WanaJF,
Mambo yanazidi kuwa mabovu kwa teamLowassa.
Hii leo kuna taarifa ya mhe Lugola na Serukamba kujiondoa kwenye teamLowassa.
Hadi sasa haijafahamika sababu hasa lakini imeelezwa katika tetesi ni kutokana na wawili hao kugundua kuwa hakuna tena uwezekano wa Lowassa kupitishwa katika ngazi za maamuzi ya chama kufuatia team yake kujaa watu wenye kashfa za rushwa, kukosa maadili na ufisadi.
Aidha, mbali na kujitoa kwa wawili hao, Lowassa mwenyewe anaendelea na safari yake ya matumaini mpaka kieleweke.
Hao wenye kashifa za rushwa na mafisadi ni wanachama wa chama gani? Msitukane na kukashifu watu.WanaJF,
Mambo yanazidi kuwa mabovu kwa teamLowassa.
Hii leo kuna taarifa ya mhe Lugola na Serukamba kujiondoa kwenye teamLowassa.
Hadi sasa haijafahamika sababu hasa lakini imeelezwa katika tetesi ni kutokana na wawili hao kugundua kuwa hakuna tena uwezekano wa Lowassa kupitishwa katika ngazi za maamuzi ya chama kufuatia team yake kujaa watu wenye kashfa za rushwa, kukosa maadili na ufisadi.
Aidha, mbali na kujitoa kwa wawili hao, Lowassa mwenyewe anaendelea na safari yake ya matumaini mpaka kieleweke.
Anafaa lakini hatakuwa chaguo letu
Tusubiri mwisho wa mtanange. CCM demokrasia inatamalakichaguo letu ni yup?
Wenawe hata midamingine mtata kweli! haya kama umbea nawe upo sawaLowassa anakusudia kujitoa mbio za urais, hali ya kambi yake ni tete, mtifuano kati ya wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane mpaka tone la mwisho umeshindwa kufikia mwafaka dakika chache zilizopita.Hali ni tete sana!
Mkuu, wanajifanya mataahira tu. ila ukweli wanaujua kuwa LOWASA hafai hata kidogoSijui kama watu hawaoni au wanajifanya hawajui ila lowasa hana sifa za kuwa Rais hata kidogo.
Lowasa akijitoa kuna wengi watajuta maana wamezoea kumfanya shamba la bibiDaa asijitoe tunasubil hela zake kitaa
WanaJF,
Mambo yanazidi kuwa mabovu kwa teamLowassa.
Hii leo kuna taarifa ya mhe Lugola na Serukamba kujiondoa kwenye teamLowassa.
Hadi sasa haijafahamika sababu hasa lakini imeelezwa katika tetesi ni kutokana na wawili hao kugundua kuwa hakuna tena uwezekano wa Lowassa kupitishwa katika ngazi za maamuzi ya chama kufuatia team yake kujaa watu wenye kashfa za rushwa, kukosa maadili na ufisadi.
Aidha, mbali na kujitoa kwa wawili hao, Lowassa mwenyewe anaendelea na safari yake ya matumaini mpaka kieleweke.
Kuna kitu kinaendelea. Soon ukweli utajulikana. Laana ya Mungu inamuandama Lowasa
tyeee tyeeeee, tyeeee! mkuu ulifanya utafiti? Ondoa CCM 25 october.Labda nirudie tena kusema kuwa KUTAFUTA MTU MSAFI CCM NI SAWA NA KUTAFUTA MWANAMKE BIKRA KWENYE WODI YA WAZAZI....
gharama za nini? wakati ni kodi na rasilimali za wadanganyika ndo zinatumikaNa zile gharama zitarudije?
WanaJF,
Mambo yanazidi kuwa mabovu kwa teamLowassa.
Hii leo kuna taarifa ya mhe Lugola na Serukamba kujiondoa kwenye teamLowassa.
Hadi sasa haijafahamika sababu hasa lakini imeelezwa katika tetesi ni kutokana na wawili hao kugundua kuwa hakuna tena uwezekano wa Lowassa kupitishwa katika ngazi za maamuzi ya chama kufuatia team yake kujaa watu wenye kashfa za rushwa, kukosa maadili na ufisadi.
Aidha, mbali na kujitoa kwa wawili hao, Lowassa mwenyewe anaendelea na safari yake ya matumaini mpaka kieleweke.
Makongoro na magufuli.chaguo letu ni yup?
suluhu yake ni kutoboa mtungi....akisubili wenyewe wainamishe mtungi kisha panya akitoka wamuue itakula kwake...
Daa asijitoe tunasubil hela zake kitaa
wenye masikio na wasikie amini amini nawambieni wanasiasa wataiba na kujiridhisha nafsi . Ni matumaini Ya muda tu na jamii ikishakuchukia na kukukataa kwa tamaa yako hasara na Aibu zina over weigh ile raha Ya matumaini Ya muda. Hakuna raha ya kustaafu kwa upendo ukala kilicho chako na jamii kukuheshimu. Mfano ni mzee mwinyi na mzee salimu heshima yao bila Shaka inawapa self esteem and greater satsifaction kuliko kila mtu ndani Ya jamii anakunyoshea kidole kama shetani. Naamini wanaofuata watapata somo katika uchaguzi huu ingawa these CCM guys seems to be completely deaf and blind.Lowassa anakusudia kujitoa mbio za urais, hali ya kambi yake ni tete, mtifuano kati ya wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane mpaka tone la mwisho umeshindwa kufikia mwafaka dakika chache zilizopita.
Hali ni tete sana!