Lowassa awapasha akina Nape na Mangula...

Lowassa awapasha akina Nape na Mangula...

Kwanini visionary Leader Mzee Wassira hajaliona hili? Vision yake iko kwa CHADEMA tu? Au na yeye ni Mwana CHADEMA? Visionary Leaders; Nape, Mwigulu na Wa-hasira!!! KAZI IPOD
 
Lowassa hafai hata Kuwa Kiongozi wa serikali za mitaa, acha abaki Kuwa Mfadhili wa makanisa na miskiti
iliyokosa Hofu ya Mungu Upako wa kiroho kwa kufurahia Pesa haramu zinazotakatishwa makanisani na miskitini.

Watu wanaweza kuletewa Jambo baya na wakalipinga jambo Hilo kwa sababu ya ubaya wake lakini watu wanapoletewa
jambo baya lililochanganyika na pesa hushindwa kulipinga si kwa sababu ya kutouona ubaya wake Bali kwa kuamini
pesa iliyomo inaweza kuuwekap pembeni UBAYA wa Jambo Hilo.


NB: Binafsi simkubali Lowassa kuwa kiongozi wa Taifa ili si tu kwasababu simpendi Bali Historia yake ndio inamuhukumu.
 
Huyu mzee ananifurahisha sana..ana urguments za msingi sana...watu wanapolalamika richmond mara dowans...mi nakuwa sielewi kwa kuwa ndo mitambo hiyo hiyo kaja obama kuizindua..au wao USA hawajui!!!watz amkeni tunaonekana mapimbi sana kwa ajili ya mambo haya

Kwa akili yako unadhani viongozi wa USA wapo kwa ajili ya maslahi yako au maslahi ya Wamarekani? naona ukoloni mamboleo bado umekutawala!
 
Shida ya watu wa nchi hii ni umbumbumbu..mitambo ile ile ya richmond ndo hiyo hiyo ikawa dowans ba hiyo hiyo ndo power africa sijui...sasa obama alizindua mitambo iliyonunuliwa kwa ufisadi ama?

huo Ufisadi kama unawanufaisha watu wamerakani ambao ndio wapigakura wake unadhani hawezi kuzindua? kama kwa ujinga wenu mumekubali kuibiwa,na hakuna jinsi ya kuwasaidia ulitaka afanye nini? aingilie mambo ya ndani ya nchi yenu? aliendeleza dhana ileile ya ukitaka kula na kipofu.....? pia,kumbuka OBAMA yupo kwa ajili ya maslahi ya wamarekani na si nyie/sisi.
 
pointi kuu hapa ni kipi bora.fisadi mla na familia yake,mla na wananchi au mla pekee yake?ngoja nijiamkie nikajitafutie kijiridhiki
 
Sasa tukiwaambia CCM imeshakufa watu wanabisha.......yaani fisadi mwjzi ananguvu namna hii kwenye chama!! nguvu yenyewe ya pesa!! CDM tumaini letu!
USILOLIJUWA NI USIKU WA GIZA THE GUY WAS INNOCENT ON THAT ALL EVILS his wisdom lead him to stepdown!
 
Ni haki yake kujadiliwa,unataka tuamini Lowasa ni fisadi pekee ccm?fikiria kabla ya kumjadili mtu.

Kwa hiyo unaamini EL ni FISADI kati ya mafisadi wengi ccm??
 
!
!
nimependa brother Lowassa,anaweza kutufikisha pale tunapopataka.

Kutufikisha wapi?? Huyu si yule fisadi kati ya mafisad katika hii nchi? Ndugu yangu hata kama unampenda hii sio kauli ya kuandikwa na mtu timamu... ni sawa na kumkabidhi kibaka au mwizi begi la fedha jeunadhani zitabaki?? Fikiri zaid ya hapo...
 
USILOLIJUWA NI USIKU WA GIZA THE GUY WAS INNOCENT ON THAT ALL EVILS his wisdom lead him to stepdown!

Non sense!! Kama kweli alikua anajua ukweli kwanini alijiudhuru na asiseme ukweli kwa manufaa yetu sote? Aliona bora ajiudhuru ili afiche uchafu na ufisadi? Sasa mtu kama huyu akiwa rais nchi itapona?
 
