Lowassa atinga mkutanoni Halmashauri Kuu, Waimba tuna imani na Lowassa

Lowassa atinga mkutanoni Halmashauri Kuu, Waimba tuna imani na Lowassa

Hadi leo wana imani nae wakiwa ndani ya ccm! Mi cjui kwanini wanakampeni wa Lowasa hawatumii hii clip kuonyesha Lowasa anavyotumainiwa hadi na JK! Wanatakiwa wawe wanairusha kwenye TV mbali mbali
 
Ccm kinachowaangamiza ni matendo yenu ya kutuletea umaskini.ndivo ilivokuwa kwa ukandamizaji wa kikoloni.




BORA UMASKINI KULIKO KUWA TAJIRI BILA UTU.. unataka nini??? kama kwa miaka zaidi ya 20 unapambana kuwa prezidaa tena kwa kununua watu kwa bei yoyote...kuanzia wa mitaani, wa kwenye chama na sio chama kimoja.... Cha kwanza kilikuwa makini...wakala hela wakatosa na kukata bila huruma.... cha PILI kwa GEAR KUBWA.... nunua MWENYE KIGODA ambaye kwa bahati mbaya proffesional yake ni DJ MACHACHARI.... bila kusita na kwa mikono miwili bila kuangalia MASLAHI ya TAIFA amekubali DEAL.... HATAREEEE ...... UTAJIRI wa hivi Hautuhutakii!!!
 
Wapi wengi watakao piga kura kwa lowassa angalieni wana nguo za kijani MAGUFULI alipata asilimia 5℅ mtashangaa??
 
ina maana hao wote walioimba hivi ni mafisadi.... kama wanavyotaka kutulazimisha kuelewa?
 
BORA UMASKINI KULIKO KUWA TAJIRI BILA UTU.. unataka nini??? kama kwa miaka zaidi ya 20 unapambana kuwa prezidaa tena kwa kununua watu kwa bei yoyote...kuanzia wa mitaani, wa kwenye chama na sio chama kimoja.... Cha kwanza kilikuwa makini...wakala hela wakatosa na kukata bila huruma.... cha PILI kwa GEAR KUBWA.... nunua MWENYE KIGODA ambaye kwa bahati mbaya proffesional yake ni DJ MACHACHARI.... bila kusita na kwa mikono miwili bila kuangalia MASLAHI ya TAIFA amekubali DEAL.... HATAREEEE ...... UTAJIRI wa hivi Hautuhutakii!!!

Acheni unafki nyie watanzania.kama kweli unaipenda nchi hii mimi ningeunga nanyi kama watu tunao wajua kwa ufisadi kama chenge,sitta,tibajuka,masaburi na wengine wengi wangeenguliwa kwenye siasa za chama chenu hapo mngepata uhalali wa kumnyoshea kidole LOWASSA.Watanzania wameamua hawaitaki ccm hata mpige kelele mpaka mzimie haisaidii.
 
BORA UMASKINI KULIKO KUWA TAJIRI BILA UTU.. unataka nini??? kama kwa miaka zaidi ya 20 unapambana kuwa prezidaa tena kwa kununua watu kwa bei yoyote...kuanzia wa mitaani, wa kwenye chama na sio chama kimoja.... Cha kwanza kilikuwa makini...wakala hela wakatosa na kukata bila huruma.... cha PILI kwa GEAR KUBWA.... nunua MWENYE KIGODA ambaye kwa bahati mbaya proffesional yake ni DJ MACHACHARI.... bila kusita na kwa mikono miwili bila kuangalia MASLAHI ya TAIFA amekubali DEAL.... HATAREEEE ...... UTAJIRI wa hivi Hautuhutakii!!!

Utatoa povu hadi unye. .wananchi washaamua wafanye mabadiliko..mtahangaika sana ..maji yashamwagika..jipangeni kuwa wapinzani!
 
Walioimba wapo wale watatu waanzilishi - Emmanuel Nchimbi, Sophia Simba na Kimbisa hawa ndio walioufundisha huo wimbo kwa hao wengine. Ninachokusikitikia wote hao bado wapo CCM ...
... siku zote unaambiwa SIASA NI UONGO ULIOKOMAA na katika siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu.
Kwa hiyo huo uongo wanawadanganya wana CCM kuwa wako pamoja nao, kumbe wanavujisha mambo yanayoendelea huko ndani?
 
Kweli fedha ni mwanaharamu tunasema Waswahili!
Wale walioimba tuna ,,Imaani na Lowasa" mbele ya Raisi wa JMTZ na Mwenyekiti Mkuu wa CCM wako wapi? Jambo hili halijawahi kutokea TanZania viongozi kumdharau Raisi wa nchi na Mwenyekiti wa Chama kiasi kile!

Sasa swali langu ni kwamba wale walioimba wako wapi? Kwa maana kuamua kuimba ule wimbo ni lazima ujiamini kupita maelezo ukichukulia madaraka makubwa ya Raisi wa JMTZ!
 
Kwani hukumsikia bwana govinda akisema anajua kuna watu mchana ni Maccm, ila giza likishaingia wanakuwa upinzani?
 
Lowasa kweliii kweliii kweliii kweliii kweliii Lowasa . Lowasa kweliii kweliii kweliii Lowasa kweliii Lowasa to be a presi de
 
Kweli fedha ni mwanaharamu tunasema Waswahili!
Wale walioimba tuna ,,Imaani na Lowasa" mbele ya Raisi wa JMTZ na Mwenyekiti Mkuu wa CCM wako wapi? Jambo hili halijawahi kutokea TanZania viongozi kumdharau Raisi wa nchi na Mwenyekiti wa Chama kiasi kile!

Sasa swali langu ni kwamba wale walioimba wako wapi? Kwa maana kuamua kuimba ule wimbo ni lazima ujiamini kupita maelezo ukichukulia madaraka makubwa ya Raisi wa JMTZ!

Bado tupo CCM lkn kura kwa Lowassa
 
Mgufuli uyooo uyooo uyouyoyuo odfje0rtu0496834=09fj43=j\[q-043-o0-i405q-_*R+ n

haimbiki
 
Back
Top Bottom