Lowassa awapasha akina Nape na Mangula...

Lowassa awapasha akina Nape na Mangula...

huyu mzee ananifurahisha sana..ana urguments za msingi sana...watu wanapolalamika richmond mara dowans...mi nakuwa sielewi kwa kuwa ndo mitambo hiyo hiyo kaja obama kuizindua..au wao usa hawajui!!!watz amkeni tunaonekana mapimbi sana kwa ajili ya mambo haya
ni vizuri rangi yako halisi imeanza kuonekana.
 
Tumepoteza matumaini na watu tuliojua wanatujali, kumbe wanatuzuga tu. Unajua hizi hizi fedha za mafisadi zinaliwa na waliotuaminisha kwamba watatutoa kwenye umaskini?

Zinasaidia kampeni za vyama hivi tulivyoviamini, halafu utetezi unakuwa ni eti fedha itoke CCM au kwa Kikwete sio tatizo ili mradi tu ilitumika vizuri, independence iko wapi?
Zitto kaolewa!.... Za Sabodo hukuzijua? Bangi 2pu!
 
tupo pamoja EDDO
Jan 8th 2014

Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Brother Edward Lowassa, ametembelea miradi ya maji katika kata ya Selela iliyopo Jimbo lake la Mondul na kuongea na wapiga kura wake na kuwapiga vijembe viongozi wa chama chake waliomwambia watamchukulia hatua kali kwa sababu ya kutangaza nia ya kugombea kiti cha urais mwanzoni mwa mwezi hata kwa chama JIWE atakuwa rais 2015.

Brother Lowasa aliwakumbusha akina Nape na Mangula kwamba yeye Uwezo a
nao, nia anayo, wananchi wananipenda wakanitangazia siyo mimi nimetangaza na kuhusu harambee nimechangia kama wenzangu wanavyochangia, au nikiitwa kwenye harambee nisishiriki mpaka uchaguzi wa rais 2015 upite? Hiyo ni adhabu. Tuwe wangalifu na kuchambua maneno, Tusiwe wepesi kulaumu na kuhukumu na pia kuwa kiongozi siyo kutisha na kuogopesha wanachama, wote tuna haki sawa katika chama chetu.

Ni hivi majuzi viongozi wa juu wa CCM walimuonya Lowasa na wananchama wengine wa chama hicho kuacha kujitangazia kuwania urais kupitia CCM kwa vile muda wake rasimi bado na pia kutoa michango ya harambee mbali mbali, na kwa kufanya hivyo ni kuvunja kanuni, sheria za mwongozo wa chama na adhabu yake ni ku-jiqualify automatically wenyewe kwenye kuwania urais. Hata kinana mmoja ndugu sebastiani Kiondo wa Sanawari Arusha alisema vyama siasa nchini vyote lao moja kupigania maslahi yao badala ya wananchi,...ebu niambe ndugu mwandishi Brother Lowasa anakosa gani kama siyo fitina za viongozi wakuu wa CCM?, ukiona hivyo wana mgomea wao tayari na tayari ameshajaza fomu ya kugombea kinachosubiliwa ni siku ya kumtangaza, alimaliza ndugu kiondo kwa masikitiko. —

in Magu Kahangara.







 
Huyo ndio Mr.Untouchable a.k.a Yeroo,,,Zitto akifukuzwa uanachama kura yangu inaenda kwa Lowassa acha awe fisadi lakini ni mchapakazi kuliko huyo ------ wala ndugu MBOO.we
 
Mkuu hebu tusaidie kukifahamu hicho alichokizindua obama
 
Huyo ndio Mr.Untouchable a.k.a Yeroo,,,Zitto akifukuzwa uanachama kura yangu inaenda kwa Lowassa acha awe fisadi lakini ni mchapakazi kuliko huyo ------ wala ndugu MBOO.we
Utaanza lini kupiga kura?
 
Tatizo ilikuwa ubora wa mitambo ya Richmond/ Dowans au mkataba wa kuuziana umeme?
 
Nitajie REALISTICALLY watu wa 3 mbadala watakaouweza uraisi kuliko Lowasa. Kabla ya kuyaandika hayo majina naomba utafakari kwa kina responsibilities na the necesarry personalities za raisi! Slaa usimtaje. Debate itakua ndefu, namkubali ila supporting structure yake ina walakini sana.

Kwenye Urais tuweke pembeni issues za personalities kwa kuwa hata mwaka 1995 Mkapa alikuwa si mmoja wa waliotarajiwa kuwa na personality” ya kuwa rais wa nchi hii. Alifanya vizuri na misingi aliyoweka imelisaidia taifa. Kiongozi mzuri si yule anayejipitsha kuutaka uongozi bali ni yule anayetafutwana kulazimishwa kuwa Kiongozi (Refer Plato). CCM kama taasisi inaweza kutupatia rais mzuri bila ya sisi kuanza kufanya speculations kama unavyotaka nifanye na ikishindwa inaweza kukabidhi nchi kwa upinzani. Lowassa is out of equation.

 
Hata kama ni mzuri au anafaa asubiri wananchi wenyewe waseme. Anatumia fedha kuwalaghai wananchi hizo pesa kazipataje? Na atazirudishaje?

Unashangaa leo hii pesa kutumika kutafuta uongozi Tanzania? Watafute wasiotumia uwataje na uulize jamii inawaonaje. Kazipataje na atazirudishaje? Nchi itaendelea kuliwa hadi Watanzania watakapoamka na kukataa ujuha. Kwa sasa hivi, mwenye kugawa pesa ndio mtu; uliza ndugu zako mitaani.
 
E.L simama mzee mpaka CCM wakukubali wenyewe make wanakudis sana watoto wadogo hawa,ila wakikusimamisha 2015 hao wezi wenzako ujue huku yupo Dr. wa ukweli na lazima tukuoneshe kwamba CCM hayupo hata mmoja wa kuiongoza Tz kwa sasa

CCM mtajibeba.
 
E.L simama mzee mpaka CCM wakukubali wenyewe make wanakudis sana watoto wadogo hawa,ila wakikusimamisha 2015 hao wezi wenzako ujue huku yupo Dr. wa ukweli na lazima tukuoneshe kwamba CCM hayupo hata mmoja wa kuiongoza Tz kwa sasa

CCM mtajibeba.

Mkuu, ata mimi namuombea mungu asimame ndani ya ccm, maana mpango ukifanikiwa ata mimi nitagombea uraisi 2015
 
umeme juu watu kimyaaa
kila kukicha lowasa zzk cjui nn nimechoka
watz hebu tubadirike
 
Anavyoonywa ndio anazidi kujitangaza zaidi.?
 
Hebu tuambie msafi ambae wewe mwenezi unamuona anafaa kuwa rais wetu 2015 zaidi ya EL...!!! CCM kuna msafi? labda kama kazaliwa jana...
kwanini unafungia mawazo yako ndani ya ccm?kuna dunia na maisha nje ya ccm.let's think out of ccm box.
 
Tumepoteza matumaini na watu tuliojua wanatujali, kumbe wanatuzuga tu. Unajua hizi hizi fedha za mafisadi zinaliwa na waliotuaminisha kwamba watatutoa kwenye umaskini?

Zinasaidia kampeni za vyama hivi tulivyoviamini, halafu utetezi unakuwa ni eti fedha itoke CCM au kwa Kikwete sio tatizo ili mradi tu ilitumika vizuri, independence iko wapi?
kumbe ukiwa unamfukuza mwizi kwa kitendo chake kiovu cha kupora,alafu ukakutana na kiibaka mwingine anakwapua unaacha kuukemea wizi na unaushangilia?
 
Back
Top Bottom