Lowassa azomewa na vijana wazalendo Morogoro

Lowassa azomewa na vijana wazalendo Morogoro

Achen kupanic, leo jion ni mafuriko, maduka yanafungwa hahahahaha

Mabadiliko lowasa.....

Hata mie duka langu ningefunga, kujiepusha na majangili wanaotumia nafasi za mikutano ya kishabiki kama hii kupora mali za watu. Wenye maduka wanajiepusha na hasara ndugu, lakini sio ushabiki wa kisiasa
 
Naona mnajitekenya na kucheka wenyewe, mimi nimeshinda hapa Nashera hotel tangu saa 12 asubuh na makamanda, ni wapi lowasa kazomewa.

Tupieni clip
Huna kazi hadi ushinde kuanzia saa 12 asubuhi kwenye hotel ya fisadi
 
tumewaskia jaman haya kachukueni chenu. mwisho wa siku lowassa ni chaguo la wengi mama zenu baba zenu ata jk mtampa kura lowassa
 
Mgombea Urais kupitia CHADEMA,Lowassa kapata wakati mgumu tena Hapa Morogoro baada ya kundi la vijana wanaojiita Wazalendo kutoka CHADEMA kumzomea huku wengine wakibeba mabango yaliyoandika hatudanganyiki. Kelele zimetanda hapa mjini Morogoro vijana wanasema hawatafanya kosa kwa kuchagua mtu aliye na tamaa.

Zikiwa zimebaki siku 2, naona mnaendelea kujitekenya na kucheka wenyewe....

Weka source hapa, na kwanza Lowassa yuko huko wilayani mjini kafika saa ngapi?
 
Mkuu hapa ubungo wamekuja kutafuta shali wakaikosa wamekuja nagari lao wakazunguka naslahazao wakajikuta hakuna anaewafuata hawajamazetu ccm wamechoka
 
Mji wa morogoro uko kimya tangu jana jioni ni shamshara za kumsubiri Lowassa kuingia baada ya kutokea Ifakara, mikumi na Kilombero, vijana wazalendo na pikipik zao na nyimbo zao za mabadiliko walionekana mjini wakipita huku na huko kuhamasisha jamii kupokea ujumbe wa mabadiliko. Hivyo mtoa mada kakosea sana kupotosha umma, tuliokuwepo mjini tulishuhudia haya ya kumsubiri Mh Lowassa kwa shangwe na nderemo, huyo Rais mtarajiwa
 

Attachments

  • 1445594939238.jpg
    1445594939238.jpg
    59.6 KB · Views: 306
Acha ulofa ww alizomewa/alishangiliwa.
Alizomewa.
Sio Mbeya tu mkuu hata hapa Ubungo (Dar) pia Kigamboni walimsusia mkutano, biafra pia watu walijitokeza wachache. CCM imeamua kununua wazomeaji ili na Lowassa azomewe. Ndio zao kujitekenya na kucheka wenyewe
hata fire extinguisher hamna rangi mtaacha kuona huu mwaka!!! mabadiliko hayakwepeki!!!
 
Mgombea Urais kupitia CHADEMA,Lowassa kapata wakati mgumu tena Hapa Morogoro baada ya kundi la vijana wanaojiita Wazalendo kutoka CHADEMA kumzomea huku wengine wakibeba mabango yaliyoandika hatudanganyiki. Kelele zimetanda hapa mjini Morogoro vijana wanasema hawatafanya kosa kwa kuchagua mtu aliye na tamaa.

Yaani lumimbq msiweke video duh wekeni mnishawishi bimpigie mgaufuli juma pili hakiyanani wekeni kama kweli
 
Chaguo la watanzania ni LOWASA.hili ndilo chaguo la watu wenye akili timamu.
 
Mgombea Urais kupitia CHADEMA,Lowassa kapata wakati mgumu tena Hapa Morogoro baada ya kundi la vijana wanaojiita Wazalendo kutoka CHADEMA kumzomea huku wengine wakibeba mabango yaliyoandika hatudanganyiki. Kelele zimetanda hapa mjini Morogoro vijana wanasema hawatafanya kosa kwa kuchagua mtu aliye na tamaa.

Safi sana. Chagueni wabunge wengi wa upinzani na Rais awe Magufuli demokrasia itakua imekamilika. Lowasa ni fisadi na fisadi ni janga.
 
Mgombea Urais kupitia CHADEMA,Lowassa kapata wakati mgumu tena Hapa Morogoro baada ya kundi la vijana wanaojiita Wazalendo kutoka CHADEMA kumzomea huku wengine wakibeba mabango yaliyoandika hatudanganyiki. Kelele zimetanda hapa mjini Morogoro vijana wanasema hawatafanya kosa kwa kuchagua mtu aliye na tamaa.

Dah,in meshuhudia hii kitu. Yaani hali ilikuwa mbaya sana. Ni kama watanzania wameshitukia utapeli wa kisiasa aliokuwa akiufanya.
 
Back
Top Bottom