Raila kilimkuta nini? kma sio kubembelezwa na kina mkapa na kofi annan leo hii kenya ingekuwa somalia. Hvi mtu mwenye back up ya kura million 8 kma lowassa akiamua kweli kuwaamsha watu waingie barabarani unafkiri angeshindwa ukizingatia hasira walizokuwa nazo wananchi kuhusu ccm na kikwete wao?? Msipende kuestimate mambo maana siku yakitokea mtaanza kulialia kusaka amani mubaraka sijui morsy na jeshi lakeblote walishindwa kudhibiti nguvu ya umma sembuse nyie ccm mlivyochokwa vile?? Hasa miji mikubwa kma dar arusha moshi iringa mbeya tanga mnafkiri pangekalika?? NonsenseAngefanya nini kwa mfano...muulize raila kilichomkuta..
Upinzani gani umesambaratika???nyie mnaamini UKAWA itakufa kwa kuwa mnamtumia lipumba kuubomoa?? Mnajidanganya kma haukufa 2015 kipindi wamejitoa na slaa basi mtasubiri sana.Umeona...watu yaani hawajajielewa ..upinzani uliopo sasaivi umesha sambalatika...kama umoja ninguvu ...wapi nguvu yakuitoa ccm kwa sasa??