Lowassa: CCM isijidanganye

Lowassa: CCM isijidanganye

Ukweli Mchungu:

- Chadema, Ni Chama Ambacho Ni Kitega Uchumi Cha Wachagga Na Mtei


- CUF, Ni Chama Chenye Itikati Ya Kidini ( Wakati Tanzania Ina Watu Wenye Imani Tofauti )

- UDP Ni Chama Cha Kujipatia Fursa Za Kiuchumi Kwa Familia Ya Cheyo Na Kaka Yake Ambaye Ni Katibu Mkuu.

- ACT Kilianza Vizuri Ingawa Naona Kimeokoteza Wafuasi Wengi Wa Dini Moja Kutoka Mkoa Mmoja Kigoma

- TLP, ADC, Vyote Hakuna Kitu
....
Wakati Huo Huo CCM Ni Chama Cha Siasa Chenye Msingi Madhubuti Mno, Kila Kila Mkoa, Kila Mtaa, Kila Kitongozi, Kila Familia Kuna Mtu Anaipenda CCM, Kila Kanda, Pande 2 Za Muungano, Dini Zote, Makabila Yote
- CCM Ni Chama Tajiri Chenye Nguvu Mno, Kina Ushawishi Mpaka Jeshini

- Na Kizuri Zaidi CCM Ni Chama Ambacho Huwa Kinajishtukia Na Kujirekebisha Kikifanya Mabaya Mambo Ambayo Upinzani Hawafanyi - Ukiwakosoa Tu Umejimaliza.
Kinajishtukia na kujirekebisha?? Mbona mmepandikiza ubaguzi zenji eti ni ya watu weusi mbona hayo maneno mandela hakusema south africa ingawa waliteswa sana na wazungu??
Wanajirekebisha?? Mbona bungeni hawanaga hoja nzito za kuiisimamia serikali zaidi ya kusema NDIO na kupiga meza.
Wanajirekebisha?? Mbona kika uchaguzi wanahonga wananchi maskini ili wapate kura vilevile hta ndnai ya ccm kma huna pesa ni ngumu kupewa nafasi ya uongozi maana kuhonga wajumbe ni kma jambo la lazma ndo wakupigie kura.
Mbona kila uchaguzi mnachakachua na kutumia vyombo vya dola kung'ang'ania madaraka hata kama wananchi hawawataki???
Niishie hapa kwa sasa maana unaniongezea jazba mchana wote huu
 
Lowassa ameshajiteua kuwa mgombea urais wa Chadema,na mganga wake amemtabiria ushindi 2020!
Halafu anaiambia ccm isijidangnaye😀😀😀
 
Kuondoka madarakani inawezekana.Ila Sio Leo au kesho kutokana na mfumo na katiba ya Tanzania. Pata katiba mpya, tume huru.Wataondoka asubuhi na mapema....
 
Mambo yanayoifanya ccm kuwa na kibur na kujiona wao wana hati miliki ya taifa ni:
1. Katiba mbovu.
2. Tume isiyo huru
3. Polisi.
 
Mambo yanayoifanya ccm kuwa na kibur na kujiona wao wana hati miliki ya taifa ni:
1. Katiba mbovu.
2. Tume isiyo huru
3. Polisi.
 
Kuiondoa CCM ni rahisi sana endapo tume ya uchaguzi itakua huru ata 2015 walikua out ila kwa tume hii inayoripoti kwa mtukufu tusahau.
 
