ni vizuri rangi yako halisi imeanza kuonekana.huyu mzee ananifurahisha sana..ana urguments za msingi sana...watu wanapolalamika richmond mara dowans...mi nakuwa sielewi kwa kuwa ndo mitambo hiyo hiyo kaja obama kuizindua..au wao usa hawajui!!!watz amkeni tunaonekana mapimbi sana kwa ajili ya mambo haya