ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,713
- 57,235
Lowasa ni rais
Eti dodoma wakiichagua tena ccm tatizo la maji litakuwa history!!!!..., kweli???
Waliojitokeza kwny mkutano wa chang'ombe dodom malory yalihusika,inashangaza kwny ngome ya ccm lori linaleta watu,nyie kaeni macho lowasa wiki ijayo atakuwa dom,mtaona mabadiliko yalivyofika mpaka dom,u mwaka watu wanataka sisiem idondoke hata kama mgombea wa ukawa ungekuwa msitu
inawezekana kuwa ni kweli watu wanayataka mabadiliko kama inavyo semwa, pale Tabora kuna bango nimeliona likisomeka hivi "KWA MAHABA NINILYO NAYO KWA LOWASA HATA AKISIMAMA AKAJITANGAZA MWENYEWE KUWA NI MWIZI BADO NTAMPA KURA YANGU" ina mahana kuwa watu hawazingatii tena tatizo la ufisadi? au ndo ccm iondoke tu bila kujali mbadala wake?
Inatia hasira sana.Lowassa akipanda anaonge dakika 15 na Mh.Pombe Magufuli anaongea weee. ana rudia wee.Mafisadi Jela Mafisadi Mwisho.Alafu bado Malofa ni Lowasa Lowasa. hii ni hatari na inatia hasira sana .Itabidi mkazo uongezwe kwa kutumia Jeshi Sasa
inawezekana kuwa ni kweli watu wanayataka mabadiliko kama inavyo semwa, pale Tabora kuna bango nimeliona likisomeka hivi "KWA MAHABA NINILYO NAYO KWA LOWASA HATA AKISIMAMA AKAJITANGAZA MWENYEWE KUWA NI MWIZI BADO NTAMPA KURA YANGU" ina mahana kuwa watu hawazingatii tena tatizo la ufisadi? au ndo ccm iondoke tu bila kujali mbadala wake?
Tarajia mambo ya Alinacha ktk wiki 2 za mwanzo za Mwezi OctoberNa siku ya kupiga kura jeshi litawalazimisha wampigie Magufuli???
Na kubenea
aomba mdahalo na dr slaa awe na mwakyembe na sita yy peke yake ..leo yupo kyela akirudi kesho jatu anawataka
waende na ushahidi wao wote na yyanakwenda na ushahidi ulio kamili kabisa.anasema alitaka kubaki kimya slaa kafanya kosa kumtaja sasa ameamua kutaka kuonyesha hajui kitu
pia ana ushahidi kalipwa sh ngapi yy na ficm na mshumbu
kama hawataki anaitisha press conference
hizi ndizo habari zinazovuma kwa sasa jpili asubuhi mwenye maelezo tafadhali
Hii ni kwa sababu watu wameshasema Lowasa anatosha kuwa rais.
Kazi kwa magufuli kuendelea kupiga debe awaridhishe ccm japo mwaka huu mwanaharamu hapiti.