Lowassa atinga mkutanoni Halmashauri Kuu, Waimba tuna imani na Lowassa

attachment.php


At least Zito anaonyesha jinsi alivyo. Alipokuwa anafuatwa kule Kenya wakati huo ni Jambo Forums alikuja huku kuomba msaada lakini sasa hivi kwa sababu anakula na wezi waliokubuhu haoni soni. This small boy does not deserve any sympathy from true Tanzanians.
 
AMESHAKATWA.
Ameenda kwenye mkuu wa halmashauri kuu kuwapongeza wajumbe kwa kumkata jina lake kwani lilivuma sana sasa linapotea rasmi
 
At least Zito anaonyesha jinsi alivyo. Alipokuwa anafuatwa kule Kenya wakati huo ni Jambo Forums alikuja huku kuomba msaada lakini sasa hivi kwa sababu anakula na wezi waliokubuhu haoni soni. This small boy does not deserve any sympathy from true Tanzanians.
From BBC Swahili:

TAHADHARI MATAPELI
Tunawatahadharisha kwamba kuna matapeli wamebuni akaunti ya mtandao wa twitter bandia wanayoitumia kama chombo cha kupambana na kueneza uzushi katika kinyang’anyiro cha kugombea tiketi ya Urais kwa Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kinachendelea mjini Dodoma , Tanzania
Tunawafahamisha kuwa ,hiyo sio akaunti ya twitter ya BBC and hatuhusika katu na taarifa hizo za uzushi.
Kuweni waangalifu.
 
Pinda anajua kinachoendelea.Yeye aliingizwa kimkakati focus ikiwa ni Lowasa.
Pinda yeye hajaingia mkutanoni? Bilal je? mpaka aibu yaani. PM na Vice President wanaonekana hawana vigezo vya kuuvaa uRais ila akina January Makamba na wamama wanaoenakana wanaweza. Chama cha Machizi hiki. Ningekuwa Pinda ningetender resignation letter with immediate effect.
 
Ndugu,
bbcswahili wamekana kuhusika na hii twiti.
Ni wahuni tu wachache kwa nia wanazojua wao wameamua kutengeneza hii kitu.
Kwa kifupi ni fake account.
Anaweza kuwa katengeneza Ayatu..la mwenyewe! Mie sina imani naye kabisa muhuni yule. Hapo anataka kutengeneza attention tena kwake baada ya kuona kwa karibu wiki nzima watu wamempotezea hata wale wafuasi wa damu na jasho wamemsahau kabisa.
 
At least Zito anaonyesha jinsi alivyo. Alipokuwa anafuatwa kule Kenya wakati huo ni Jambo Forums alikuja huku kuomba msaada lakini sasa hivi kwa sababu anakula na wezi waliokubuhu haoni soni. This small boy does not deserve any sympathy from true Tanzanians.
Kula like kubwa kabisa. Mdandiaji kaona amesahauliwa lazima ajichomeke popote ili atokezee.
 
res boda usipate tabu na hawa maripota wetu wa vichorochoroni. hapa alikuwa anamaanisha ukomo wa viti maalumu ambao chama kina mamlaka navyo.

Kuondoa ukomo wa Ubunge na Udiwani? Kiaje?

Ccm inamamlaka gani juu ya kuondoa ukomo wa Ubunge na Udiwani? Nadhani taarifa haijajitoshereza..!!

BACK TANGANYIKA

Mgombea maarufu aliyekatwa jina Edward Lowasa ametinga ukumbini na kupokelewa kwa shangwe na vifijo. wajumbe bila kujali makundi yao waliimba ' tuna imani na Lowasa'....! Mwenyekiti ameweka mezani ajenda tatu, mosi ilani ya uchaguzi, pili kuondoa ukomo wa ubunge na udiwani na tatu wagombea Urais wa Zanzibar na Tanzania. Nitaendelea kuwajuza yanayajiri!
 
Jamani tusaidiane kuwatambua wana CCM walioimba wimbo wa "Tuna imani na Lowassa" kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM huku wakijua jina lake si miongoni mwa yale yanayoingia kupigiwa kura na hivyo kumdhalilisha mwenyekiti wa vikao vya mchujo. Hapa kuna clip kutoka Youtube, ila ni fupi na haiwaonyeshi watu wengi walioimba. aliye na clip ndefu atusaidie kuweka

 
Last edited by a moderator:
Mbona hata mwenyekiti mwenyewe alikuwa anapiga makofi wakati wimbo huo unaimbwa? Naye anaimani naye ni basi tu ajali ya kisiasa ilimtokea Lowasa ndani ya ccm
 
Walioimba wapo wale watatu waanzilishi - Emmanuel Nchimbi, Sophia Simba na Kimbisa hawa ndio walioufundisha huo wimbo kwa hao wengine. Ninachokusikitikia wote hao bado wapo CCM na kwa sasa eti wanamkashfu lowasa na kumfagilia Magufuli, kwa hiyo thread yako haina maana yeyote kwani siku zote unaambiwa SIASA NI UONGO ULIOKOMAA na katika siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu.
 
Jk kumkata Lowassa kulinufurahisha ila Lowassa kumkata na Hatimae kumstaafisha Slaa kumenifurahisha zaidi kwa kuwa nilipanga kwenda kupiga kura ya Kukataa kuongozwa na Slaa kwa kuwa Lowassa kasaidia huenda nisipige kura kabisa
 
Back
Top Bottom