Lowassa awapasha akina Nape na Mangula...

Shida ya watu wa nchi hii ni umbumbumbu..mitambo ile ile ya richmond ndo hiyo hiyo ikawa dowans ba hiyo hiyo ndo power africa sijui...sasa obama alizindua mitambo iliyonunuliwa kwa ufisadi ama?
alipoinunua obama automaticaly inakua mitambo safi.
 
Jan 8th 2014

Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Brother Edward Lowassa, ametembelea miradi ya maji katika kata ya Selela iliyopo Jimbo lake la Mondul na kuongea na wapiga kura wake na kuwapiga vijembe viongozi wa chama chake waliomwambia watamchukulia hatua kali kwa sababu ya kutangaza nia ya kugombea kiti cha urais mwanzoni mwa mwezi hata kwa chama JIWE atakuwa rais 2015.

Brother Lowasa aliwakumbusha akina Nape na Mangula kwamba yeye Uwezo a
nao, nia anayo, wananchi wananipenda wakanitangazia siyo mimi nimetangaza na kuhusu harambee nimechangia kama wenzangu wanavyochangia, au nikiitwa kwenye harambee nisishiriki mpaka uchaguzi wa rais 2015 upite? Hiyo ni adhabu. Tuwe wangalifu na kuchambua maneno, Tusiwe wepesi kulaumu na kuhukumu na pia kuwa kiongozi siyo kutisha na kuogopesha wanachama, wote tuna haki sawa katika chama chetu.

Ni hivi majuzi viongozi wa juu wa CCM walimuonya Lowasa na wananchama wengine wa chama hicho kuacha kujitangazia kuwania urais kupitia CCM kwa vile muda wake rasimi bado na pia kutoa michango ya harambee mbali mbali, na kwa kufanya hivyo ni kuvunja kanuni, sheria za mwongozo wa chama na adhabu yake ni ku-jiqualify automatically wenyewe kwenye kuwania urais. Hata kinana mmoja ndugu sebastiani Kiondo wa Sanawari Arusha alisema vyama siasa nchini vyote lao moja kupigania maslahi yao badala ya wananchi,...ebu niambe ndugu mwandishi Brother Lowasa anakosa gani kama siyo fitina za viongozi wakuu wa CCM?, ukiona hivyo wana mgomea wao tayari na tayari ameshajaza fomu ya kugombea kinachosubiliwa ni siku ya kumtangaza, alimaliza ndugu kiondo kwa masikitiko. —

in Magu Kahangara.







Hawamuwezi huyo na mimi nionavyo hata wafanyeje huyo lazima akikwae wakikosea ccm wakaweka mtu tofauti basi sisi ni watawala Tz
 
Lowassa angekuwa na akili nzuri, baada ya kuwa kwenye siasa miaka yote hii na kukumbwa na kashfa kibao, angejidhatiti kumjenga mtu wake na kumpigia debe mtu huyo kuwa rais badala ya yeye mwenywe kujipigia debe hilo.
 
Hivi kwanini wasiwekwe open debates zile tuwapime!
Kuna mdau katoa point nzuri sana. Kasema wanasiasa wote ni wezi, cha muhimu ni kumchagua mwizi atakaeleta maendeleo. (hehehe thats how low we have stooped as Tanzanians, inasikitisha lakini ndio ukweli) kwa falsafa hio Brother Edward ndio haswa mwizi atakaeleta maendeleo. Kama mnamshutuma kuwa aliiba lile sakata la richmond si ndio mitambo hio hio mmemwonyesha Obama majuzi hapa!
 
Super Sub
 

Attachments

  • 1389250902433.jpg
    1389250902433.jpg
    23.9 KB · Views: 123
Acha huyo mwizi aendelee kurudisha miela aliyotuibia lakini mwisho wa siku urais atausikia kwenye bomba,hana dhamira nzuri na nchi hii,anaangaika utadhani alizaliwa kuwa rais.
Sasa hivi tunalia kuongezeka kwa gharama za umeme kisa ni yeye na mwenzie Rostam hapa tofauti yake na Rostam ni kuwa anajaribu kuleta marejesho kwa wananchi wakati mwenzie kakomaa na biashara zake nakuendelea kuwatukana waliomtajirisha kuwa wanaendesha siasa uchwara.
Lowasa atazimia siku atakapokosa urais baada yakuwekeza rasilimali zake nyingi kwenye mradi huo.
 
