Lowassa anasafishwa!

Lowassa anasafishwa!

Mwanakijiji kwa makusudi kabisa umeamua kuvuruga nidhamu ya jf kama una hivi mara ngapi wataka kufahamishwa kama una matangazo ya "vijarida" vyako uyapeleke mahala husika kwenye forum ya matangazo.

U need to grow up mate....

Hahahaaa...wewe umenichekesha kweli
 
Mwanakijiji kwa makusudi kabisa umeamua kuvuruga nidhamu ya jf hivi mara ngapi wataka kufahamishwa kama una matangazo ya "vijarida" vyako uyapeleke mahala husika kwenye forum ya matangazo.

U need to grow up mate....

That was too harsh mate! You should have read the whole post. Kwa kifupi ni kwamba hiyo habari ya "Lowassa kuwa Zuma wa TZ" ipo kwenye attachment mbili za pdf ambazo mwanakijiji ameambatanisha kwenye thread yake.

To be fair, you should have read the whole post.
 
Mwanakijiji kwa makusudi kabisa umeamua kuvuruga nidhamu ya jf hivi mara ngapi wataka kufahamishwa kama una matangazo ya "vijarida" vyako uyapeleke mahala husika kwenye forum ya matangazo.

U need to grow up mate....

Nafikiri hili ni kosa la maMod kutokumchukulia hatua. Mara moja ni ajali, mara kumi ni makusudi.
 
Mwanakijiji kwa makusudi kabisa umeamua kuvuruga nidhamu ya jf hivi mara ngapi wataka kufahamishwa kama una matangazo ya "vijarida" vyako uyapeleke mahala husika kwenye forum ya matangazo.

U need to grow up mate....

of course sir! nisingetarajia kitu chochote tofauti.
 
Mwanakijiji kwa makusudi kabisa umeamua kuvuruga nidhamu ya jf hivi mara ngapi wataka kufahamishwa kama una matangazo ya "vijarida" vyako uyapeleke mahala husika kwenye forum ya matangazo.

U need to grow up mate....

Mswalie mtume ndugu yangu, Jamaa amesema kwamba yeye ana upgrade KLH hivyo wale watakaokosa kijarida hicho cha Cheche wapakue humu JF. Hilo nalo ni kosa?
 
Unajua umenifanya nijiulize kama mimi kuandika jambo lolote kuhusu Lowassa itakuwa ni kumuandama au la?
 
Kwa mtizamo wangu (ambao unaweza kuwa finyu) jitihada za Lowassa kujirejesha ni jambo ambalo linafahamika kwa wengi wanaofuatilia nyendo za mwanasiasa huyo.Kuna scenario mbili,zote ni hypothetical,however:

1st.Lowassa anagundua kuwa 2015 ni mbali sana,na political landscape ya Bongo inaweza kuwa imebadilika muda huo,hivyo kukwamisha aspirations zake za kuwa the 5th president of Tanzania.Anaamua liwalo na liwe,anatumia influence yake ndani ya CCM na serikalini (inadaiwa JK trusted EL with the task of kuwachagua na kuwapanga watendaji wa serikali katika ngazi ya mikoa na wilaya) na nguvu yake ya fedha akisaidiwa na mafisadi kama Rostam Aziz,pamoja na vyombo vyake vya habari (inadaiwa amenunua FM Station moja huko Arusha anayodhamiria iwe ikisikika nchi nzima) ku-challenge utaratibu wa CCM kwamba the incumbent (JK,in this case) should stand unopposed in 2010.Unless JK atakuwa amegundua kuwa uraisi umemshinda,atapambana vikali sana kuhakikisha kuwa anamalizia miaka yake mitano iliyobaki.Direct confrontation kati ya JK na EL ni lazima immalize mmoja wao kisiasa,and I assume JK would emerge a winner and EL a permanent loser.

2nd.EL anatengeneza mazingira kwa nguvu zote kuhakikisha anakuwa mrithi wa JK mwaka 2015.Jina lake kupitishwa is not an issue,kwa CCM hata Rostam akiamua kugombea 2015 jina lake linaweza kupitishwa.Chama mufilisi hakina muda wa kuangalia kama mtu anafaa au la.Atakumbana na akina Membe,Mwinyi Jr,Mwandosya na aspirants wengine kadhaa wanaotajwatajwa.Tatizo hapa liko Zanzibar.I cant imagine Wazenji kukubali mika zaidi ya 20 ya rais kutoka bara.Mtandao wa JK ulifanya kazi ya ziada kupoza opposition kuhusu kukiukwa kwa "utaratibu" wa "awamu hii rais anatoka bara awamu ijayo rais anatoka zenji".Lakini kwa namna huyu jamaa anavyotaka kuandika historia yake (kwamba lazima siku moja awe rais wa TZ) kelele kutoka Zenji zitapuuzwa,hence signifying the official dissolution of the Union.

