Mvua....atawapelekea wamasai wenzake wakati anachunga nao...hakuna cha mvua wala manyunyu hapo....
Mvua....atawapelekea wamasai wenzake wakati anachunga nao...hakuna cha mvua wala manyunyu hapo....
Lunyungu,
Lete habari zaidi. Ila jamani acheni kuwaita Wamasai wote Richmond. Hii ya kuadhibu Wamasai wote shauri ya kosa la mtu mmoja sio sahihi kabisa.
Waliomshauri wamekosea, angetulia kwanza kama miezi kabla ya kujitetea kwenye TV. Watanzania sasa bado tuna hasira za kutuibia, hata aseme nini, hatuwezi kumwamini.
Bila kujali katendewa haki au hapana, kujiuzulu kwake kwa scandal ni somo zuri mno kwa viongozi wa TZ na faida yake ni kubwa kuliko hasara chache
kwa Lowassa.
Mbona Pinda sasa karibu wiki mbili na hatuoni hata strategies mpya za kuifanya Tanzania ipae?
Ogah said:Well tunajua kwa sasa kutokana na kauli zako umetuthibitishia kuwa wafuatao inabidi wafuate Nyayo zako
Chief Secretary - Luhanjo,
PS Fedha - Mgonja,
PS Madini - Mwakapugi,
Mwanasheria Mkuu - Mwanyika
and ofcourse bila kumsahau DG wa PCCB Bw. Hosea + wale maofisa wote waliokuwepo kwenye hicho kikao cha ushauri ulichoitisha
Alipofika Jimboni kwake alikwenda moja kwa moja hadi nyumbani kwake na kupumzika kwa muda kisha alikwenda katika eneo aliloandaliwa kuhutubia huku akiwa ametandikiwa zulia jekundu kama viongozi wa kitaifa.
Mvua....atawapelekea wamasai wenzake wakati anachunga nao...hakuna cha mvua wala manyunyu hapo....
Lunyungu,
Mbona Pinda sasa karibu wiki mbili na hatuoni hata strategies mpya za kuifanya Tanzania ipae?
kwanini asikubali tuu Taifa limeingia hasara under his watch and take responsibility kuliko kuja na hizi unnecessary excuse...Mr former PM just say sorry and move on tutakuheshimu sana kuliko hizi spin unazojaribu!
Kishaju,
Hiyo juu haijapendeza. Ukabila tena ndugu yangu duh. Tupunguze hasira katika kujenga hoja na tufikishe ujumbe pasipo kuwaumiza wasiohusika.
Lowasa anasema alijua kwamba RDC ni matapeli .Anasema kajiondoa Ukuu kwa ajil ya wadogo .Anasema wanasheria wote walimweleza kwamba mkataba na RDC was perfect.Luhanjo na wengine waliitwa akawaambia lakini wakasema kisheria hatuwezi kuvunja mkataba .Fuatilia .