pedama
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 236
- 144
Tujadili wana jforum uhalali wa kumshirikisha mwenza wako msaada unaotoa nyumbani kwenu
Tafuta jukwaa husika mkuu
Tujadili wana jforum uhalali wa kumshirikisha mwenza wako msaada unaotoa nyumbani kwenu
Unaumwa kifafa cha mimba wewe.Isitawalike kwa sababu yeye ni nani?Lowasa akijitoa nchi haitatawalika
Yericko kila siku kwake ni April Fool's. Day. Kesho sijui ataandika nini.
Kwenye wodi ya wazazi uwa kuna wauguzi, wakunga na watu wa usafi. Katika wote hao uwezi kukosa mwenye bikra mkuu.
Lowassa anakusudia kujitoa mbio za urais, hali ya kambi yake ni tete, mtifuano kati ya wanaotaka ajitoe na wanaotaka apigane mpaka tone la mwisho umeshindwa kufikia mwafaka dakika chache zilizopita.
Hali ni tete sana!
mkuu hata Mimi nashangaa wakati alituahidi kuwa atalitolea ufafanuzi
Ridiculous, kwa sababu sio wanawake wote ndani ya wodi ya wazazi ni wazaziNI SAWA NA KUTAFUTA MWANAMKE BIKRA KWENYE WODI YA WAZAZI....
Labda nirudie tena kusema kuwa KUTAFUTA MTU MSAFI CCM NI SAWA NA KUTAFUTA MWANAMKE BIKRA KWENYE WODI YA WAZAZI....
na gharama zilizotumika atalipa nani?
Labda nirudie tena kusema kuwa KUTAFUTA MTU MSAFI CCM NI SAWA NA KUTAFUTA MWANAMKE BIKRA KWENYE WODI YA WAZAZI....