Lowassa awapasha akina Nape na Mangula...

Lowassa awapasha akina Nape na Mangula...

Nipeni mbadala!
Chadema hata ishike dola ni watu wangapi wanauwezo wa kuwa mawaziri yakinifu hapo?
Ni heri kumpa nchi a succesful business man kuliko mtu kama sitta amabae ana lack confidence ya kukaa na ku critically debate na eastafricans wenzake yeye ni kukimbia tu akiona kazidiwa intellect ndio ataweza kaa kwenye international tables huyu na ma capitalist wa dunia?
Hivi waTZ mnaelewa maana ya kujiuzulu? Edward alitumia hekima na busara sana kujiuzulu na pia ilikua sababu yaliyotokea yanaenda against principles zake.
Ilikua aidha amwaibisha raisi wake au a step down, kujiuzulu ni sifa ya uwajibikaji amabyo watanzania wengi hatuelewi kabisa!
Leo hii ingekua Pinda ana hata nukta ya aibu na sense ya responsibility angejiuzulu! Lakini sababu hamwelewi ni accountability mnaoana kubaki kwenye madaraka hata kama kosa kubwa likitokea ndio ungangari wenyewe!
Mimi pamoja na kuichukia CCM sana ila kura yangu ya urais mpaka sasa ni kwa bro edo ya ubunge itaenda chadema regardless ya watakaemsimamisha jimboni kwangu.
 
Watanzania wepi wenye kumpenda, hawa wachumia tumbo walomzunguka, kweli siasa hupumbaza. Nina imani asilimia zaidi ya 99 ya wale wenye kumpamba wpo pale kwa ajili ya fedha tu, wanaelewa kule kuna bumba linazimwaga nao wataambulia, asubiri siku atavyotoswa na hao hao mgodi utapozimwaga sehemu nyingine!!!!

Leo analalamika kuhusu vitisho, ina maana tayari amesahau alivyokuwa akiwatishia wenzie na kuwadhililisha ambapo akagonga mwamba kwa yule DC mwanajeshi kule Mwanza, kweli nyani haoni kundule!!!!
 
inashangaza pale mwenye nyumba anapoanza kumuogopa mbwa wake aliyekosa nidham,na aliyemtumia kuharasi majirani.you reap what you sow.just wait and see the power of corruption.
 
USILOLIJUWA NI USIKU WA GIZA THE GUY WAS INNOCENT ON THAT ALL EVILS his wisdom lead him to stepdown!

Hii ndio inaonyesha ni jinsi gani tulivyo wapumbavu!!
Mipesa anayotoa kwenye harambee anatoa wapi? kama ni marafiki zake...ni kina nani? na atazilipaje hizo pesa akifika Ikulu?

Lowassa Mwizi bwana, nenda TTCL yeye ndie kaifilisi na anaendelea kuinyonya!!! Hatuwezi kuongozwa na lijizi bwana!!
 
Tukipiga mnada urais huyu jamaa atachukua....fedha mbele akili nyuma
 
Usituletee hekaya za nyerere hapa edo ndio mpango mzima hao walokutuma umchafue waambie umedunda

ss Nyerere anaingiaje hapa?
think out of the box, huwezi kumfananiaha Nyerere na Lowassa sahau
 
!
!
najua kuwa ana tuhuma kibao ambazo mpaka leo hakuna aliyeweza kuzithibitisha pasipo shaka! pamoja na kutodhibitishwa huko lakini bado aliweza kuchukua MAAMUZI MAGUMU ya kujiuzulu ili kutimiza kwa vitendo dhana ya UWAJIBIKAJI.
Nadhani mtu kama huyo anatufaa mwenye hizo sifa mbili hapo juu.
Utawala huwa unasifiwa kwa kufanya maamuzi kwa haraka.
Nadhani nina haki ya kutoautiana mawazo na wewe!
Mambo vipi lakini kamanda?




Kutufikisha wapi?? Huyu si yule fisadi kati ya mafisad katika hii nchi? Ndugu yangu hata kama unampenda hii sio kauli ya kuandikwa na mtu timamu... ni sawa na kumkabidhi kibaka au mwizi begi la fedha jeunadhani zitabaki?? Fikiri zaid ya hapo...
 
