muungano sio wa kugusa ndio maana hata CCM Haiugusi kabisa kusema twataka serikali tatu sababu wanaujua mziki wake wakiugusa kutaka kuufumua kitakachokuta hawaji sahau.UKAWA wasingekuwa wanapinga serikali mbili uchaguzi uliopita wangeweza shinda lakini walishindana na kisiki kikawachoma.
Ina sound kama kuna kaukweli hapo hasa kuhusu hicho kibuyu walichochanganyia huo udongo hao mababu zetu enzi hizo za Ng'wanamalundi!
 
Lowasa anapoteza muda tuu,hawezi kuwa raisi
Katiba yetu inataka mgombea urais lazima awe na digrii angalao moja. Mbowe hana. Sasa Lowasa asipogombea urais 2020 unataka Lissu ndiye agombee? Are you serious kwamba rais wa awamu ya sita awe Tundu Lissu? Unajua yatakayotupata Lissu akiwa de presidaa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom