Lowassa ashauriwa asigombee urais

Yani nipo hospitali nimepanga foleni kwanzia satatu.
Mara Umeme umekatika Mara mchukua vipimo maabara Mzee. Tabu tupu
 
Wenye uelewa hata kama hawamkubali Lowassa,wataanza kujiuliza ni kwanini nguvu kubwa inatumiwa na baadhi ya wanaCCM kumdhoofisha huyu jamaa na kwamaslahi ya nani?
 
Angekua nania ya kukwamisha angpga kura ya Hapana huuu uongo Wa zaman hatudanganyiki afie ikulu hakuna kulala
 
habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe lowassa mama regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa ccm mwanza mhe antony diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.
tuache tamaa, urais tumpe prof. Anna tibaijuka
 
Huwa naheshimu post za kila mtu jambo kubwa kwangu nikipata tarifa kama hii huwa naanza kutafiti na kupata ukweli zaidi nimefanya hivi kwenye post nyingi za chabruma na kupata ukweli juu ya post za chabruma kwa undani kabisa.

Makonda aka Chabruma lazima akonde kwa presha na rafiki yake simiyu yetu kwa kumtetea joka la mdimu.
 
Lowassa kwishne!!

Huwezi kushindana na Mungu. Huyu fisadi wakti wote amekuwa anajaribu kujitakasa na kujisafisha katika juhudi zake za kuingia Ikulu. Keshaenda mpaka kwa Nabii Joshua, Israel n.k. ili kupata baraka za kuwa Rais lakini hakuna.

Kuna msemo ambao Lowassa na mafisadi wenzake ndani ya CCM wanatkiwa kuuzingatia. Kwamba.''When God says NO there is none can say YES''!! Huu ni ukweli ambao Lowassa hawezi kubishana nao.

Stay tuned............
Mbona unatuletea kingereza cha mitaani. Naona ulikuta tangazo mahali ukadesa.
 
Dah,watu wanakiogopa kivuli cha Lowasa! Yes its true alikataliwa na Nyerere (so was Kikwe). Who doesn't know Lowasa was the 'steam' behind Kikwe's First Term Government? He left and the government went to the 'spineless' cowards who use Police against their own people!
Now Lowasa is about to come back, jipangeni! Na mtachonga sana!
Hawa mabwana wa WAMA na joka la mdimu wameishiwa sera. Wamebaki kulialia tu. Sasa wapigwe tu ameingia ulingoni ndiyo wamechanganyikiwa kabisaaaaaaaaaaa.....
 
Wenye uelewa hata kama hawamkubali Lowassa,wataanza kujiuliza ni kwanini nguvu kubwa inatumiwa na baadhi ya wanaCCM kumdhoofisha huyu jamaa na kwamaslahi ya nani?

Mimi binafsi siipendi ccm kama kinye....... lakini siungi mkono mbinu zinazo tumika na wana ccm kumkashifu huyu mzee mfano ni huyu makondaaaa ananiudhi sana kwani yule mzee ni kama baba yake kama sio babu yake. Lakini pia najiuliza mtoa maada uelewake mdogo sana kwani tangu nimekuwa mkubwa sijaona hata siku 1 vipimo vya afya vikafanywa na mtu mwingine kwa niaba ya mwingine, eti mke wake alienda kucheki vipimo? kwa niaba ya EDO kweli hii kali
 
Nimtetee kwa lipi wakati uchapakazi wake na utendaji kazi wake unamuuza as days goes....wambieni mama salma awabadilishie strategies mkizidi kuja na hizi mnazidi kuporomoka tu mpaka mtazidiwa na Kigwangala..."Last month report ya redet naona imewapendelea kwa kuwapa nafasi ta 5 out of 7

As days goes.... duuuuuu kimombo cha wapi hiki. Mmekalia mitusi tu wakati kingereza cha darasa la 3 kina kutoa jasho. Mnapingana na ukweli kwamba jamaa yenu mwizi anaumwa!!! Nikuulize swali dogo tu,kama hukuwepo, waulize wenzako waliokuwa pale makaburi ya kinondoni kwenye mazishi ya mtoto wa Mzee Mangula watakwambia hali ya Lowassa ilikuwaje. Time will tell, 2015 is coming very soon. Mnamtetea humu lakini wapiga kura asilimia kubwa hawako humu JF.
 
Habari zilizotufikia punde zinasema madaktari wa Lowassa waliopo ujerumani wamemshauri mgonjwa wao asiendelee na shughuli hiyo ya kuwania kwani inamchosha na kufanya ugonjwa wake umtafune kwa kasi.

Madaktari wamefikia uamuzi huo baada ya kuona hali ya mgonjwa wao anayesumbuliwa na ugonjwa wa Parkinson inazidi kudorora kutokana na hekaheka za kuzunguka huko na huko kutafuta wajumbe wa kumuunga mkono kwenye harakati za kugombea urais.

Taarifa ya madaktari hao imepokelewa na mkewe Lowassa mama Regina ambaye alipokuwa nje ya nchi hivi karibuni.

Inasemekana mh. Lowassa alimtuma mkewe kwani yeye alikuwa busy kufitini mchakato wa kupata rasimu ya katiba akihofia ikipatikana rais Kikwete atapata sifa.

Hofu ya madaktari ni kuwa suala mhe la degenerative urais linampa mhe. Lowassa stress ambazo zinafanya ugonjwa wake wa Parkinson usambae kwa kasi zaidi.

Ugonjwa huo unaoshambulia na kuua mishipa ya fahamu na misuli ndio pia unaomsumbua bondia mashuhuri wa zamani mohamed Ali.

Kwa sasa mhe. Lowasa amefikia hali ambayo hawezi kuandika au kunywa supu au uji kwa kijiko kwa vile mikono yake inatikisika sana.

Madaktari wanasema akipuuza ushauri wao basi ifikapo the mwezi wa sita mwakani atashindwa hata kutembea mita mia moja.

Baadhi ya madaktari bingwa wa Tanzania niliozungumza nao kuhusu taarifa hiyo wanasema walikuwa wanafahamu ugonjwa unaomsumbua mhe. Lowassa ambao yeye anafanya siri kubwa kwa vile dalili zipo na kwamba alikuwa ananunua dawa zake katika duka la madawa lililopo oysterbay hotel, dar es salaam.

Taarifa hiyo ya madaktari bingwa wa Ujerumani imepokelewa kwa uchungu na mhe. Lowassa mwenyewe, familia yake na watu wake wa karibu.

Inaelezwa kuwa mhe Lowassa anazidi kupata vikwazo kufikia ndoto yake mahala baada ya kushambuliwa hivi karibuni na mwwnyekiti wa CCM Mwanza mhe Antony Diallo kuwa yeye ni fisadi na anasubiri kumuumbua akijitokeza rasmi kugombea urais.

Stay tune for more information.
Diallo ndio wakumwita lowassa fisadi? nchi hii vituko kila siku... Mwisho wake mtaandika Lowassa hagombei, kasha kick the bucket wakati laigwenan ndio kwanza kumekucha kila kitu iko moto kwenye kampeni yake.
 
jamani mwacheni lowasa afanye mambo yake mbona mna wasiwasi sana kama sio mnajua yeye ni jembe?hana ugonjwa wowote kwa taarifa yenu tunajua nia na mathumununi yenu lakini jueni lowasa ndiye raisi wa tanzania 2015 tunamuhitaji na anaweza kama hauamini muulize komba na sululu

chadema hoi kwa jamaa mpaka bac kwa kwel ni jembe
 
Back
Top Bottom