Kinajishtukia na kujirekebisha?Mbona mmepandikiza ubaguzi zenji eti ni ya watu weusi
Sipendi Kuzungumzia Siasa Za ZNZ Kwa Sababu Zimejaa Ubaguzi. Mbona Seif Anawaamisha Wazenji Eti Ili Uwe Muislamu Mzuri Unatakiwa Uwe CUF ? Anaamini Anaweza Kuwa Rais Zenj Ikiwa Nje Ya Muungano - Yaani Dunia Ya Leo Watu Wanalilia Kuungana Wewe Unahubiri Utengano Kwa Maslahi Yako Tu.
south africa ingawa waliteswa sana na wazungu??
Mandela Alitaka Urais Akapewa, Wazulu Walitaka Rais Mweusi Wakapewa - Uchumi Wote Wanamiliki Wazungu
kusema NDIO.
Huko
Chadema Wazee Wa Hoja Mbona Hatuoni Hoja Nzito Zikielekezwa ndani ya CDM Au Hata Kumkosoa Tu Mbowe - Au Yeye Malaika Hakosei ?.
Mbona kila uchaguzi mnachakachua na kutumia vyombo vya dola kung'ang'ania madaraka
Ni Kweli Tunachakachua Mpaka Mkapata Wabunge Kibao Wa Upinzani - Ninyi Mpaka Mkishinda Ndo Mnaona Haki Imetendeka - Mlivyo Akili Ndogo Mkishinda Tu Ndo Haki ?
 
Katiba yetu inataka mgombea urais lazima awe na digrii angalao moja. Mbowe hana. Sasa Lowasa asipogombea urais 2020 unataka Lissu ndiye agombee? Are you serious kwamba rais wa awamu ya sita awe Tundu Lissu? Unajua yatakayotupata Lissu akiwa de presidaa?
We jamaa bhana,kwanza nimekwambia kwamba wagombee hao uliowaorodhesha? Hayo ni yako,kwa hiyo hakuna watu wengine zaidi ya hao? Harafu mwaka 2000 nakumbuka Mbowe aligombea uraisi so sielewi unachosema
 
Hitimisho lako ni upuuzi mtupu.CCM bila vyombo vya ulinzi na usalama kuwapiga tafu ni wepesi kuliko unyoya.
 
Sipendi Kuzungumzia Siasa Za ZNZ Kwa Sababu Zimejaa Ubaguzi. Mbona Seif Anawaamisha Wazenji Eti Ili Uwe Muislamu Mzuri Unatakiwa Uwe CUF ? Anaamini Anaweza Kuwa Rais Zenj Ikiwa Nje Ya Muungano - Yaani Dunia Ya Leo Watu Wanalilia Kuungana Wewe Unahubiri Utengano Kwa Maslahi Yako Tu. Mandela Alitaka Urais Akapewa, Wazulu Walitaka Rais Mweusi Wakapewa - Uchumi Wote Wanamiliki Wahindi. Huko
Chadema Wazee Wa Hoja Mbona Hatuoni Hoja Nzito Zikielekezwa ndani ya CDM Au Hata Kumkosoa Tu Mbowe - Au Yeye Malaika Hakosei ?.
Ni Kweli Tunachakachua Mpaka Mkapata Wabunge Kibao Wa Upinzani - Ninyi Mpaka Mkishinda Ndo Mnaona Haki Imetendeka - Mlivyo Akili Ndogo Mkishinda Tu Ndo Hak
[/QUOTE]
Mpaka tukishinda??? Nipe mfano wa jimbo ambalo mpinzani kashinda kiwepesi kabisa bila nguvu kubwa kutumika ?? Huwa tunashinda baada ya kutumia nguvu ya umma na nyie kutupiga virungu ndio presha ikizidi mnaona mtangaze tu matokeo ya kweli mfano ukonga momba kibamba n.k

Huo ubaguzi wa maalim kausema lini au ndio propaganda zenu hizo..... kma alisema waislam wa kweli waende Cuf huoni anawaasa waondoke kwenye chama kinachohubiri ubaguzi na uchakchuzi ssa utakuwaje muislam swafi kma upo ndani ya genge la wahuni?? Allah atakuhesabia thawabu kweli??

Kuhusu chadema kma mbowe ni dikteta si angelazimisha awe mgombea urais wa kudumu kma lipumba?? Yaani alikuwa tayari kuona mtu mwingine anakuwa juu yake mtu huyo utamuitaje dikteta?? R u serious.?