Jan 8th 2014

Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Brother Edward Lowassa, ametembelea miradi ya maji katika kata ya Selela iliyopo Jimbo lake la Mondul na kuongea na wapiga kura wake na kuwapiga vijembe viongozi wa chama chake waliomwambia watamchukulia hatua kali kwa sababu ya kutangaza nia ya kugombea kiti cha urais mwanzoni mwa mwezi hata kwa chama JIWE atakuwa rais 2015.

Brother Lowasa aliwakumbusha akina Nape na Mangula kwamba yeye Uwezo a
nao, nia anayo, wananchi wananipenda wakanitangazia siyo mimi nimetangaza na kuhusu harambee nimechangia kama wenzangu wanavyochangia, au nikiitwa kwenye harambee nisishiriki mpaka uchaguzi wa rais 2015 upite? Hiyo ni adhabu. Tuwe wangalifu na kuchambua maneno, Tusiwe wepesi kulaumu na kuhukumu na pia kuwa kiongozi siyo kutisha na kuogopesha wanachama, wote tuna haki sawa katika chama chetu.

Ni hivi majuzi viongozi wa juu wa CCM walimuonya Lowasa na wananchama wengine wa chama hicho kuacha kujitangazia kuwania urais kupitia CCM kwa vile muda wake rasimi bado na pia kutoa michango ya harambee mbali mbali, na kwa kufanya hivyo ni kuvunja kanuni, sheria za mwongozo wa chama na adhabu yake ni ku-jiqualify automatically wenyewe kwenye kuwania urais. Hata kinana mmoja ndugu sebastiani Kiondo wa Sanawari Arusha alisema vyama siasa nchini vyote lao moja kupigania maslahi yao badala ya wananchi,...ebu niambe ndugu mwandishi Brother Lowasa anakosa gani kama siyo fitina za viongozi wakuu wa CCM?, ukiona hivyo wana mgomea wao tayari na tayari ameshajaza fomu ya kugombea kinachosubiliwa ni siku ya kumtangaza, alimaliza ndugu kiondo kwa masikitiko. —

in Magu Kahangara.






Tuache tabia ya kumpandikiza mtu maneno,Mh Lowassa hakusema maneno hayo, vyombo vya habari vilikuwepo mbona havijaripoti, wacha kudanganya watu
 
Wakijaribu kumgusa Lowassa ccm itafutika kwenye historia ya vyama vya siasa

hakuna ccm bila lowasa hata siku moja,chama chote kakishikilia yeye,na yeye ndio mwenye maamuzi ya ccm ife au isife,nape na mangula hao ni makinda tuu!
 
wanasiasa wote wizi iliyo baki ni kupata mwizi atae weza kutuletea maendeleo

nataka kuiamini kauli yako, ingawa hivyo kwa mdomo wako tutajie kikwete kakwiba nini!!!! na lowasa kakwiba nini.
 
Kama kweli EL atakuwa rais wa Tanganyika nitaamini kuwa WaTz tumelogwa na hakuna mganga wa kutuagua. Jamani hata kama kusoma hatujui hata picha nazo hatuzioni!
 
Kinachoendelea kwa EL ni ushahidi tu kwamba watanzania tuna bongo kama za samaki.eti leo lowassa naye anajadriwa kwenye masuala ya uraisi,tena kibaya zaidi anao wapambe wanaozidi kuongezeka siku hadi siku.imefika mahala eti wapambe wa lowasa wanauliza kwani lowasa alifanya kosa gani?lile halikuwa kosa lake.hivi wamesahau au ni upofu utokanao na pesa anazogawa mithiri ya njugu?hivi ukiacha kashifa ya Richmond huyu bwana ana historia safi kweli?kama huyu jamaa ni msafi nikwanini mwaka 1995 alikwepa mwaliko wa kawawa pale msasani,appointment ambayo ilitakiwa kumkutanisha na nyerere,ili nyerere akamsafishe kama lowasa alivyokuwa ameomba kabla?kwanini maswali ya mwalimu juu ya huyu bwana alivyopata kumiliki mali nyingi kiasi kikubwa cha utajiri alionao,utajiri ambao mwalimu alidai unazidi wakwake yeye aliyekuwa rais wa nchi kwa miaka 23,hayakuwahi kujibiwa mpaka anaingia kaburini?kwanini matakwa ya mwl.nyerere ya ccm kuhitisha cc kwa gharama zake mwenyewe(mwalimu) ili akapate kumsafisha lowasa huko hayakutekelezwa?

1. Wafuasi wanaongeza siku hadi siku 2. Utajiri wake ni toka miaka hiyo ya nyerere/kabla ya richmond. Huyu jamaa anafaa sana kuwa president na wewe njoo umuunge mkono.
 
Back
Top Bottom