Ernesto Che
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,114
- 293
Magufuli alizomewa mbeya.
Sio Mbeya tu mkuu hata hapa Ubungo (Dar) pia Kigamboni walimsusia mkutano, biafra pia watu walijitokeza wachache. CCM imeamua kununua wazomeaji ili na Lowassa azomewe. Ndio zao kujitekenya na kucheka wenyewe