Any way mi shauku ishaisha kabisa na nishabadili mawazo yangu ya nani nitampigia kura
We umejuaje yuko Ukerewe na sio Dom
Nilivyokua naona tembea yake tu kipindi cha kutafuta wadhamini nilijua tuwa wenzake wanamkata
Ndio hivyoJamani tuleteeni chozi la damu la EL na makuwadi wake.
Amekatwa na yeye kakubali kukatwa
Pole Ngoyai kwa kukubali kuingia kwenye Makubaliano Haramu ya kupokezana Nchi yetu wewe na Boys two men mwenzako. Bora ungeanza wewe ungeheshimu maamuzi
jamaa ana moyo mgumu sana
safi sana EDDO komaa nao kama vipi mwaga ugari
Amekatikaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!
jamaa ana moyo mgumu sana
jamaa ana moyo mgumu sana
amwage tu....hamna jinsi
alikua anatembeaje mkuu?Nilivyokua naona tembea yake tu kipindi cha kutafuta wadhamini nilijua tuwa wenzake wanamkata