Ndugu nakubaliana na wewe ila nakupa shauri kwamba maisha lazima yaendelee. Tujiunge pamoja kubadili mkakati kupitia ukawa alafu kwa miaka 5 tuone. Kukata tamaa hata kwa mambo yako binafsi ni hasara na haishauriwi hata kwa vitabu vya dini. Vumilia kwa dk 1 zaidi labda ndo unapata jibu la hitaji lako. JIPE MOYO MKUU TWENDE TENA HATUA 1 na EL tutatathmini chini ya UKAWA. Brovoooo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.