All in all,huyu mtu anapaswa kudhibitiwa kwa nguvu zote asipate urais kwani katika muda mfupi alokuwa PM ametuthibitishia ni namna gani alivyo hatari kwa ustawi wa taifa letu.Nothing personal but the guy is a fraud.
 
All in all,huyu mtu anapaswa kudhibitiwa kwa nguvu zote asipate urais kwani katika muda mfupi alokuwa PM ametuthibitishia ni namna gani alivyo hatari kwa ustawi wa taifa letu.Nothing personal but the guy is a fraud.

Maneno mazito sana mkuu, respect.
 
All in all,huyu mtu anapaswa kudhibitiwa kwa nguvu zote asipate urais kwani katika muda mfupi alokuwa PM ametuthibitishia ni namna gani alivyo hatari kwa ustawi wa taifa letu.Nothing personal but the guy is a fraud.

Nyerere alituambia ukweli wote mwaka 1995. Baada ya miaka 10 tukampuuza mzee huyo, sijui inawezekana ni kwa vile mzee yule alishatangulia mbele ya haki, tukampa jamaa huyu Lowasa dhamana sawa na tuliyokuwa tumepa mpendwa Sokoine, yaani tukampa heshima ya Sokoine!!. Baada ya miaka miwili na nusu madarakani, laana na Nyerere ikatutokea puani, je tunataka kitu gani tena kwa huyu jamaa baada ya kumfahamu sawa sawa?
 
Mmeyaona ya Afrika ya Kusini na Zuma? What if EL akaweza kupata support kubwa ndani ya CCM na Kamati Kuu na inapofika 2009 mwishoni anaweza kushawishi a "recall" ya JK na Kikwete akalazimika kujiuzulu kwa sababu chama chake (ANC ya TZ) imetaka hivyo na amekosa support?
 
soma kesho, Tanzania Daima! what he did to the country is unforgivable! Hadi atakapowaomba radhi Watanzania.


Sio kuwaomba tu msamaha; bali pia kurudisha alichotuibia. Kuomba msamaha pekee hakutaboresha maisha ya mtanzania hohehahe aliyeibiwa haki zake za msingi na Lowassa na kundi lake kwa miaka nenda rudi.
Damu za watz wengi zimehesabiwa mikononi mwa jinamizi hili.Jambo hili halitapita hivi hivi tu, kama ni kuchimbwa atachimbwa kama mzizi wa dawa ya kienyeji mpaka kieleweke.
 
Mmeyaona ya Afrika ya Kusini na Zuma? What if EL akaweza kupata support kubwa ndani ya CCM na Kamati Kuu na inapofika 2009 mwishoni anaweza kushawishi a "recall" ya JK na Kikwete akalazimika kujiuzulu kwa sababu chama chake (ANC ya TZ) imetaka hivyo na amekosa support?

Hapo tutashuhudia mpambano kati ya chama (EL et al) na dola (under JK).Wapo wanaoamini kuwa JK hayuko so worried kuhusu pilika za EL za kuutaka Urais bcoz anajua namna ya (na ana nyenzo za) kumdhibiti.Na kwa namna hiyo hiyohiyo,laiti JK angetaka kuwadhibiti mafisadi,regardless ya role yao katika kuweka madarakani,angeweza kwa vile nyenzo za kufanya hivyo ziko at his disposal.ANC wameweza kummudu Mbeki kwa vile angalau wenzetu wana institutions zilizo accountable kwa umma na sio mtu.Lets not forget kwamba survival ya CCM inategemea sana uhusiano wake wa karibu na vyombo vya dola ambavyo vinatekeleza maagizo ya mwenyekiti wa CCM kwa kificho cha Mkuu wa vyombo hivyo (amiri jeshi mkuu).
 
Mlalahoi, kumbuka Mbeki hakuondolewa na Bunge lake; ameondolewa na Chama chake. Hili linawezekana Tanzania.
 
I guess nothing personal here ,ufisadi wake ni tatizo kwa watanzania Mwanakijiji anawakilisha tuu !
 
Back
Top Bottom