Lowassa anyang'anywe Passport kabla hajatoroka!

Lowassa anyang'anywe Passport kabla hajatoroka!

Pamoja na mapungufu yake sidhani kama tunastahili kuendelea kumsumbua kwa kiasi hicho.
ifike mahali tumuhukumu kwa wema kidogo aliofanya na tumsamehe bure tu. ikishindikana kabisa basi tufikirie kuwa amewekeza na kuna watanzania wanafanya kazi huko.
mwisho angalieni umri na pia inawezekana afya yake haiwezi kuwa imara kama kijana wa miaka 53
Facts
 
WAKATI WA KAMPENI ZA URAIS, TUNDU LISSU ALIWAHI KUMUULIZA RAIS KIKWETE ATAJE MWENYE RICHMOND NI NANI? KIKWETE ALIJIBU KISTAARABU KUWA MWENYE RICHMOND NI YULE ALIYEKUWA ANATEMBEA NAYE.
LOWASSA PAMONA NA MAKOSA YAKE MENGI LAKINI RAIS MAKUFULI AMEAMUA KUMWACHA APUMZIKE KWA MEMA MENGI ALIYOFANYIA INCHI HII.
ILA AKITAKA KUHARIBU AMANI YA INCHI HAKUTAKUWA NA SALIA MTUME.
 
Mtu kajidhamini mwenyewe halafu wewe 'tumbili' baada ya kupata ugali wako kwa mboga za "kuokotaokota" unakuja kutoa ushauri wa kijinga kuhusu yeye..

Au unadhani wewe una upeo kuliko wanaoshughulika naye?
 
Ni lini tutaacha kuwaza Watu na kuwaza maendeleo! Hata afungwe nani inasaidia nini kuleta maendeleo[emoji38]
 
Babu Lowassa ataenda wapi huyo?
Alpha Co. Inamtosha kabisa kuishi nchi yoyote duniani.Au ulidhani atakuja huko kwa wazungu kuishi kwa kutawaza wazee/Kushika Mavi kama mnavyoishi wabongo wenye shida zenu huko kwa trump.
 
kweli wewe unajichanganya sana atoroke kwa kesi ipi ha ha endeleeni kujitangazia moto
 
Ni jambo lililowazi kbs sasa ni swala la muda tu kabla ya Mega Fisadi Lowasa hajatiwa nguvuni na vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama, hivyo ningependekez anyang'anywe Hati yake ya kusafiria kabla hajachomoka kama Rostamu!

Lowasa the cycle is closing, they are coming for you, nigga!

unafiki utakuuwa wewe Chenge na Mkapa vipi
 
Mwambie a mkamate na yule aliyeuza nyumba za umma na kuwahonga malaya wake
Yule aliyekuwa anawafungulia waandishi kesi za uongo? Mtu mzima unaenda Polisi unafungua kesi ya kusingizia? Kisha Leo unasema uombewe! Labda kwa shetani
 
Tume huru idaiwe mapema ccm itoke vinginevyo watanzania mtapata tabu sana
 
Ni jambo lililowazi kbs sasa ni swala la muda tu kabla ya Mega Fisadi Lowasa hajatiwa nguvuni na vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama, hivyo ningependekez anyang'anywe Hati yake ya kusafiria kabla hajachomoka kama Rostamu!

Lowasa the cycle is closing, they are coming for you, nigga!
Richmond ni ya kikwete na fisadi ni wewe na hao wengine wanaokufanya ukariri propaganda miaka yote pasipo kuzinduka, kawanyang'anye passport walionunua kivuko kibovu, na wale waliotafuna bilion 251 kwa kuwalipa makandarasi hewa wizara ya ujenzi utawanyang'anya passport? Ufisadi ununuzi wa ndege kwa cash, ujenzi wa Chato international airport, ukarabati wa bandari na ujenzi wa reli umekula wewe? Mikataba yao ipo bungeni kujadiliwa? Wanyang'anye passport wote kabla ya kuchunguza yote hayo.
 