Kuhsu africa kusini nmeongelea kauli ya mandela linganishabna kauli ya asha bakari bunge la katiba au kauli ya balozi karume mwaka huu april ndo uelewe nani alieshabikia ubaguzu nje nje
 
Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa ameitaka CCM iache kujidanganya kuwa haiwezi kuondoka madarakani akiitaka iangalie alama za nyakati hasa mabadiliko ya uongozi yanayotokea kwingineko duniani.

Hata hivyo, Lowassa ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amesema unahitajika muungano wa dhati wa vyama na uliopangiliwa vizuri katika juhudi za kuiondoa CCM madarakani.

Lowassa alisema hayo alipoombwa na mwandishi wa habari hizi kutoa tathmini ya maisha yake ya kisiasa mwaka mmoja na nusu tangu alipojiondoa CCM na kujiunga na CHADEMA ambako aliteuliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho akiwakilisha muungano wa vyama vinne – CHADEMA, CUF, NCCR - Mageuzi na NLD – Iliopewa jina la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Chanzo: Gazeti la Mwananchi leo.

Wazo binafsi: Ni vyema Lowasa akajitambua kwani CCM haitaondolewa na upinzani unaongozwa na yeye wala Mbowe wala CHADEMA ya sasa.
Mtabiri na Mganga wa kienyeji. Endelea na utabiri kwa manufaa ya chama tawala.-........
 
Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa ameitaka CCM iache kujidanganya kuwa haiwezi kuondoka madarakani akiitaka iangalie alama za nyakati hasa mabadiliko ya uongozi yanayotokea kwingineko duniani.

Hata hivyo, Lowassa ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amesema unahitajika muungano wa dhati wa vyama na uliopangiliwa vizuri katika juhudi za kuiondoa CCM madarakani.

Lowassa alisema hayo alipoombwa na mwandishi wa habari hizi kutoa tathmini ya maisha yake ya kisiasa mwaka mmoja na nusu tangu alipojiondoa CCM na kujiunga na CHADEMA ambako aliteuliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho akiwakilisha muungano wa vyama vinne – CHADEMA, CUF, NCCR - Mageuzi na NLD – Iliopewa jina la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Chanzo: Gazeti la Mwananchi leo.

Wazo binafsi: Ni vyema Lowasa akajitambua kwani CCM haitaondolewa na upinzani unaongozwa na yeye wala Mbowe wala CHADEMA ya sasa.
Ccm ilishaondoka madarakani kama isingekuwa mabavu ya tume ccm ya uchaguzi.
 
Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa ameitaka CCM iache kujidanganya kuwa haiwezi kuondoka madarakani akiitaka iangalie alama za nyakati hasa mabadiliko ya uongozi yanayotokea kwingineko duniani.

Hata hivyo, Lowassa ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA amesema unahitajika muungano wa dhati wa vyama na uliopangiliwa vizuri katika juhudi za kuiondoa CCM madarakani.

Lowassa alisema hayo alipoombwa na mwandishi wa habari hizi kutoa tathmini ya maisha yake ya kisiasa mwaka mmoja na nusu tangu alipojiondoa CCM na kujiunga na CHADEMA ambako aliteuliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho akiwakilisha muungano wa vyama vinne – CHADEMA, CUF, NCCR - Mageuzi na NLD – Iliopewa jina la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Chanzo: Gazeti la Mwananchi leo.

Wazo binafsi: Ni vyema Lowasa akajitambua kwani CCM haitaondolewa na upinzani unaongozwa na yeye wala Mbowe wala CHADEMA ya sasa.
Mfa maji
 
Edo, hawezi kuwa rais Wa nchi hii never ever, may b nchi iwe gizani na wapigakula wote wawe Wa A.town

bila hvyo hawezi, na Sabah kubwa ni 1yy ni fisadi no 1, yy anajua na watz wote tunajua,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom