Hakuna wa kumuweka ndani lowada nchi hii, mtasubiri sana. Siku lowasa akiwekwa ndani njoo nidai chenji yako. Nyie maraisi wenu wana kinga ya kisheria , lakini Lowasa ana kinga ya wananchi . kama hamwamini mkamateni hata kesho muwekeni ndani halafu muone hasira za watanzania kudhulumiwa ushindi wao. Watakuwa wamepata sababu ya kufanya uovu, ninachokiona mimi watu walikuwa wanatafuta sababu ya kuleta vulugu ilikuwa haipatikani sasa mtakuwa mmewapa sababu . watu bado wana hasira na ushindi wao . hakuna serikali inayoweza pambana na wananchi wake halafu ikashinda, ebu fikiria kwa akili yako ndogo kama kibiti inakuwa ngumu kuwapata wahalifu , je ikiwa nchi nzima watu wanachoma asset za serikali , je hali itakuwaje. Labda kama serikali imeamua liwalo na liwe , lakini hicho kitu si cha kutest hata kidogo .kwani maisha yetu ni zaidi ya hayo ambayo serikali inayafikiria. Siku lowasa akilala mahabusu tegemea uasi mkubwa kutokea huku uraiani, hao polisi wenyewe wapo wangapi , tuache kujitekenya wenyewe. Tatizo bashite anapokuwa mshauri wa mkuu unategemea nini, zero brain ,std seven faillure, form four failure. Mtu aliyeshindwa hata hesabu ankra kwenye mtihani wa taifa wa darasa la saba, leo mkuu ndio anamtegea awe mshauri , ndio maana hata viwanda havijengwi , kazi kuhubiri uwongo tu na miaka inaenda viwanda vyenyewe havionekani , mwisho wa siku mtasema mafundi kushona waungane nchi nzima na mtaanza kuhubiri hivyo ndivyo viwanda, poor thinking capacity. Mnaacha kuhangaika na ajenda zinaleta tija kwa wananchi kama vile , ajira kwa vijana mnahangaika na vitu ambavyo havina impact ktk maisha ya wengi. Siku lowasa akilala ndani uje uniambie nikanushe maneno yangu. Lakini haita tokea kamwe. Nchi yetu ina ma analyst wazuri wa masuala ya ulinzi na usalama wenye uwezo wa kubashiri viashiria vya uvunjifu wa amani katika nchi yetu.