Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Hizi ni story za magreen guards baada ya kushikishwa bahasha za kaki.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ritz+Redet [Dr Benson Bana's private company]= Urithi wa mikoba ya Sheikh Yahya!!!Ndugu usilete porojo huo utafiti umeufanyia wapi? na hiyo sample ilikuwa ni akina nani na wapi? nchi hii kwa sasa CCM haipendwi na imepoteza mvuto na hakuna atakaye simama kuiokoa hapo 2015.
Wanabodi,
Wakati mchakato wa Uchaguzi ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM unaendelea kuanzia ngazi ya shina hadi taifa. Mbunge wa Monduli Edward Lowassa anaonekana kupanda chati kwa kasi ya ajabu na kuonekana ana nafasi kubwa katika mbio za urais 2015.
Uchambuzi wa kisiasa unaonesha karibu kila kona ya nchi hii, katika watanzania 10 utakaowahoji kuhusu ni nani hasa anayefaa kumrithi Rais wa sasa Kikwete, saba kati yao wanamtaja Lowassa wakidai ni "Jembe" linalopigania haki na maendeleo ya kila Mtanzania.
Makundi makubwa yanayotajwa katika mnyukanakano huo ni pamoja na kundi la Lowassa, Samwel Sitta, na Bernad Membe. Kila mmoja anapambana kufa na kupona kuhakikisha kwamba wanaingiza watu wao muhimu katika vikao vya (NEC) na ndani ya Jumuiya za chama hicho, UVCCM, UWT, na Wazazi, katika makundi yote hayo Lowassa anaonekana kuwa ni mtu makini ana nafasi kubwa ya kupenya na kupererusha bendera ya chama hicho.
Kusimama kwa Lowassa kama mgombea Urais ni pigo kubwa kwa vyama vya siasa hasa Chadema, CUF na NCCR Mageuzi. Kutokana na rekodi ya Lowassa, ni mtu wa kufuatilia kila jambo analoamini katika dhamira yake kwamba linafaa kwa ajili ya maendeleo ya wananchi ni mwenye hulka ya kusaidia na kuchangia shughuli za kijamii bila kujali itikadi za kisiasa wala dini, tofauti na viongozi wengine wa kisiasa amekuwa mtu tegemeo katika shughuli za kijamii iwe za kanisani au msikitini.
Ukitaka kumjua Lowassa ni kiongozi wa namna gani, tembelea jimboni kwake Monduli ukaone namna alivyowezesha makundi ya vijana na wazee kiuchumi.
Mkuu Ritz sikujua na wewe unasapoti kambi ya lowassa,hivi na madudu yote ya Richmond na mvua za kutengeneza unafikiri anaweza kupenya??
Wanabodi,
Wakati mchakato wa Uchaguzi ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM unaendelea kuanzia ngazi ya shina hadi taifa. Mbunge wa Monduli Edward Lowassa anaonekana kupanda chati kwa kasi ya ajabu na kuonekana ana nafasi kubwa katika mbio za urais 2015.
Uchambuzi wa kisiasa unaonesha karibu kila kona ya nchi hii, katika watanzania 10 utakaowahoji kuhusu ni nani hasa anayefaa kumrithi Rais wa sasa Kikwete, saba kati yao wanamtaja Lowassa wakidai ni "Jembe" linalopigania haki na maendeleo ya kila Mtanzania.
Makundi makubwa yanayotajwa katika mnyukanakano huo ni pamoja na kundi la Lowassa, Samwel Sitta, na Bernad Membe. Kila mmoja anapambana kufa na kupona kuhakikisha kwamba wanaingiza watu wao muhimu katika vikao vya (NEC) na ndani ya Jumuiya za chama hicho, UVCCM, UWT, na Wazazi, katika makundi yote hayo Lowassa anaonekana kuwa ni mtu makini ana nafasi kubwa ya kupenya na kupererusha bendera ya chama hicho.
Kusimama kwa Lowassa kama mgombea Urais ni pigo kubwa kwa vyama vya siasa hasa Chadema, CUF na NCCR Mageuzi. Kutokana na rekodi ya Lowassa, ni mtu wa kufuatilia kila jambo analoamini katika dhamira yake kwamba linafaa kwa ajili ya maendeleo ya wananchi ni mwenye hulka ya kusaidia na kuchangia shughuli za kijamii bila kujali itikadi za kisiasa wala dini, tofauti na viongozi wengine wa kisiasa amekuwa mtu tegemeo katika shughuli za kijamii iwe za kanisani au msikitini.
Ukitaka kumjua Lowassa ni kiongozi wa namna gani, tembelea jimboni kwake Monduli ukaone namna alivyowezesha makundi ya vijana na wazee kiuchumi.
Ninategemea wachangia wa jamvi hili 75% wapo chini ya miaka 50 kushuka chini na wana ufahamu wa kutosha kama si elimu ya kutosha. Vile vile wachangiaji wote ni Watz 100%. Hoja yangu hapa ni kwamba kwa mtu mwenye akili timamu na anaipenda Tanzania na watu wake aNATARAJIWA asimfikirie lowasa edward kam-candididate wa kutoka chama chochote. Kama anayewatuma ni yeye,,, basi awatume kupiga kampeini jinsi ya kuendesha business zake ambazo mtaji wake umepatikana kwa mashaka. Otherwise, tuondoleee kichefu chefu na kutulisha ujinga
Mkuu naona umekiri mwenyewe kama Lowassa ni Jembe.
Ritz, nakubaliana na wewe kuwa Lowassa ni jembe sijui fyekeo akiwa huko ndani ya Magamba ila kwa upande wangu mimi napenda sana CCM wamsimamishe Lowasa ili Chadema ipunguze gharama za kampeni.
Wanabodi,
Kusimama kwa Lowassa kama mgombea Urais ni pigo kubwa kwa vyama vya siasa hasa Chadema, CUF na NCCR Mageuzi.
inaweza pia kuwa pigo kwa ccm kwani upinzani unaweza kupita kiulaini ikiwa EL atagombea kupitia ccm
Mkuu naona umeamua kujiliwaza Lowassa ndio atakae ibomoa ngome yenu ya Kaskazini.