Lowassa atinga mkutanoni Halmashauri Kuu, Waimba tuna imani na Lowassa

Lowassa atinga mkutanoni Halmashauri Kuu, Waimba tuna imani na Lowassa

Kwa maoni yangu, Membe na Lowasa wangekatwa wote. Kumwacha Membe kunaashiria maamuzi ambayo tayari yalikuwa yamefanyika mezani
 
Jamani naomba Mwenyezi mungu usikilize maombi yangu Membe asiwe rais wa nchi hii wala waziri mkuu na nawashukuru saana waliomkata mzee wa kulialia Pinda teena kwa mwenyezi mungu teeena na teeena Kati ya hao watano Dr John Pombe Magufuri ndo awe mgombea wa urais kupitia CCM akabane koo na Padre Slaa,Mungu mkubwa atasikiliza maombi yangu, Amen,,Kasinge batata na bamawe

Bita waitu?
 
Lkn kwenye hiyo five star Angalau mangufuli huyo membe Mh Sina hata imani nae bora joka lenye makengeza
 
Wamekata hhaaaaaa wamekataaaa haaaaa watakatajeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
wakimuweka magufuli anapita, ila wakimuweka mwingine rais atatoka ukawa. hata hivyo, ukawa mtakuwa na viti vingi sana, kwasababu mkoa wote wa arusha, kilimanjaro, manyara wabunge wote watatoka ukawa. kura zote pia tutazizoa hawawezi pigia ccm huko, walikuwa wanaipigia ccm kwasababu tu ya lowasa, bila lowasa wote wanahama chama. yangu macho.
 
Back
Top Bottom