Kinachoendelea kwa EL ni ushahidi tu kwamba watanzania tuna bongo kama za samaki.eti leo lowassa naye anajadriwa kwenye masuala ya uraisi,tena kibaya zaidi anao wapambe wanaozidi kuongezeka siku hadi siku.imefika mahala eti wapambe wa lowasa wanauliza kwani lowasa alifanya kosa gani?lile halikuwa kosa lake.hivi wamesahau au ni upofu utokanao na pesa anazogawa mithiri ya njugu?hivi ukiacha kashifa ya Richmond huyu bwana ana historia safi kweli?kama huyu jamaa ni msafi nikwanini mwaka 1995 alikwepa mwaliko wa kawawa pale msasani,appointment ambayo ilitakiwa kumkutanisha na nyerere,ili nyerere akamsafishe kama lowasa alivyokuwa ameomba kabla?kwanini maswali ya mwalimu juu ya huyu bwana alivyopata kumiliki mali nyingi kiasi kikubwa cha utajiri alionao,utajiri ambao mwalimu alidai unazidi wakwake yeye aliyekuwa rais wa nchi kwa miaka 23,hayakuwahi kujibiwa mpaka anaingia kaburini?kwanini matakwa ya mwl.nyerere ya ccm kuhitisha cc kwa gharama zake mwenyewe(mwalimu) ili akapate kumsafisha lowasa huko hayakutekelezwa?


..Hadi leo Lowasa hana kashfa iliyothibitishwa. kilichopo mitaani ni majungu mengi yasiyo kua na kichwa wala miguu. tafsiri ya mkataba wa richmond iliyotolewa na bunge ilikosewa sana na imeigharimu mno serekali.......
Hatuna kanuni inayomnyima raia kua na utajiri kuliko Rais , hivyo sii Lowasa pekee anaemiliki mali nyingi kuliko Nyerere , tupo wengi!
kuchangia harambee nyingi ni uwezo mkubwa alionao Lowasa wa kuwashawishi marafiki zake kumuunga mkono ili kupunguza kero kwa Wananchi , na pia ni ushahidi wa kukubalika kwa Lowasa.
 
Usituletee hekaya za nyerere hapa edo ndio mpango mzima hao walokutuma umchafue waambie umedunda
Siwezi kushangaa comment yako,nimwendelezo was uchumia tumbo uleule.
 
Mstaafu Aliyejiuzulu au Aliyefukuzwa?
Aliyestaafu = Alimaliza vipindi vyake salama
Aliyejiuzulu= Aliona yaliyotendeka si mazuri.
Alyefukuzwa = Si kwa hiari yake alipenda kuendelea.

Ipi tutumie kwa mtu huyu?
 
..Hadi leo Lowasa hana kashfa iliyothibitishwa. kilichopo mitaani ni majungu mengi yasiyo kua na kichwa wala miguu. tafsiri ya mkataba wa richmond iliyotolewa na bunge ilikosewa sana na imeigharimu mno serekali.......
Hatuna kanuni inayomnyima raia kua na utajiri kuliko Rais , hivyo sii Lowasa pekee anaemiliki mali nyingi kuliko Nyerere , tupo wengi!
kuchangia harambee nyingi ni uwezo mkubwa alionao Lowasa wa kuwashawishi marafiki zake kumuunga mkono ili kupunguza kero kwa Wananchi , na pia ni ushahidi wa kukubalika kwa Lowasa.
mini kilimzuia kutokea kwenye kikao cha msasani ili akasafishwe kama alivyoomba,hadi akasababisha mzee wetu kuunganishwa naye,wote wakahitwa wapumbavu nakutakiwa kuacha upumbavu wao?
 
Kuna jambo limenitatiza kidogo kwenye hili sakata la bwana Zito,wameibuka makada waandamizi wa CCM ambao wamelaani kwa uchungu mkubwa maamuzi ya CC ya CDM kumvua nyadhifa na hati hati ya kumvua uanachama wakati makada hawa hawa wakiomba Lowasa atafutiwe sayari nyingine ya kuishi...
 
Back
Top Bottom