USILOLIJUWA NI USIKU WA GIZA THE GUY WAS INNOCENT ON THAT ALL EVILS his wisdom lead him to stepdown!
Usituletee hekaya za nyerere hapa edo ndio mpango mzima hao walokutuma umchafue waambie umedunda
Kutufikisha wapi?? Huyu si yule fisadi kati ya mafisad katika hii nchi? Ndugu yangu hata kama unampenda hii sio kauli ya kuandikwa na mtu timamu... ni sawa na kumkabidhi kibaka au mwizi begi la fedha jeunadhani zitabaki?? Fikiri zaid ya hapo...
Ndugu zangu, Mh Lowasa aachane na siasa mwambie asije akajikuta anakufa kwa presha. Serikali haitompa ruhusa luwa Rais huu ndio ukwel. Watamdhohofisha kwakweli niliwah sema nauona mwisho wa Lowasa
Nipeni mbadala!
Chadema hata ishike dola ni watu wangapi wanauwezo wa kuwa mawaziri yakinifu hapo?
Ni heri kumpa nchi a succesful business man kuliko mtu kama sitta amabae ana lack confidence ya kukaa na ku critically debate na eastafricans wenzake yeye ni kukimbia tu akiona kazidiwa intellect ndio ataweza kaa kwenye international tables huyu na ma capitalist wa dunia?
Hivi waTZ mnaelewa maana ya kujiuzulu? Edward alitumia hekima na busara sana kujiuzulu na pia ilikua sababu yaliyotokea yanaenda against principles zake.
Ilikua aidha amwaibisha raisi wake au a step down, kujiuzulu ni sifa ya uwajibikaji amabyo watanzania wengi hatuelewi kabisa!
Leo hii ingekua Pinda ana hata nukta ya aibu na sense ya responsibility angejiuzulu! Lakini sababu hamwelewi ni accountability mnaoana kubaki kwenye madaraka hata kama kosa kubwa likitokea ndio ungangari wenyewe!
Mimi pamoja na kuichukia CCM sana ila kura yangu ya urais mpaka sasa ni kwa bro edo ya ubunge itaenda chadema regardless ya watakaemsimamisha jimboni kwangu.
Eddo for Presidency!!!!
Kinachoendelea kwa EL ni ushahidi tu kwamba watanzania tuna bongo kama za samaki.eti leo lowassa naye anajadriwa kwenye masuala ya uraisi,tena kibaya zaidi anao wapambe wanaozidi kuongezeka siku hadi siku.imefika mahala eti wapambe wa lowasa wanauliza kwani lowasa alifanya kosa gani?lile halikuwa kosa lake.hivi wamesahau au ni upofu utokanao na pesa anazogawa mithiri ya njugu?hivi ukiacha kashifa ya Richmond huyu bwana ana historia safi kweli?kama huyu jamaa ni msafi nikwanini mwaka 1995 alikwepa mwaliko wa kawawa pale msasani,appointment ambayo ilitakiwa kumkutanisha na nyerere,ili nyerere akamsafishe kama lowasa alivyokuwa ameomba kabla?kwanini maswali ya mwalimu juu ya huyu bwana alivyopata kumiliki mali nyingi kiasi kikubwa cha utajiri alionao,utajiri ambao mwalimu alidai unazidi wakwake yeye aliyekuwa rais wa nchi kwa miaka 23,hayakuwahi kujibiwa mpaka anaingia kaburini?kwanini matakwa ya mwl.nyerere ya ccm kuhitisha cc kwa gharama zake mwenyewe(mwalimu) ili akapate kumsafisha lowasa huko hayakutekelezwa?
Huyu jamaa akiukosa Urasi atakuwa chizi!