Mtu kajidhamini mwenyewe halafu wewe 'tumbili' baada ya kupata ugali wako kwa mboga za "kuokotaokota" unakuja kutoa ushauri wa kijinga kuhusu yeye..

Au unadhani wewe una upeo kuliko wanaoshughulika naye?
Lowasa ana watu Lowasa si rugamalila wala singa singa kwanza cheki ulinzi walioweka kipindi wamaenda kumhoji waliogopa nini mpaka kuandaa magari mengi? wajue kuwa wakiamua kumkomoa Lowasa watakuwa wamekaribisha Sumu kubwa nchini.
 
Alpha Co. Inamtosha kabisa kuishi nchi yoyote duniani.Au ulidhani atakuja huko kwa wazungu kuishi kwa kutawaza wazee/Kushika Mavi kama mnavyoishi wabongo wenye shida zenu huko kwa trump.

Aliye waroga baadhi ya Watanzania kwa kudhani kuwa wale wote wanaoishi kwa Trump kazi zao ni kutawaza/kushika mavi ya wazee alishajifia!
 
WAKATI WA KAMPENI ZA URAIS, TUNDU LISSU ALIWAHI KUMUULIZA RAIS KIKWETE ATAJE MWENYE RICHMOND NI NANI? KIKWETE ALIJIBU KISTAARABU KUWA MWENYE RICHMOND NI YULE ALIYEKUWA ANATEMBEA NAYE.
LOWASSA PAMONA NA MAKOSA YAKE MENGI LAKINI RAIS MAKUFULI AMEAMUA KUMWACHA APUMZIKE KWA MEMA MENGI ALIYOFANYIA INCHI HII.
ILA AKITAKA KUHARIBU AMANI YA INCHI HAKUTAKUWA NA SALIA MTUME.
Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini Jakaya alimwambia Tundu Lisu mwenye Richmond ni "yule unayetembea naye "

Ulisikia mahali Jakaya akimtaja Edward Ngoyai Lowasa kwa majina yake Kwamba ndiye mmiliki wa Richmond?

Wakati Lowasa anaachia uwaziri mkuu Jakaya alisema hiyo ni ajali ya kisiasa.. Kauli hiyo inamaanisha nini.

Yaani tumefanywa wajinga na wanasiasa na sijui ni lini tutatoka kwenye huu usingizi wa pono.
 
Yule aliyekuwa anawafungulia waandishi kesi za uongo? Mtu mzima unaenda Polisi unafungua kesi ya kusingizia? Kisha Leo unasema uombewe! Labda kwa shetani
Baba Jesca hamwamini mungu bali huzuga zuga kuwahadaa watanzania, kwa sasa anaishi kwa kuabudu Kamati za Ufundi za Daud Bashite ambaye anamiliki waganga wa kienyeji zaidi ya 200 tokea mataifa mbalimbali wakila na kulishwa na GSM wazee wa 10% ununuzi wa ndege kwa cash.
 
Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini Jakaya alimumbia Tundu Lisu mwenye Richmond ni "yule unayetembea naye "

Ulisikia mahali Jakaya akimtaja Edward Ngoyai Lowasa kwa majina yake Kwamba ndiye mmiliki wa Richmond?

Wakati Lowasa anaachia uwaziri mkuu Jakaya alisema hiyo ni ajali ya kisiasa.. Kauli hiyo inamaanisha nini.

Yaani tumefanywa wajinga na wanasiasa na sijui ni lini tutatoka kwenye huu usingizi wa pono.
Richmond ni ya kikwete hata IPTL ni yake yule singa singa yupo kama kivuli pale mbele.
 
Pia na uuzwaji wa nyumba za serikali
Kivuko chakavu, uwanja wa ndege chato, ununuzi ndege ujenzi wa reli, ukarabati wa bandari, mikataba ipelekwe bungeni ijjadiliwe upya maana kuna ufisadi wa kutisha.
 
Back
Top Bottom