Kawahi ujira wako.kuanzia jumapili ni kilio na kusaga meno.ccm out for ever!
Mgombea Urais kupitia CHADEMA,Lowassa kapata wakati mgumu tena Hapa Morogoro baada ya kundi la vijana wanaojiita Wazalendo kutoka CHADEMA kumzomea huku wengine wakibeba mabango yaliyoandika hatudanganyiki. Kelele zimetanda hapa mjini Morogoro vijana wanasema hawatafanya kosa kwa kuchagua mtu aliye na tamaa.
Mgombea Urais kupitia CHADEMA,Lowassa kapata wakati mgumu tena Hapa Morogoro baada ya kundi la vijana wanaojiita Wazalendo kutoka CHADEMA kumzomea huku wengine wakibeba mabango yaliyoandika hatudanganyiki. Kelele zimetanda hapa mjini Morogoro vijana wanasema hawatafanya kosa kwa kuchagua mtu aliye na tamaa.
Ulivyochoka na shati lako la mtumba!
Mbona nipo hapa hajazomewa
Ulivyochoka na shati lako la mtumba!
Lower saa akapumzike
Hata mama yako mgonjwa.... au ugonjwa ulishamchukua, kama ulivyomchukua baba yangu!Vijana wazalendo safi san, huyo mzee mgonjwa tu