Tunakumbuka wakati Lowassa baada ya kuhamishwa kutoka Wizara ya Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu na kupelekwa Wizara ya Ardhi na Maliasili alikuta madudu mengi na kuanza kupambana nayo kwa ujasiri mkubwa wa ajabu.
Kulikuwa na wajanja wachache ndani ya halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam walitaka kuuza viwanja vya Mnazi Mmoja kwa mfanyabiashara mmoja maarufu, Lowassa alitoa tamko la serikali akiwa bungeni Dodoma akitaka mfanyabiashara huyo aondoke haraka eneo hilo kwa kuondoa uzio alikuwa ameujenga na ndipo wananchi wakavamia na kuchukuwa mapati yote.
Watanzania wanamuitaji "jembe" Lowassa.
Haki ya nani njaa mbaya na wewe tayari umelipwa kuja kusafisha fisadi hapa jamvini. Haiwezekani mtu ukageuka ghafla kiasi hiki kama sio fedha za kifisadi zimekuzukia. Wewe kula hizo pesa kwa kuwa hakuna atakeyekuja kukudai kuwa hukufanikisha kile mlichokubaliana!