Lowassa asababisha timua timua ITV

Hivi kuna mgonjwa anayeweza himili kuzunguka nchi nzima mpaka sasa? Mbona hao wazima tunawafungia maturubai kila siku Karimjee Hall.....

Wajua mkuu,KILA mtu aliye mwonea na kumsema LOWASA kwa ubaya hasa kumnyanyapaa kuwa ni mgonjwa,eti kaji.....hawa watu kauli walilotamka kwa ubaya Liwarudie Mara mbili zaidi,wao liwapate madhara hayohayo kumtakia mtu adiyewasema,asiyewachukia,mtu aliyekua kimya huku anakejeliwa. Nyinyi wauvu hasira ya Mwenyezi Mungu Mkuu aliye hai inawajia kuanzia sasa.hamtabaki salama mpaka mtakapomwona LOWASA na kumwomba msamaha NAYE akatamkaa kuwasamehe.
 
Hivi kuna mgonjwa anayeweza himili kuzunguka nchi nzima mpaka sasa? Mbona hao wazima tunawafungia maturubai kila siku Karimjee Hall.....

Hawakujinyea lakini. Raisi gani wa pempasi khaa!!
 
Mpango mzima ni UKAWA mwanzo mwisho,hutaki nenda kale malimao!.
VIVA UKAWA.
 
Hivi kuna mgonjwa anayeweza himili kuzunguka nchi nzima mpaka sasa? Mbona hao wazima tunawafungia maturubai kila siku Karimjee Hall.....

Ukisema nchi nzima unajumuisha Tanga na Tunduma pia?
Halafu M4C angekuwa anaongea sekunde 20 kama huyo mgonjwa wenu saa hizi angekuwa anarudia mikutano kwa mara ya kumi hivi.
 
Achaa utahira, mbowe alikuwa anaongea na microphones zilikuwa hazitoi sauti. Sauti ilikuwa kavu kavu ya mbowe.

Na maiki alizishika kwa ajili gani sasa? Au alikuwa hajui kuwa zilikuwa ni mbovu hahahaaah!!!
 
Na maiki alizishika kwa ajili gani sasa? Au alikuwa hajui kuwa zilikuwa ni mbovu hahahaaah!!!

Alikuwa anawatangazia kuwa microphone ni mbovu kwa kutumia microphone. Wasanii utawajua Tangamano walisema watu wengi walipoteza fahamu, lakini juzi furahisha walonekana wakiwaondoa waliozidiwa. Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu
 
Kukata mzizi wa habari tupieni hizo clips humu

Hizo clip zipo na mimi nimeziona...Kimsingi mim kama binadamu wa kawaida siwez ongelea afya ya mtu coz at any time t..mungu ndo anajua mwisho wetu....!Nimemuuguza mgonjwa wa +h..for 2o yrs na walumuita mgonjwa wanakufa yeye anadunda na ndani ya udhoofu wake kajenga na mambo yanaenda..plz tuseme yoote by mambo ya afya ya mtu tuyaache.
 
acheni uongo wagonjwa kila sikutaki wanafariki apolo lakini bado mnabambikiza watu kuwa waginjwa
mtoa maada utake radhi vinginevyo yakikupata ya vengu usimlilie mungu
 

Nonsense!
 
Hata wangeweka jiweee nitalipigia kura hilo jiwe . Kuliko kupigia ccm....
 
Hiv Lowasa anayetajwa c huy ambaye kla sik tunaangalia na kuhudhuria baadh y mikutan yak? Au mleta mada ana lowasa wake?
 

Umefikiria kabla hujabwabwaja? kwani akiwa mgonjwa akaitwa mgonjwa kufuru iko wapi hapo?
suala la ugonjwa na kifo vinahusiana nini?
ukiambiwa mgonjwa kwako wewe inamaanisha utakufa karibuni? mnaharibu sana JF nyie watu kwa mapenzi yenu yaliyopitiliza mipaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…