Ndugu zangu, Mh Lowasa aachane na siasa mwambie asije akajikuta anakufa kwa presha. Serikali haitompa ruhusa luwa Rais huu ndio ukwel. Watamdhohofisha kwakweli niliwah sema nauona mwisho wa Lowasa

vyama vipo vingi wasipompa ccm ahamie kwengine agombee
 
Nafasi ya urais ipo wazi kwa kila mwenye sifa kikatiba..vyama vya siasa vitumike kutimiza malengo ya wenye nia dhabiti ya uongozi na si kukandamiza watu kwa matakwa binafsi, wananchi waachwe kuwa waamuzi wa mwisho wa nani anafaa na si kuwasemea wananchi..hiyo ndio demokrasia ya kweli
 
Nipeni mbadala!
Chadema hata ishike dola ni watu wangapi wanauwezo wa kuwa mawaziri yakinifu hapo?
Ni heri kumpa nchi a succesful business man kuliko mtu kama sitta amabae ana lack confidence ya kukaa na ku critically debate na eastafricans wenzake yeye ni kukimbia tu akiona kazidiwa intellect ndio ataweza kaa kwenye international tables huyu na ma capitalist wa dunia?
Hivi waTZ mnaelewa maana ya kujiuzulu? Edward alitumia hekima na busara sana kujiuzulu na pia ilikua sababu yaliyotokea yanaenda against principles zake.
Ilikua aidha amwaibisha raisi wake au a step down, kujiuzulu ni sifa ya uwajibikaji amabyo watanzania wengi hatuelewi kabisa!
Leo hii ingekua Pinda ana hata nukta ya aibu na sense ya responsibility angejiuzulu! Lakini sababu hamwelewi ni accountability mnaoana kubaki kwenye madaraka hata kama kosa kubwa likitokea ndio ungangari wenyewe!
Mimi pamoja na kuichukia CCM sana ila kura yangu ya urais mpaka sasa ni kwa bro edo ya ubunge itaenda chadema regardless ya watakaemsimamisha jimboni kwangu.

Hukusoma kabisa report ya Mwakyembe iliyomtaka Lowasa na Msabaha kujiuzulu. Unataka kutudanganya mchana kweusi kumbe jua linawaka. Lowasa alikuwa implicated kwenye Richmond kwa vimemo alivyokua anaviadika kushinikiza Richmond ipewe tenda hali akijuwa ni kampuni fake, ya Mwanae.

Sasa unasema ati angemwaibisha rais, kivipi? Kwamba Richmond ilikuwa kampuni ya rais? Kwahiyo Lowasa aliamua kwa kupenda kujiuzulu? Mbona alisubiri report ya Mwakyembe imtimue? Hivi ukiwajibika kwa shinikizo utaitwa shujaa au mharifu? Ni Tz tu na CCM ndio inakumbatia watu wa aina ya Lowasa, Chenge, Rostam, na list ya majangili. Hawa walitakiwa wawe jela na sio kuwa huru kiasi cha wengine kutaka kuwa viongozi wa nchi. Papa Msofe na Masawe sijui wanasubiri nini kutangaza nia ya kugombea ubunge.
 
Nawaomba Great thinkers wote,pasco,mzee mwanakijiji,Ritz,Ben Saanane,na wengineo wote,hebu tuweke itikadi zetu pembeni,tuache kujadili watu na mipango yao,tujadili matatizo ya mwananchi wa kawaida,tujadili elimu,afya,miundombinu,maji,kilimo,umeme.gesi nk tuone namna ya kumnasua mtanzania ili hao wenye mipango yao wajipime kisha watuambie watatufanyia nini sisi kama Taifa,vinginevyo tupa kule.(utaifa kwanza)
 
Kinachoendelea kwa EL ni ushahidi tu kwamba watanzania tuna bongo kama za samaki.eti leo lowassa naye anajadriwa kwenye masuala ya uraisi,tena kibaya zaidi anao wapambe wanaozidi kuongezeka siku hadi siku.imefika mahala eti wapambe wa lowasa wanauliza kwani lowasa alifanya kosa gani?lile halikuwa kosa lake.hivi wamesahau au ni upofu utokanao na pesa anazogawa mithiri ya njugu?hivi ukiacha kashifa ya Richmond huyu bwana ana historia safi kweli?kama huyu jamaa ni msafi nikwanini mwaka 1995 alikwepa mwaliko wa kawawa pale msasani,appointment ambayo ilitakiwa kumkutanisha na nyerere,ili nyerere akamsafishe kama lowasa alivyokuwa ameomba kabla?kwanini maswali ya mwalimu juu ya huyu bwana alivyopata kumiliki mali nyingi kiasi kikubwa cha utajiri alionao,utajiri ambao mwalimu alidai unazidi wakwake yeye aliyekuwa rais wa nchi kwa miaka 23,hayakuwahi kujibiwa mpaka anaingia kaburini?kwanini matakwa ya mwl.nyerere ya ccm kuhitisha cc kwa gharama zake mwenyewe(mwalimu) ili akapate kumsafisha lowasa huko hayakutekelezwa?


Mkuu unachokisema uko sahihi asilimia mia, NCHI YA WAJINGA ITAWEKA MADARAKANI KIONGOZI MJINGA
 
Huyu jamaa akiukosa Urasi atakuwa chizi!
 
wanasiasa wote wizi iliyo baki ni kupata mwizi atae weza kutuletea maendeleo
 
Back
Top Bottom