jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,381
- 25,476
Katiba ni mwongozo. Hizo nchi lazima zina mwongozo hata kama hauko kwenye mfumo wa katiba. Tumia akili. Au kwasababu umeskia Uingereza hawana katiba ndo ukadhani hawana mwongozo?Katiba haijengi nchi.
Anaefikiri kuwa katiba ndiyo inajenga nchi huyo ni punguani.
Kuna nchi zimeendelea sana duniani na hazina katiba.