Kwenye wodi ya wazazi uwa kuna wauguzi, wakunga na watu wa usafi. Katika wote hao uwezi kukosa mwenye bikra mkuu.
we ndo Umebomoka sio team ya KUOWAONGOZA watanzania Safari ya Matumaini
Aliahirisha kwa ajili ya Msiba wa Mbunge wa Ukonga.Yericko hajawahi kutudanganya na habari zake huwa kama vile nae yupo CC (correct 100%).... Hii itakuwa ni Mara kwanza. Hivi leo kwenye ile listi ya majina yaliyotangazwa Jana TBC kuwa watachukua fomu jina La Lowassa lilikuwemo na alitakiwa kuchukua leo saa saba mchana. Swali mbona hakutokea? tunaomba majibu teamlowasa
Ila chakushangaza eti hajui kama wenzake wanamfanya ATM sijui huyu mzee yupoje watu wanamvuna halafu yeye anaona ndiyo jamaa zake hatari kweli.
Una uhakika kuwa wamejitoa? hizi habari ni za kizushi tu!Huyu Kangi Lugola na Mwenzake Serukamba.ni wanafiki sana.kujitoa kwenye kambi ya Lowassa katika muda huu ambao hali ni mbaya hakutabadilisha azma yao ya awali ya kushirikiana na fisadi.kwa hiyo tumesha wa mark wao pamoja na mzee kingunge.wote ni wasaliti tu.
Simlipiga hata kuwa Makongoro ndie pini yenu huko Lumumba? Sasa kiko wapi?
halafu leo si ndo ilikuwa akachukue form...amechukua au?
WanaJF,
Mambo yanazidi kuwa mabovu kwa teamLowassa.
Hii leo kuna taarifa ya mhe Lugola na Serukamba kujiondoa kwenye teamLowassa.
Hadi sasa haijafahamika sababu hasa lakini imeelezwa katika tetesi ni kutokana na wawili hao kugundua kuwa hakuna tena uwezekano wa Lowassa kupitishwa katika ngazi za maamuzi ya chama kufuatia team yake kujaa watu wenye kashfa za rushwa, kukosa maadili na ufisadi.
Aidha, mbali na kujitoa kwa wawili hao, Lowassa mwenyewe anaendelea na safari yake ya matumaini mpaka kieleweke.
halafu leo si ndo ilikuwa akachukue form...amechukua au?
Kwenye wodi ya wazazi uwa kuna wauguzi, wakunga na watu wa usafi. Katika wote hao uwezi kukosa mwenye bikra mkuu.
Lowassa anakusudia kujitoa mbio za urais, hali ya kambi yake ni tete, mtifuano kati ya wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane mpaka tone la mwisho umeshindwa kufikia mwafaka dakika chache zilizopita.
Hali ni tete sana!