Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
Kwanini visionary Leader Mzee Wassira hajaliona hili? Vision yake iko kwa CHADEMA tu? Au na yeye ni Mwana CHADEMA? Visionary Leaders; Nape, Mwigulu na Wa-hasira!!! KAZI IPOD
Huyu mzee ananifurahisha sana..ana urguments za msingi sana...watu wanapolalamika richmond mara dowans...mi nakuwa sielewi kwa kuwa ndo mitambo hiyo hiyo kaja obama kuizindua..au wao USA hawajui!!!watz amkeni tunaonekana mapimbi sana kwa ajili ya mambo haya
Shida ya watu wa nchi hii ni umbumbumbu..mitambo ile ile ya richmond ndo hiyo hiyo ikawa dowans ba hiyo hiyo ndo power africa sijui...sasa obama alizindua mitambo iliyonunuliwa kwa ufisadi ama?
USILOLIJUWA NI USIKU WA GIZA THE GUY WAS INNOCENT ON THAT ALL EVILS his wisdom lead him to stepdown!Sasa tukiwaambia CCM imeshakufa watu wanabisha.......yaani fisadi mwjzi ananguvu namna hii kwenye chama!! nguvu yenyewe ya pesa!! CDM tumaini letu!
Ni haki yake kujadiliwa,unataka tuamini Lowasa ni fisadi pekee ccm?fikiria kabla ya kumjadili mtu.
!
!
nimependa brother Lowassa,anaweza kutufikisha pale tunapopataka.
USILOLIJUWA NI USIKU WA GIZA THE GUY WAS INNOCENT ON THAT ALL EVILS his wisdom lead him to stepdown!
Kinachoendelea kwa EL ni ushahidi tu kwamba watanzania tuna bongo kama za samaki.eti leo lowassa naye anajadriwa kwenye masuala ya uraisi,tena kibaya zaidi anao wapambe wanaozidi kuongezeka siku hadi siku.imefika mahala eti wapambe wa lowasa wanauliza kwani lowasa alifanya kosa gani?lile halikuwa kosa lake.hivi wamesahau au ni upofu utokanao na pesa anazogawa mithiri ya njugu?hivi ukiacha kashifa ya Richmond huyu bwana ana historia safi kweli?kama huyu jamaa ni msafi nikwanini mwaka 1995 alikwepa mwaliko wa kawawa pale msasani,appointment ambayo ilitakiwa kumkutanisha na nyerere,ili nyerere akamsafishe kama lowasa alivyokuwa ameomba kabla?kwanini maswali ya mwalimu juu ya huyu bwana alivyopata kumiliki mali nyingi kiasi kikubwa cha utajiri alionao,utajiri ambao mwalimu alidai unazidi wakwake yeye aliyekuwa rais wa nchi kwa miaka 23,hayakuwahi kujibiwa mpaka anaingia kaburini?kwanini matakwa ya mwl.nyerere ya ccm kuhitisha cc kwa gharama zake mwenyewe(mwalimu) ili akapate kumsafisha lowasa huko hayakutekelezwa?
Siwezi kushangaa comment yako,nimwendelezo was uchumia tumbo uleule.Usituletee hekaya za nyerere hapa edo ndio mpango mzima hao walokutuma umchafue waambie umedunda
unafikri uchafu wake unaondolewa na uchafu wa wanaccm wenzake?Ni haki yake kujadiliwa,unataka tuamini Lowasa ni fisadi pekee ccm?fikiria kabla ya kumjadili mtu.
Inamaana ukimya wako umetokana nayeye kukufikia na mamilioni yake?Akikufikia na mamilioni yake na wewe utakuwa kimyaaa
mini kilimzuia kutokea kwenye kikao cha msasani ili akasafishwe kama alivyoomba,hadi akasababisha mzee wetu kuunganishwa naye,wote wakahitwa wapumbavu nakutakiwa kuacha upumbavu wao?..Hadi leo Lowasa hana kashfa iliyothibitishwa. kilichopo mitaani ni majungu mengi yasiyo kua na kichwa wala miguu. tafsiri ya mkataba wa richmond iliyotolewa na bunge ilikosewa sana na imeigharimu mno serekali.......
Hatuna kanuni inayomnyima raia kua na utajiri kuliko Rais , hivyo sii Lowasa pekee anaemiliki mali nyingi kuliko Nyerere , tupo wengi!
kuchangia harambee nyingi ni uwezo mkubwa alionao Lowasa wa kuwashawishi marafiki zake kumuunga mkono ili kupunguza kero kwa Wananchi , na pia ni ushahidi wa kukubalika kwa Lowasa.
Usituletee hekaya za nyerere hapa edo ndio mpango mzima hao walokutuma umchafue waambie umedunda