Lowassa asababisha timua timua ITV


Kuwa mgonjwa sio mpaka ufe na kufa sio mpaka uwe mgonjwa na sio dhambi mtu kumwambia ni mgonjwa
 

.
Mtoa ripoti hii ndio mmoja wa wale wataalamu wa makamba hapo Masaki au buku 7+ Lumumba? Mbona hujamtaja huyo aliyeingia matatani Itv kama sio uzushi tu huu.
katika nchi zilizo makini na kufuata utawala wa sheria January Makamba alipaswa kuwa kwa sasa ameshikiliwa kuhojiwa kuhusu Helikopta chakavu alizokodisha. ona sasa imeshagharimu nafsi ya thamani sana kuzidi wengi magambani ya Deo.
 
Uzima na mauti vyote viko mikononi mwake mola. KURA yangu ni kwa LOWASSA.

Nakuomba WEWE unayesoma thread hii pamoja na FAMILIA yako na RAFIKI zako tumpigie LOWASSA kura hamtojuta kamwe kumchagua LOWASSA.

Huo uwehu wako fanya mwenyewe na familia yako na Wachagga wenzio. Kamwe Lowassa haingii Ikulu.
 
ha ha ha ha Lowasa Mdhoofu, sawa, mtikila alikuwa mdhoofu? Kombani je? Filikunjombe je? Nachowaomba vijana wenzangu acheni kuzungumzia afya za watu kwa ujira wa kikombe cha kahawa. Kuna moja ya marehemu tajwa hapo juu walimtuhumu Lowasa na udhoofu wake, matokeo yake kaondoka yy. hu hu hu hu Mungu sio Mzee manjilinji, atakuchukua na ww uliyetoa hii post.
 
Jamii forum panaongoza kwa unafiki kupita hata Facebook siku hizi siku video ya Dr.Slaa ilipovuja kuonyesha wanakina mwakyembe wakiongea na Slaa na watu wakafukuzwa kazi kila mtu alilamika hapa na kudai wameonewa leo ni zamu ya Lowassa video za kweli zimevuja tunadai wache wafukuzwe kazi lets be realistic video zote mbili ni za ukweli but hazikutakiwa kwenda public moja kwa sababu za usalama ya pili babu ni mgonjwa kutoa video vile ni kama kumdhalilisha ingawa ndani yake inaukweli.
 
Allways njia ya muongo haiwi ndefu !
Umedai video (clip) zimesambaa kwenye social netwk , tuwekee basi hiyo clip basi ! Btw kuna kila dalili hapa hiko ukisemacho hakipo!
 
Watu wanaotupiwa vijembe vingi ndio ninaowapenda, tar 25 Oktoba kura yangu kwa Lowassa na UKAWA, namwomba Mungu anipe uzima.
 
Chopa zetu zote ziko salama sipendi uongo mie kura yangu kwa Lowasa si mnafiki si muongo hana matusi hamdharau mtu.

Umenichekesha sana rohongumu hahaaha chopa zetu zote ziko salama...ziko ziarani kanda ya ziwa
 

Wewe kama siyo timu lumumba basi ni timu dr mihogo hizo clips mbona hukuziweka hapa wakati unasema zimetengenezwa? Akili za ngiri ni taabu sana kumuongoza mwanadamu
 
Yeye anagombea urais ndio sababu, cheo cha mwisho kabisa, kwa ugonjwa wake anaweza hata kuamuru makombora yavurumishwe ...

Tumekubali kumchagua hivyo hivyo hata kama anakohoa yeye ndiye rais wa tanzania
 
Ccm mmejaha uongo na unafiki kila sehemu kama yule kiongozi wenu mwezi Wa kwanza uongo hadi kwenye maisha ya watu chopa zetu zote mzima wakati kuna watu wamepoteza watu muhimu katika maisha yao

Na watazidi kupukutika maana ni rungu la mungu
 
Mm kura yangu ni kwalowaxa 2 hata kama wanaxema ni mgonjwa nibora 2kampa lowaxa kuliko kuwapa hao wanaojiita wazima ambao wanazid ku2umiza

Lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa lowasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…