Lowassa atinga mkutanoni Halmashauri Kuu, Waimba tuna imani na Lowassa

Lowassa atinga mkutanoni Halmashauri Kuu, Waimba tuna imani na Lowassa

ule utafutaji wake wa wadhamini ulikuwa almost ni kama ana plot a coup d'etat. bora tu amekatwa
 
JF rudisheni accessibility ya JF kwa guest? Kwa nini muda huu tu?, mbona siku zingine access ipo?
 
JF rudisheni accessibility ya JF kwa guest? Kwa nini muda huu tu?, mbona siku zingine access ipo?
 
hiyo agenda ya pili mbona kama inaingilia katiba.... au mie sijui kuhusu muda gani mtu kugombea ubunge anatakiwa.... hapo kuondoa ukomo pananichanganya
 
attachment.php
 
Hii n kweli wajumbe wameimba wanaimani na Edo source A am two
 
Mgombea maarufu aliyekatwa jina Edward Lowasa ametinga ukumbini na kupokelewa kwa shangwe na vifijo. wajumbe bila kujali makundi yao waliimba ' tuna imani na Lowasa'....! Mwenyekiti ameweka mezani ajenda tatu, mosi ilani ya uchaguzi, pili kuondoa ukomo wa ubunge na udiwani na tatu wagombea Urais wa Zanzibar na Tanzania. Nitaendelea kuwajuza yanayajiri!

Kwani sasa hivi kuna ukomo?
 
hivi lowasa alikubalije kudanganywa na mkwere...yaani alishindwa kujua political is a wind of changes...
nimejifunza sana kuwa sio kila rafiki ni mtu mzur
 
Any way mi shauku ishaisha kabisa na nishabadili mawazo yangu ya nani nitampigia kura

Mkuu ili kura yako isipotee bila maendeleo ya kweli pifia UKAWA. Hawa ccm hata angechaguliwa nani hawezi kuuondoa huu mfumo unaokumbatia mafisadi na wezi hadi serikali kuogopa kuwashtaki eti nchi itatikisika ni bara walipe kidogo walichoiba na tusiwashtaki. Tatizo la nchi na chama chake cha ccm ni mfumo.
 
Jamani naomba Mwenyezi mungu usikilize maombi yangu Membe asiwe rais wa nchi hii wala waziri mkuu na nawashukuru saana waliomkata mzee wa kulialia Pinda teena kwa mwenyezi mungu teeena na teeena Kati ya hao watano Dr John Pombe Magufuri ndo awe mgombea wa urais kupitia CCM akabane koo na Padre Slaa,Mungu mkubwa atasikiliza maombi yangu, Amen,,Kasinge batata na bamawe
 
Back
Top Bottom