Dah,in meshuhudia hii kitu. Yaani hali ilikuwa mbaya sana. Ni kama watanzania wameshitukia utapeli wa kisiasa aliokuwa akiufanya.
kale malimao tu
Dah,in meshuhudia hii kitu. Yaani hali ilikuwa mbaya sana. Ni kama watanzania wameshitukia utapeli wa kisiasa aliokuwa akiufanya.
au vp bwanaHawawezi kuweka video!!!! Wataipata wapi juu ya kitu ambacho hakipo??? Huyu bwana hajui tofauti ya kuzomewa nakushangiliwa. Anaitaji shule huyu, tena ya bure ya Lowassa.
Tabia ya kukremisha imeanzia tokea kwa mgombea wa ccm mpaka kibaka wao kama wewe. magufulu ndio nani?Vijana wansema chaguo lao ni Magufulu
wengi akina nani?Magufuli ni chaguo la wengi
Magufuli kushinda kwa kishindo
ZOMEAAA HUYO Lowassa, tena msimpe hata sekunde moja.
Safi sana vijana wetu mnao mzomea Lowassa.
Wanamwonea huyu mzee wasimzomee hadi amalize kumpigia kura Magufuli.Mgombea Urais kupitia CHADEMA,Lowassa kapata wakati mgumu tena Hapa Morogoro baada ya kundi la vijana wanaojiita Wazalendo kutoka CHADEMA kumzomea huku wengine wakibeba mabango yaliyoandika hatudanganyiki. Kelele zimetanda hapa mjini Morogoro vijana wanasema hawatafanya kosa kwa kuchagua mtu aliye na tamaa.