Hao kwenye picha ni ccm, au act. Namwona mwarabu mwenye sharafa sijui naye kaingia lini kwenye siasa!
Mkuu Haki Sawa, umefanya jambo la maana sana, na ili zisambae kote kwa kasi, mimi na kampuni yangu tumejitolea kufanya distribution bure, hivyo shehena ikifika tuu, ilete shehena yote pale ofisini kwangu, nitakusaidia kuzisambaza kwa kasi ya ajabu. Mimi nafanyia kazi pale kwenye ile incinerator ya Muhimbili, utaniletea siku ninaingia zamu ya usiku, nitakusambazia faster sana!. Pasco
Mkuu Haki Sawa, umefanya jambo la maana sana, na ili zisambae kote kwa kasi, mimi na kampuni yangu tumejitolea kufanya distribution bure, hivyo shehena ikifika tuu, ilete shehena yote pale ofisini kwangu, nitakusaidia kuzisambaza kwa kasi ya ajabu. Mimi nafanyia kazi pale kwenye ile incinerator ya Muhimbili, utaniletea siku ninaingia zamu ya usiku, nitakusambazia faster sana!. Pasco
..Mapesa anayomwagamwaha kayapata wapi.....atayarudishaje...ikulu kuna biashara gani...?
Hao kwenye picha ni ccm, au act. Namwona mwarabu mwenye sharafa sijui naye kaingia lini kwenye siasa!
siku ninaingia zamu ya usiku, yaani night shift tunakuwa hatuko busy sana hivyo nitakusaidia kuzisambaza kwa kasi kubwa, yaani nitafanya distribution usiku kucha, kufika asubuhi zitakuwa zimemalizika zote !.Bila shaka kwenye incinerator unaenda kuzifanyia ''bolding'' mhhhh
Akisaini mikataba miwili tu, pesa yake yote imerudi. Kwanini asitumie pesa nyingi kuingia huko?Huyu Mzee ana uchu kwenda Ikulu haijawahi kutokea katka historia ya Tanganyika. Watanganyika tujiulize kwanini anatumia pesa nyingi kwenda Ikulu? Hatufai kabisa.
Lowasa amwaga t shirt Musoma mjini zenye picha yake pamoja maneno kwa nyuma (friends of lowasa).marafiki wa lowasa pia mpango ulioko Wamejiandaa kwenda kumpokea Akitoka ujerumani na Mabango ya kuhamia act yaandaliwa tayari.
Hizo picha sio halisi kwa yeyote anae weza kutazama na ktambua picha.